Tetesi: Muda wowote kuanzia sasa Samia ataachana na DP World!

Akiwatosa ajue atalipa mabilioni ya dola na warudisge chao 1T wamesunda.....muda mwalimu mzuri
Nadhani kwa hatua hii, hili linawezekana na bila kesi Wala fidia yoyote..

Huo mkataba (IGA) kwa utaratibu wa kisheria wa kawaida na ili uanze kutumika katika nchi zilizokubaliana, basi ni LAZIMA kwanza upitie hatua mbili muhimu zifuatazo Kwa Kila nchi husika;

1. Uwe ratified na mamlaka za nchi husika (kwa sisi TZ ni Bunge la JMT). Dubai sijui ni mamlaka gani hutumika ku ratify international agreements (IGA).

2. Nchi husika zibadilishane hizo nyaraka za ratification..

Hii hatua ya pili sina hakika kama imefanyika. Na kama haijafanyika na hivyo Dubai kutokuwa wamepokea IGA ratified document toka serikali ya Tanzania, obvious wanakuwa hawana nguvu ya kisheria kufanya chochote ndani ardhi ya Tanganyika..

Hopefully, Rais Samia Suluhu Hassan hajaitekeleza hii hatua ya mwisho. Na ili ajiokoe na hukumu ya ghadhabu iliyo mbele yake, ni bora sana aishie hapohapo alipofikia..

Ila kama ilivyo ada ya watawala wa serikali ya Tanzania kuvunja sheria, katiba na taratibu, kuna uwezekano mkubwa kuwa serikali ilishatoa go ahead Kwa DP World kuendelea na shughuli zake hata kabla ya ratification process kufanyika bungeni...

Na ishara ni kuwa, IGA hii tata inaonekana ilishasainiwa kinyemela na Rais Samia Suluhu Hassan mwenyewe tangu mwezi Oktoba, 2022 lakini ikaingizwa bungeni kwa ajili ya ratification mwezi wa sita (miezi 8 baadaye) mwaka huu 2023...!!
 
Haijalishi nini atafanya baada ya sakata la DP World. Kitendo cha kuwa kwake tayari kuingia mkataba kulionesha udhaifu mkubwa.

Mkataba usingewekwa wazi leo hii bandari ingekuwa mali ya waarabu na yeye aliridhika na hilo aidha kwa uelewa wake mdogo ama kwa maslahi yake binafsi.

Ingekuwa busara zaidi kama angejiuzulu tu apishe wengine.
 
anaweka mpira kwapani
 
Tatizo halipo kwa mama bali ni kikundi cha sukuma gang kina muingiza kwenye matatizo makusudi ili mwaka 2025 akataliwe

Ni yupi kati ya hao mezani.

Mmeishiwa na hoja na sasa mmerudi Kusingizia Kabila la Wasukuma.!

Hakuna genge wala Gang yeyote linaloitwa Sukuma Gang Tanzania. Kuna kabila la WASUKUMA.
CHADEMA Wacheni Ugaidi na lugha za Kiutenganishi. Wacheni GENOCIDE!

Chuki za kibinafsi baina ya Mbowe na Lissu dhidi ya Hayat Rais ibakie huko huko. Chuki hizo zisiingizwe kwenye wanja la siasa Tanzania.


CHADEMA stop your Seccesionist agenda. stop your Terorrism tacts. Stop the GENOCIDAL agenda against the WASUKUMA tribe and peoples.



CHUKI dhidi ya Kabila la Wasukuma zikomeshwe.
 
Watanzania hawajaridhika na Mkataba wa Bandari ya salama. Serikali isione haya kuachana na Waarabu
 
Mkuu hongera kwa Samia? Kwa vipi wakati amefanya kosa na bado hajakiri na kuna watu wamewekwa ndani kwa kuhoji; tena wakisingiziwa uhaini? Anyways, hata mimi nimesikia alipotoroka kwenda Uarabuni alikwenda kuwaomba mambo yaishe.
Mkuu si ushai ona mtu anakwambia ntakupiga we unajibu hongera! Sie wengine wana fasihi ila yote kwa yote si rahisi sana kwa kiongozi mwenye uungu wa kiafrika kula matapishi yake thats why nikatupia hongera!!
 
I trust you kaka, hii ni habari njema sana. Msalimie mzee wetu EL, he is great human being.
 
Mama Samia piga U turn uachane na huu ujinga ufute na mikesi hii ya kihuni tukuunge mkono. Still you can be one of the best president ever in Tanzania! Go mama!
 
ndio mlivyojidanganya hapo kijiweni nyie mazuzu. Eti tetesi, we kweli ni mwehu km hao wehu wenzio. Na akiachana na mpango huo nyie mazuzu mtapata faida gani. kenge kweli
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…