Mtuhumiwa wa Ubakaji amwambia Mwandishi wa Habari “Afu we Camera man nikimaliza kesi ntakutafuta”

Mtuhumiwa wa Ubakaji amwambia Mwandishi wa Habari “Afu we Camera man nikimaliza kesi ntakutafuta”

Soma vizuri nilichoandika.

Mimi ninapendekeza wazo, ambalo linaweza kuwa na faida kwa nchi. Kama halipo kwny sheria liwekwe.

Mwanajeshi akifanya kosa, apewe adhabu ya kwenda kupigana na Al shababu huko Somalia.

Najaribu kupendekeza kitu chenye faida, kumnyonga au kumfunga maisha, haileti faida yeyote. cc@Kiranga
Kwa staili hiyo mkuu, basi na wanafunzi wa chuo waliosoma kwa mkopo nao wakifanya makosa wasifungwe la sivyo kodi zetu zitakuwa zimeenda bure, au we unaonaje?
 
Hapana, kuna kitu hujaelewa mkuu.

Askari jeshi, anafundishwa kutoa lugha isiyo sahihi, ili yule aliyemteka apate hasira na afanye maamuzi yasiyo sahihi.

Sijui kama unaelewa ninachojaribu kueleza hapa!
Tone + Maneno aliyochagua yanachora kichwa chake ingali hakujua anasemezana Nani. ?
 
Tone + Maneno aliyochagua yanachora kichwa chake ingali hakujua anasemezana Nani. ?
Huyo askari, amekariri mafunzo ya jeshini. Ambayo ni kuwa, mudq wote adui mpe majibu ya kunya.

Hakuna mwanajeshi anayefundishwa kumnyenyekea au kumheshimu adui.

Kwa mwanajeshi, yule aliyempeleka, anayemshtaki, au anayemshikilia huko mahakamani ni kama adui.

Kuna kitu najaribu kuelezea, sijui kama unanielewa.
 
Huyo askari, amekariri mafunzo ya jeshini. Ambayo ni kuwa, mudq wote adui mpe majibu ya kunya.

Hakuna mwanajeshi anayefundishwa kumnyenyekea au kumheshimu adui.

Kwa mwanajeshi, yule aliyempeleka, anayemshtaki, au anayemshikilia huko mahakamani ni kama adui.

Kuna kitu najaribu kuelezea, sijui kama unanielewa.
Kwahiyo Hadi wanapohojiwa mahakaman wanajibu kunya ili kubaki katika misnigi ya Mafunzo ?
 
emoji23.png
emoji23.png
emoji23.png
emoji23.png
emoji23.png
nimecheka sana, japo inahuzunisha, lol
Coca, naomba nikakutukane PM.
Kwahiyo Hadi wanapohojiwa mahakaman wanajibu kunya ili kubaki katika misnigi ya Mafunzo ?
Ni hivyo kabisa, ndio maana hawa wanatakiwa kushtakiwa kwny mahakama za kijeshi (court martial)
 
Mjeshi lazima ujiamini. Huyo dogo hata mahabusu hakuna fara WA kumsogerea. Hata masoja WA magereza wanamkubali na wanampa ugali na beans la kutosha.

Madogo watashinda kesi na kurejea uraiani ingawa vyombo vyao vitawatema.
Jifunze kutifautisha matumizi ya 'r' na 'l'

Sasa jera ndio ndio nini?

We kweli wa jera jera.
 
Soma vizuri nilichoandika.

Mimi ninapendekeza wazo, ambalo linaweza kuwa na faida kwa nchi. Kama halipo kwny sheria liwekwe.

Mwanajeshi akifanya kosa, apewe adhabu ya kwenda kupigana na Al shababu huko Somalia.

Najaribu kupendekeza kitu chenye faida, kumnyonga au kumfunga maisha, haileti faida yeyote. cc@Kiranga
Mkuu kwa upande wako uko sahihi kabisa ila kwa mawazo na Nchi na miongozo yake unachosema hakipo hivyo kabisa hao WATAFUNGWA VIZURI
 
Tukiachana na uhalifu wao, hiyo ni nzuri.

Askari hatakiwi kuwa mnyonge, until the last drop of blood, he should be proud.

Nafikiri umenielewa ninachotaka kueleza hapa.

Ninaona kwamba askari wetu wa TPDF wanapata mafunzo stahiki.
Hivi umeshaingia kumi na nane za Al Shaba halafu mabisu yapo mkononi unafikili askari wa KITANZANIA ataleta kiburi acha uongo hao wanaleta kiburi hapa tu Tanzania sio kumi na nane za wahuni
 
Inaonekana wameshawafanyia watu uhalifu sana.

Ile video isingevuja wangezidi kuwafanyia wanachi uhalifu.

Inavyoelekea wameshabaka si mmoja kwa kigezo cha kuwa jwtz.

Hawa dawa yao wakikuzingua mtaani ni kutandika tu, akikuzidi tafuta hata jiwe piga. Shenzi kabisa.
Kitu kingine Cha kushangaza,
Mmoja jw
Mwingine magereza
Mwingine uhamiaji.
Nani kawakutanisha Hawa...
 
Mimi sipendi uhalifu, na ninachukia kabisa walichokifanya hawa wanajeshi.


Lakini ukisoma kitabu cha THE EAGLE HAS LANDED, tunamuona Kanali Kuyt Steiner anapewa adhabu ya kuongoza kikosi cha parachuters 13 kwenda kumteka au kumuua kabisa waziri mkuu wa uingereza kipindi hicho, Sir. Winston Churchill.

Hii ilitolewa kama adhabu, kwa kanali Steiner na wenzake, baada ya kufanya makosa.

Nafikiri, tunatakiwa kuiga kitu kama hiki kama taifa. Tujiulize, tunafaidika nini kama taifa kwa kumfunga jela Nyundo na wenzake?

Ninamaanisha, hawa ni askari waliopata mafunzo maalumu kwa kutumia kodi zetu. Wakifia jela, na kodi zetu zinakuwa zimefia jela.

Kwa nini wasipewe ''asainimenti'' ngumu, ili iwe kama adhabu kwa makosa yao?

Wapewe kazi ya kwenda kulitetea taifa hata afghanistan huko kupigana na wataleban, kama adhabu.
Half man half genius
Sijui umewaza nini mkuu 🙌🙌🙌🤛🤛🤛🤛
 
Back
Top Bottom