Katika nchi yetu hii kumkuta kijana wa miaka 25 ana milioni 33 si jambo dogo, kijana alikuwa ni mfanyabiashara wa madini lakini huenda vitu kama mtaji wa biashara alipigwa jeki na mzazi.
Huenda kijana huyo ni mtoto wa mtu mzito kama Rpc wa mkoa fulani, Ocd, mwanajeshi mwenye cheo, mwanasiasa, n.k.
Kiufupi huenda kuuawa kwa kijana huyo mdogo kulifanywa bila kujua mzazi wake ni nani, Uchungu wa mtoto anaeujua ni mzazi aisee!! kuna watoto sio hata wa kuwagusa maana kitachokukuta hata kazi yako unayoona inakulinda haitakusaidia.