johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 97,869
- 171,716
Ulale unono Bwashee 😄Umecomment ujinga sana! Kwamba kwa sababu Neymar, Ronaldo, etc wanaenda Uarabuni ni justification ya bandari za Tanganyika kugawiwa kwa mikataba ya ajabu? No.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ulale unono Bwashee 😄Umecomment ujinga sana! Kwamba kwa sababu Neymar, Ronaldo, etc wanaenda Uarabuni ni justification ya bandari za Tanganyika kugawiwa kwa mikataba ya ajabu? No.
Alberto Msando na Jerry Slaa wataweka wapi sura zao!UVCCM na CCM watampongeza.
wale wanaojiiita chawa wa mama nao watampongeza pia.
Hiyo CRDB TUNAYOTA SI YA NAMNA HIYO. Acha tundundulize na TIB YETU LAKINI TUBAKI SALAMA.Haya
Wenzenu Akina Salah na Neymar wanakimbilia Arabuni Kule Ulaya na Marekani wazungu wamefirisika Lakini Nyie mnapishana na Gari la hela 😄😄😂🔥
Elewa kwamba mpaka sasa HGA na IGA na BIT ni vitu tofauti Mimi sijui kama Kuna BIT between UAE na Tanzania. Hizi kesi zote Tanzania inazoshindwa ni za BIT . BIT ni mkataba general kati ya nchi moja na nyingine ili kulinda wananchi wa hizo nchi mbili kama wakiweza baina yao.Hili la DPW sielewi ni nini??na wameshindwa kufafanua huo ni mkataba wa aina ganiSame shit everything, ni hao hao tuu, chama, serikali, sera etc kuna watu wapuuzi kuliko maelezo, mikataba yote tuliyoingia ni majanga matupu, kwanini leo tuamini huu wa bandari utakuwa tofauti, hata ndege tuu zilitushinda nusu wachukue kwa ajiri ya mikataba, IPTL ya miaka 30 iliyopita bado tunapigwa billions mpaka leo, hawa watu wana army of lawyers ukisimama nao chance ya kuwashinda is almost zero, Bandari wataichukua na hawatairudisha for the next 100 years na ukibisha utawalipa wao kwa miaka 100 ijayo, hiyo trillion nane tunayopata leo bandarini nakuhakikishia tutawalipa wao tusipo kuwa makini, bora tukope billions,tuajiri wataalam waliobobea watuendeshee bandari yetu
Tetesi hubakia kuwa tetesi hadi litokeeBe the first to know... muda wowote kuanzia sasa Rais Samia atauzima rasmi mjadala unaochukua sura mpya kila siku nao si mwingine bali ni DP World!
Vyanzo vyangu toka ndani ya Chama na Serikali vinabainisha joto la mjadala linaelekea pabaya hivyo busara imetumika kufunika kombe mwanaharamu apite!
Hongera samia kwa usikivu kumbe zile R nne zinatoka moyoni!
Gari la Hela limebeba Hela FakeHaya
Wenzenu Akina Salah na Neymar wanakimbilia Arabuni Kule Ulaya na Marekani wazungu wamefirisika Lakini Nyie mnapishana na Gari la hela [emoji1][emoji1][emoji23][emoji91]
Haya
Wenzenu Akina Salah na Neymar wanakimbilia Arabuni Kule Ulaya na Marekani wazungu wamefirisika Lakini Nyie mnapishana na Gari la hela [emoji1][emoji1][emoji23][emoji91]
Wewe ndo umekuja kuchanganya kabisa na BIT HGA na IGA, bila kufafanua zaidi kutoka kwenye technical language kwa common language hutakua hujafanya lolote.Elewa kwamba mpaka sasa HGA na IGA na BIT ni vitu tofauti Mimi sijui kama Kuna BIT between UAE na Tanzania. Hizi kesi zote Tanzania inazoshindwa ni za BIT . BIT ni mkataba general kati ya nchi moja na nyingine ili kulinda wananchi wa hizo nchi mbili kama wakiweza baina yao.Hili la DPW sielewi ni nini??na wameshindwa kufafanua huo ni mkataba wa aina gani
Umeharibu kila kitu na huo mstari wa mwisho.Be the first to know... muda wowote kuanzia sasa Rais Samia atauzima rasmi mjadala unaochukua sura mpya kila siku nao si mwingine bali ni DP World!
Vyanzo vyangu toka ndani ya Chama na Serikali vinabainisha joto la mjadala linaelekea pabaya hivyo busara imetumika kufunika kombe mwanaharamu apite!
Hongera samia kwa usikivu kumbe zile R nne zinatoka moyoni!
Kuchutama ni muhimu kutokana na matakwa ya wakati.Be the first to know... muda wowote kuanzia sasa Rais Samia atauzima rasmi mjadala unaochukua sura mpya kila siku nao si mwingine bali ni DP World!
Vyanzo vyangu toka ndani ya Chama na Serikali vinabainisha joto la mjadala linaelekea pabaya hivyo busara imetumika kufunika kombe mwanaharamu apite!
Hongera samia kwa usikivu kumbe zile R nne zinatoka moyoni!
Na wameshafanikiwa kwa kiasi kikubwa sanaTatizo halipo kwa mama bali ni kikundi cha sukuma gang kina muingiza kwenye matatizo makusudi ili mwaka 2025 akataliwe
Kifupi kesi zote Tanzania inashindwa sasa ni za BIT na hazihusiani na mkataba wa DPWWewe ndo umekuja kuchanganya kabisa na BIT HGA na IGA, bila kufafanua zaidi kutoka kwenye technical language kwa common language hutakua hujafanya lolote.
Kwani yeye si ni muamuzi wa mwisho..!!Tatizo halipo kwa mama bali ni kikundi cha sukuma gang kina muingiza kwenye matatizo makusudi ili mwaka 2025 akataliwe
Watampongeza pia.Alberto Msando na Jerry Slaa wataweka wapi sura zao!
Kumbe sukuma gang bado ina nguvu ee?Tatizo halipo kwa mama bali ni kikundi cha sukuma gang kina muingiza kwenye matatizo makusudi ili mwaka 2025 akataliwe
Huyu hata aombe radhi, hafai kabisa kuendelea kuwa kiongozi wa nchi. Huyu ni mhaini.Asababishe matatizo yeye, hongera ya nn? Anapaswa kujitokeza hadharani na kuwataka radhi Watz
Unaonaje sukuma gang wanavyompeleka puta huyu bibiako wakati ulisema wanakomeshwa?Sukuma gang kwa umoja wao