Nani kakwambia zimeenda off target!?Wametoma rocket nyingi lakini zimekua off target kutokana na IRONE DOME. israel wamtuma chache tu wamekufa 500 majerui 2000 na ushee
nimeengalia HZB walilenga office za mossad kwa bahati nzuri mashambulizi hayakuleta mazara acheni udini wa kipuuziNani kakwambia zimeenda off target!?
Kama zimeenda off target raia wasingekua wanalia na kukimbizana kwenye mahandaki.
Ulitizama kikao cha UNGA jana??
nimeengalia HZB walilenga office za mossad kwa bahati nzuri mashambulizi hayakuleta mazara acheni udini wa kipuuzi
Hata idadi tu ya casualities hajaqeka, maana kupiga makombora ni suala moja ,ila yoote yanaweza yakawa interceptedIsrael akipiga tunaona video na picha!
Nyie video na picha ziko wapi?
Hata idadi tu ya casualities hajaqeka, maana kupiga makombora ni suala moja ,ila yoote yanaweza yakawa intercepted
Ofisi za Mossad zipo Galilaya!?nimeengalia HZB walilenga office za mossad kwa bahati nzuri mashambulizi hayakuleta mazara acheni udini wa kipuuzi
Mmekataza waandishi wa habari wasitoe taarifa mnatarajia taarifa zitatokaje!??Hata idadi tu ya casualities hajaqeka, maana kupiga makombora ni suala moja ,ila yoote yanaweza yakawa intercepted
Dunia ikishajua itawasaidia nini Palestina?Dunia kujua ni vizuri ili ijulikane Palestina anapigania chake.
Ndio maana sehemu ambazo Israel amevamia zinaitwa ZIONIST ILLEGAL SETTLEMENTS.
Sio lazima iwe hali mbaya kwa Israeli, Halafu kumbuka hao watu wako nyumbani kwa US, lazima kuwe na lugha za kupoza ili mataifa mengine yasiwalaumu sana. Ndio maana unaona Macron anawakilisha Lebanon na Biden anawakilisha Israel.Usichokijua kuanzia jumanne Hizbollah imekua inarusha maroketi Israel hadi leo hii siku tatu mfululizo.
Kwa hali kuonekana mbaya jana USA,UK na France wameomba kuwe na ceasefire ya wiki tatu kujadili amani ya kudumu.
Jiulize kwanini USA na washirika wameomba majadiliano ya ceasefire!?
Subhanah Allah ndiye chanzo cha machafuko yote yanayoendelea hapo mashariki ya kati.Subhanah Allah asimamie amani, vinginevyo hatutakuwa salama hata sisi huku.
Kwa hiyo umechagua kuwa upande wa shetatani.Sio China tu ,mimi pamoja na familia yangu tupo pamoja na hezbollah.
Papo waliposaidika japo sio yale matumaini hitajika.Dunia ikishajua itawasaidia nini Palestina?
Ule ni unafiki unafanywa ili kujaribu kubalance mambo.Papo waliposaidika japo sio yale matumaini hitajika.
Kama isingekua kwa hilo kujulikana baada ya vikao vya Cairo summit mwaka jana basi wazungu wote wangeendelea kumuona mwarabu gaidi na wasingethubutu kwenda kinyume na USA na Israel kuhusu mzozo wa Palestina.
Mkuu fuatilia vizuri,ni lazima hali iwe mbaya kwa Israel ndio USA aweze ku push resolution.Sio lazima iwe hali mbaya kwa Israeli, Halafu kumbuka hao watu wako nyumbani kwa US, lazima kuwe na lugha za kupoza ili mataifa mengine yasiwalaumu sana. Ndio maana unaona Macron anawakilisha Lebanon na Biden anawakilisha Israel.
Mbona UN ndio walianza kuomba usuruhishi ufanyike mapema kuepusha janga Lebanon?
Hizo nchi unazozisemea haziwezi kuathiriwa sana na USA.Ule ni unafiki unafanywa ili kujaribu kubalance mambo.
Wote bado wako royal kwa US, kumbuka pia lazima waingize unafiki kulinda masoko yao ya siraha katika nchi za kiarabu.
Hayo makombora yameua waisrael wangapi?Mkuu fuatilia vizuri,ni lazima hali iwe mbaya kwa Israel ndio USA aweze ku push resolution.
Kipindi Antonio Gutteres anahimiza makubaliano ya amani USA alizidi kupeleka battle ship red sea na alizidi kuisapoti Israel akinadi kabisa "Israel has the right to defend itself in any means".
Hawakumsikiliza kabisa Gutteres.
Ila kuanzia usiku wa kuamkia jumanne hadi leo alhamisi Hizbollah alivyokua anarusha makombora non-stop jana ndio wamejishaua watoe wazo la majadiliano ya amani.
Kwanini hayo hawakuyaleta kabla!?
Yale yale ya 2006 hizbollah alimburuta IDF hadi shebah farms kutoka Bint jubeir USA ndio akajifanya kuleta UN resolutions.
Mwisho kapata hasara ya mateka wawili.
Hizo ni siasa mkuu.Hizo nchi unazozisemea haziwezi kuathiriwa sana na USA.
*Brazil.
*Spain.
*Belgium ndizo nchi zilizoanza kumgomea USA na kusitisha diplomasia na Israel.
Baada ya hapo mataifa 124+ yalipiga kura dhidi ya Israel kujiondoa Gaza na Palestina itambulike kama nchi huru.
Mkuu USA ana uchumi gani wa kushindana na mataifa yote hayo yakimgomea?
Hili lilisababisha global influence ya USA ishuke sana mwaka huu.
Mkuu fuatilia vizuri,ni lazima hali iwe mbaya kwa Israel ndio USA aweze ku push resolution.
*Iran ameenda USA New York UN headquarters.Hizo ni siasa mkuu.
Kama ingekuwa ni uadui, Rais wa Iran asingekanyaga US.
Mbona wamemgomea lakini bado mambo yanaenda vile anavyotaka yeye na wameufyata?
Mkuu hizi habari za wapi unazitoa??