Tetesi: Muda wowote kuanzia sasa Samia ataachana na DP World!

Haya

Wenzenu Akina Salah na Neymar wanakimbilia Arabuni Kule Ulaya na Marekani wazungu wamefirisika Lakini Nyie mnapishana na Gari la hela πŸ˜„πŸ˜„πŸ˜‚πŸ”₯
Wanaenda kule kuwekeza vipaji vyao, sio kwamba Waarabu wanaenda kwa akina Neymar. Ishu yetu ni kwamba jamaa wa Dubai wanakuja kuchukua bandari zote na anga.

Kama unataka Tanzania iende kuwekeza Dubai kwa kununua ardhi kwa muda usio na kikomo, nitakuunga mkono
 
Binafsi naamini ni rahisi sana mkeo kuachana na wewe kuliko Serikali kuachana na Mkataba Mnono wa DP World.
 
Betina atarudisha?
Je Yule muheshimiwa Sana aliyenunua majumba kwa mpigo atapata wapi za kurudisha?
Chawa, kunguni, khanga vitenge na viroboto wataweka wapi sura zao?
 
Haya

Wenzenu Akina Salah na Neymar wanakimbilia Arabuni Kule Ulaya na Marekani wazungu wamefirisika Lakini Nyie mnapishana na Gari la hela πŸ˜„πŸ˜„πŸ˜‚πŸ”₯

Wakt mwingine huwa sijui unapiganiaga kitu gani kwa national interest. Wakupe mafao yako upumzike, uwapishe vijana kwny dawati lako.
 
DP World ni SHIPA ,Mh SSH arekebishe vipengele vibovu kwenye mkataba ukikaa vizuri twende nao maana utakuwa win win situation.
 

Kama ni kweli, basi Mama ubarikiwe sana..

Ila ujumbe sio mama aachane na dp world maxima, ila warekebishe mkataba uwe wa tija kwa pande zote mbili, uwe na time frame, use wa bandari moja tu, na in case ya mgogoro wowote, mahakama zetu ziruhusiwe kusikiliza shauri.

Kama sisi tumeshindwa bandari, basi watakuja wajukuu zetu pengine wao wataweza kuiendeshq. Tusifanye mambo kama vile kizazi hiki kilicho hai kikishaondoka, ndio itakuwa mwisho wa dunia
 
Hii itakuwa habari mbaya sana kwa faza foksi
 
Akiwatosa ajue atalipa mabilioni ya dola na warudisge chao 1T wamesunda.....muda mwalimu mzuri
Ikizingatiwa wamechafuliwa sana, yaani Dp world wanaonekana kama nini sijui! Hata wangefanya kazi Tanzania mazingira ya ufanyaji kazi yangewawia magumu mno.
 
Bora waje kivingine bila kupata ardhi yetu through lease, tupo macho kodo tunawaangalia 24/7
 
Hongera kwa lipi??kujitekenya mwenyewe na kucheka mwenyewe
 
Haya rushwa itarudishwaje? Hasa yule tumbili mkosa sura wa mjengoni aliyesunda 2.5m USD?
 
Inatakiwa sisi ndio t
Haya

Wenzenu Akina Salah na Neymar wanakimbilia Arabuni Kule Ulaya na Marekani wazungu wamefirisika Lakini Nyie mnapishana na Gari la hela πŸ˜„πŸ˜„πŸ˜‚πŸ”₯
Inatakiwa sisi ndio twende huko kama akina Neymar sio wao kuja huku🀣
 
Tatizo halipo kwa mama bali ni kikundi cha sukuma gang kina muingiza kwenye matatizo makusudi ili mwaka 2025 akataliwe
Acheni kabisa kutusingizia. Haya matatizo ni yake mwenyewe ya kujitakia kwa kufuata ushauri wa kifisadi wa Kikwete. Matatizo ajitafutie mwenyewe, maji yanapomfika shingoni mnaanza kutusingizia sisi, acheni ujinga huo.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…