Steven Joel Ntamusano
JF-Expert Member
- Jun 17, 2023
- 5,203
- 3,913
Huo ndio ukweli, hakuna mwenye madaraka ya kuuza bandari ni maneno ya upotoshaji yenye lengo la kucheza na hisia za watu ili wauchukie uwekezaji.Kwa akili zako za kiccm unafikiri wewe upo sahihi zaidi?
MakubwaBe the first to know... muda wowote kuanzia sasa Rais Samia atauzima rasmi mjadala unaochukua sura mpya kila siku nao si mwingine bali ni DP World!
Vyanzo vyangu toka ndani ya Chama na Serikali vinabainisha joto la mjadala linaelekea pabaya hivyo busara imetumika kufunika kombe mwanaharamu apite!
Hongera samia kwa usikivu kumbe zile R nne zinatoka moyoni!
🚮🚮🚮🚮🚮🚮🚮Daaaah! Mama anafanya kosa kubwa kuvunja huu mkataba et kwa sababu ya vibaraka wa amerika wanaopiga kelele. Mmarekani bhana mtu mbaya kabisa
Abinafsishe TANESCO kwa muwekezaji mzuri aone kama tutapanua domo letuBe the first to know... muda wowote kuanzia sasa Rais Samia atauzima rasmi mjadala unaochukua sura mpya kila siku nao si mwingine bali ni DP World!
Vyanzo vyangu toka ndani ya Chama na Serikali vinabainisha joto la mjadala linaelekea pabaya hivyo busara imetumika kufunika kombe mwanaharamu apite!
Hongera samia kwa usikivu kumbe zile R nne zinatoka moyoni!
Nadhani vifungu vya mikataba ya hao unaowasema si sawa na vya DPHaya
Wenzenu Akina Salah na Neymar wanakimbilia Arabuni Kule Ulaya na Marekani wazungu wamefirisika Lakini Nyie mnapishana na Gari la hela [emoji1][emoji1][emoji23][emoji91]
Hela zimechukuliwa wakati wa Kikwete muulize yule mama aliesema 10 million ni shillings ya mboga hizo hela walizogawana ndio sasa inabidi ziwayokee puani na sio kodi za Watanzania maskiniIPTL 1994 Rais alikua Mwinyi
Ahamie fasta wakamusugurishe masufuria.We mbona hujahamia Dubai umejibanza hapo Mbweni?
Pesa si msingi wa maendeleo, uhuru, haki, heshima na utu bwashee.Haya
Wenzenu Akina Salah na Neymar wanakimbilia Arabuni Kule Ulaya na Marekani wazungu wamefirisika Lakini Nyie mnapishana na Gari la hela 😄😄😂🔥
Kikubwa DPWorld watalipwa ama la kwa uamuzi huu?Hongera samia kwa usikivu kumbe zile R nne zinatoka moyoni!
Huko kunaitwa kubwabwaja na kuhororoja bila mpango.Be the first to know... muda wowote kuanzia sasa Rais Samia atauzima rasmi mjadala unaochukua sura mpya kila siku nao si mwingine bali ni DP World!
Vyanzo vyangu toka ndani ya Chama na Serikali vinabainisha joto la mjadala linaelekea pabaya hivyo busara imetumika kufunika kombe mwanaharamu apite!
Hongera samia kwa usikivu kumbe zile R nne zinatoka moyoni!
DP world anaruhusiwa kuomba tender ikitangazwa bwashee, kwenye tender sisi ndo tunaweka masharti na ufanisi tunaohitaji, siyo yeye ndo atuwekee sisi masharti.Dp world wapo bandarini milele.Nyie jitekenyeni tu ila hambadili chochote.
Tatizo gani hilo lililosababishwa halafu limetatuliwa?Usababishe tatizo halafu tukupigie kelelel kulitatua. Unalitatua halafu eti tukupe hongera. Fuuuckk
Hii ndo hoja. Maana nilikuwa nafuatilia huu mjadala na mmojawapo wa watetezi wa huu mkataba ni wewe.Mimi binafsi sipendi upuuzi wa pale Bandarini na natamani ibinafsishwe .
Kuliko kuachana na DP World Bora vifungu vinavyozozaniwa virekeboshwe.
Majibu yote ni Bunge litakapoanza tutaona kama mswaada unaopendeleza kubadili sheria Ili ziendane na matakwa ya kiuwekezaji utasomwa au laa wiki ijayo.
Mwisho itakuwa ni kosa la kiufundi, afadhari uamzi kama huo ungefanyika mapema kabisa na sio too late kama hivi.
Ushauri Kwa Rais Samia "Achana na Watu Waliochagua Kuwa Wajinga"
Hawa watu wa Bara kuwasaidia ni kutwanga Maji kwenye Kuni,Ndugu zao Wa damu waliwashindwa sembuse wewe wanaekuita Mzanzibari? Hawa wamechagua urasimu kwenye bandari Yao,waache, Hawa wamechagua upigaji kwenye bandari Yao achana nao Hawa wamechagua upotevu wa Mali za wateje kwenye bandari Yao...www.jamiiforums.com
Ndoto za Ali Nacha hizoItakuwa heri
Kwani kuota kuna ubaya gani?Ndoto za Ali Nacha hizo