Juice world
JF-Expert Member
- Jun 7, 2022
- 1,982
- 2,706
Hamna kitu hapo hamna ataefungwa hapo nimemaliza hivi kabisa tanzania hii ifunge askari mnajifurahisha tu na kupoteza mda kudanganyana huyo demu kashaliwa na hamna watalofanywaNikuhakikishie tu wanaenda kufungwa na uzuri hukumu yao haicheleweshwi kutokana na kesi kusikilizwa mfululizo.
Usiniulize kwanini nasema hivi ila jua tu wanakula mvua nzito.
Sawa. Christopher Bageni alikuwa askari wa Lesotho.Nani afungwe wewe yaani umfunge askari tanzania hii
Sawa. Christopher Bageni alikuwa askari wa Lesotho.
Hamna ataefungwa hapoWanasubiriwa magereza, kufira mtu kwa nguvu si raha
Tuweke hela mezani hapaHamna ataefungwa hapo
Jamaa wana uhakika kabisa watashinda kesi, hata mwanasheria EEM M anaamini hivyo.Duh aiseee hivyo anajiamini watashinda na kurudi uraiani
Unaweka Bei ganiTuweke hela mezani hapa
Ok.Kwamba Tanzania ya Kikwete na Tanzania ya Mama ni vitu viwili tofauti siyo? Nimeanza kukupata.Nimeshakuambia tanzania hii elewa maana ya tanzania hii
Ndio maana nikakuambia tanzania hiiOk.Kwamba Tanzania ya Kikwete na Tanzania ya Mama ni vitu viwili tofauti siyo? Nimeanza kukupata.
Mimi namuamini Mr Money5 hapo juu, inawezekana kuna kautaratibu ka chini chini kwamba askari hata akifanya kosa hafungwi.Hapo hamna kesi hakuna ushahidi dhahiri wa kuwatia hatiani
Mahakama haifanyi kaZi Kwa hisia
Hao jamaa hakuna hakimu mwenye akili timamu atawatia hatiani
Laki 2Unaweka Bei gani
Ndio kalisema zamu yake ikifika kanataka jokeri 😊Hako kajamaa kalikuwa upande gan kwenye video
Toa upuuzi wakoHilo ndiyo haiba ya maafande wa jeiwii kwa 95%.
Mbona hii ni kama compliment?Nyundo ni anajiamini balaaa, kwanza alivyokua anarukia defender, unabaki kupigwa na butwaaa.
Yulee kweli ni Mjedaa, naamini haswaaa. Woiiiiiih
Kwanza ashitakiwe pia kosa LA kutishia usalama wa mtu, mxxxiiiieeew zake.
Hachomoki huyo, labda wenye madaraka wamuhurumie.Huyo anajua harudi uraiani
Inaelekea hiyo ndio michezo yako tajir na umezoea hayo mambo mpaka unadhihirisha kwenye mitandao kwamba wew ni mtu hatar kiasi gani kwenye jamii.Hawa wakitoka ni kuwatengenezea mazingira kuwaua,shenzi