Crimea
JF-Expert Member
- Mar 25, 2014
- 25,874
- 36,030
Mbweni wapo?We mbona hujahamia Dubai umejibanza hapo Mbweni?
Yupo Mtwivila anapiga komoni
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mbweni wapo?We mbona hujahamia Dubai umejibanza hapo Mbweni?
Nashawishika mno, kukubaliana nawe kwenye dhana hii.Ni ngumu kutokea..., haya maziwa yameshamwagika wapo radhi hata kuwauwa ngombe wote ili kuficha kilichotokea....
Hawa sio watu wa kurudi nyuma na kukubali walikosea
US Dollar 109,000,000= Tanzanian Shilling 273,211,031,710-Tanzania unlawfully expropriated Ntaka Hill nickel project, tribunal finds, awards miner $109m
-Indiana Resources (ASX:IDA) wins $160M from Tanzania in World Bank dispute
-The Hong Kong arm of Standard Chartered Bank has won a US$185 million ICSID award against Tanzania in a dispute over rights under a power purchase agreement which has already spawned three other arbitrations at the centre
-Symbion
Tanzania inapoteza pesa nyingi sana kutokana na hii mikataba, hiyo ni mifano tuu, kuna kesi nyingi sana tumepoteza na sasa tunalipa, rushwa na incompetency ya serikali ni kubwa sana, bandari itakuwa balaa tupu itakuwa ni sawa na alichofanya Mangungo kwa watu wake, ujinga unatumaliza
Ni kwasababu Tanzania hatuna utaratibu wa kuhifadhi "classified Documents" na baadae kuzifanya kuwa Open kwa public.Mimi binafsi sipendi upuuzi wa pale Bandarini na natamani ibinafsishwe .
Kuliko kuachana na DP World Bora vifungu vinavyozozaniwa virekeboshwe...
Usikivu gani wakati bado ni story tu za vijiwe vya kahawa? Lakini hata akiachana nao atakuwa ametuthibitishia kwamba ni kiongozi asiyejua anafanya nini yaani unasaini utapeli kama huu bila kuelewa contents zake! Je kama sio utapeli huo kuvujishwa si tungeuzwa? Je hatosaini utapeli mwingine wa kutuuza na tukauzwa bila kufahamu kama hatatokea mzalendo wa kutung'ata sikio?Be the first to know... muda wowote kuanzia sasa Rais Samia atauzima rasmi mjadala unaochukua sura mpya kila siku nao si mwingine bali ni DP World!
Vyanzo vyangu toka ndani ya Chama na Serikali vinabainisha joto la mjadala linaelekea pabaya hivyo busara imetumika kufunika kombe mwanaharamu apite!
Hongera samia kwa usikivu kumbe zile R nne zinatoka moyoni!
Kati ya mama Abdul na Mbarawa sukuma gang ni yupi? Maana wao ndo walisaini utapeli huo mam yenu nchi imemshinda aacha kutafuta visingizio vya kusingizia wasio husikaTatizo halipo kwa mama bali ni kikundi cha sukuma gang kina muingiza kwenye matatizo makusudi ili mwaka 2025 akataliwe
Wameweza kurudisha kile kianzio? Au wamesamehewa? Vipi zile MOU nyingine 31? This Might be too good to be true!Be the first to know... muda wowote kuanzia sasa Rais Samia atauzima rasmi mjadala unaochukua sura mpya kila siku nao si mwingine bali ni DP World!
Vyanzo vyangu toka ndani ya Chama na Serikali vinabainisha joto la mjadala linaelekea pabaya hivyo busara imetumika kufunika kombe mwanaharamu apite!
Hongera samia kwa usikivu kumbe zile R nne zinatoka moyoni!
Samahani,hizoR nne ndo zipi!?Be the first to know... muda wowote kuanzia sasa Rais Samia atauzima rasmi mjadala unaochukua sura mpya kila siku nao si mwingine bali ni DP World!
Vyanzo vyangu toka ndani ya Chama na Serikali vinabainisha joto la mjadala linaelekea pabaya hivyo busara imetumika kufunika kombe mwanaharamu apite!
Hongera samia kwa usikivu kumbe zile R nne zinatoka moyoni!
Kwa akili zako za kiccm unafikiri wewe upo sahihi zaidi?Uelewa ni tatizo la wasomi wengi wa kibongo. Hakuna mwenye mamlaka ya kugawa bandari wa Tanzania.
EEEeeenHEEeeeeh!Tukitaka kupata vichekesho vingine kama hivi tubonyeze no ngapi?
Kwa kifupi alichopost huyo mtu ni kichekesho/ utani sio uhalisia.EEEeeenHEEeeeeh!
Nacheka tu, ili ujue nimekusoma, mkuu sana 'Lord'
Duh!Mama Samia piga U turn uachane na huu ujinga ufute na mikesi hii ya kihuni tukuunge mkono. Still you can be one of the best president ever in Tanzania! Go mama!
Endelea kuotaHuyu hata aombe radhi, hafai kabisa kuendelea kuwa kiongozi wa nchi. Huyu ni mhaini.
Mimi nimecheka tu, mkuu 'Lord', sikutaka kuanzisha mjadala hata kidogo wakati huu.Kwa kifupi alichopost huyo mtu ni kichekesho/ utani sio uhalisia.
Hakuna mkataba au uwekezaji unaovunjwa
Uzuri ni kuwa wewe huzuiwi "kuota", na siyo ajabu ndoto yako ni jinamizi kabisa kutokana na hali inayomkabili huyo unayemuota.Endelea kuota