Tatizo halipo kwa mama bali ni kikundi cha sukuma gang kina muingiza kwenye matatizo makusudi ili mwaka 2025 akataliwe
Ccm haijawahi kukubaliwaTatizo halipo kwa mama bali ni kikundi cha sukuma gang kina muingiza kwenye matatizo makusudi ili mwaka 2025 akataliwe
BAdo ni mapema sana.Hongera samia kwa usikivu kumbe zile R nne zinatoka moyoni!
Neymar hamna timu ya Ulaya iliyomtaka.Haya
Wenzenu Akina Salah na Neymar wanakimbilia Arabuni Kule Ulaya na Marekani wazungu wamefirisika Lakini Nyie mnapishana na Gari la hela 😄😄😂🔥
Nadhani kwa hatua hii, hili linawezekana na bila kesi Wala fidia yoyote..Akiwatosa ajue atalipa mabilioni ya dola na warudisge chao 1T wamesunda.....muda mwalimu mzuri
Jamaa wako makini na mikataba wanayoisainiHaya
Wenzenu Akina Salah na Neymar wanakimbilia Arabuni Kule Ulaya na Marekani wazungu wamefirisika Lakini Nyie mnapishana na Gari la hela 😄😄😂🔥
anaweka mpira kwapaniBe the first to know... muda wowote kuanzia sasa Rais Samia atauzima rasmi mjadala unaochukua sura mpya kila siku nao si mwingine bali ni DP World!
Vyanzo vyangu toka ndani ya Chama na Serikali vinabainisha joto la mjadala linaelekea pabaya hivyo busara imetumika kufunika kombe mwanaharamu apite!
Hongera samia kwa usikivu kumbe zile R nne zinatoka moyoni!
Tatizo halipo kwa mama bali ni kikundi cha sukuma gang kina muingiza kwenye matatizo makusudi ili mwaka 2025 akataliwe
Watanzania hawajaridhika na Mkataba wa Bandari ya salama. Serikali isione haya kuachana na WaarabuBe the first to know... muda wowote kuanzia sasa Rais Samia atauzima rasmi mjadala unaochukua sura mpya kila siku nao si mwingine bali ni DP World!
Vyanzo vyangu toka ndani ya Chama na Serikali vinabainisha joto la mjadala linaelekea pabaya hivyo busara imetumika kufunika kombe mwanaharamu apite!
Hongera samia kwa usikivu kumbe zile R nne zinatoka moyoni!
Mkuu si ushai ona mtu anakwambia ntakupiga we unajibu hongera! Sie wengine wana fasihi ila yote kwa yote si rahisi sana kwa kiongozi mwenye uungu wa kiafrika kula matapishi yake thats why nikatupia hongera!!Mkuu hongera kwa Samia? Kwa vipi wakati amefanya kosa na bado hajakiri na kuna watu wamewekwa ndani kwa kuhoji; tena wakisingiziwa uhaini? Anyways, hata mimi nimesikia alipotoroka kwenda Uarabuni alikwenda kuwaomba mambo yaishe.
anaweka mpira kwapani
I trust you kaka, hii ni habari njema sana. Msalimie mzee wetu EL, he is great human being.Be the first to know... muda wowote kuanzia sasa Rais Samia atauzima rasmi mjadala unaochukua sura mpya kila siku nao si mwingine bali ni DP World!
Vyanzo vyangu toka ndani ya Chama na Serikali vinabainisha joto la mjadala linaelekea pabaya hivyo busara imetumika kufunika kombe mwanaharamu apite!
Hongera samia kwa usikivu kumbe zile R nne zinatoka moyoni!
Kuna watu wanahahakisha Mama anakwama Kwa namna yoyote Ile.Uwa naumia sana watu wanavyotaka kumuharibia hili haonekane hafai
I trust your trust in him 50+1%!!I trust you kaka, hii ni habari njema sana. Msalimie mzee wetu EL, he is great human being.
ndio mlivyojidanganya hapo kijiweni nyie mazuzu. Eti tetesi, we kweli ni mwehu km hao wehu wenzio. Na akiachana na mpango huo nyie mazuzu mtapata faida gani. kenge kweliBe the first to know... muda wowote kuanzia sasa Rais Samia atauzima rasmi mjadala unaochukua sura mpya kila siku nao si mwingine bali ni DP World!
Vyanzo vyangu toka ndani ya Chama na Serikali vinabainisha joto la mjadala linaelekea pabaya hivyo busara imetumika kufunika kombe mwanaharamu apite!
Hongera samia kwa usikivu kumbe zile R nne zinatoka moyoni!
cc@johnthebaptistTatizo halipo kwa mama bali ni kikundi cha sukuma gang kina muingiza kwenye matatizo makusudi ili mwaka 2025 akataliwe