Tetesi: Muda wowote kuanzia sasa Samia ataachana na DP World!

Maoni yangu kwa taifa langu Tanzania, rekebisheni article tata,as soon as possible,tusonge mbele.,tumechelewa kweli kweli..
Hata zinaweza kurekebishwa baadae,alimradi kazi zianze Mara moja!
 
Haya

Wenzenu Akina Salah na Neymar wanakimbilia Arabuni Kule Ulaya na Marekani wazungu wamefirisika Lakini Nyie mnapishana na Gari la hela [emoji1][emoji1][emoji23][emoji91]
Hela za kuchukuwa mali zetu milele nikiasi gani cha hela
 
Haya

Wenzenu Akina Salah na Neymar wanakimbilia Arabuni Kule Ulaya na Marekani wazungu wamefirisika Lakini Nyie mnapishana na Gari la hela πŸ˜„πŸ˜„πŸ˜‚πŸ”₯
Yah right. Pesa hizo za kuwa Lipa akina Neymar watazitoa huku kwetu.

Anyway, in a serious note. Hivi kweli kuna Mtanzania yeyote wa kawaida anayeamini kuwa Tanzania inaweza kwa mara ya Kwanza tangu uhuru kuwa tumesaini mkataba wenye manufaa kwa nchi..!!?
 
Watu wana ma-deal yao Diepi Wedding ni Deal la mtu
 
Usababishe tatizo halafu tukupigie kelelel kulitatua. Unalitatua halafu eti tukupe hongera. Fuuuckk
 
IPTL 1994 Rais alikua Mwinyi
 
Wewe unazani kwanini anatajwa hivyo..?
 
YΓ an hao ndio akili kubwa tz? Hahahahha ndio wapanga maamuzi wa nchi hii? Hadi naona aibu
 
Haya

Wenzenu Akina Salah na Neymar wanakimbilia Arabuni Kule Ulaya na Marekani wazungu wamefirisika Lakini Nyie mnapishana na Gari la hela πŸ˜„πŸ˜„πŸ˜‚πŸ”₯
Ni bora umewapa tahadhari πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ™πŸ™πŸ™
 
Daaaah! Mama anafanya kosa kubwa kuvunja huu mkataba et kwa sababu ya vibaraka wa amerika wanaopiga kelele. Mmarekani bhana mtu mbaya kabisa
Wapigaji wa Bandarini watafurahi sana πŸ˜…πŸ˜…πŸ™
 
Nasikia zipo tena nyingine za zamani 😱😱
 
Nasikia wazungu huwa wanawatetemekea waarabu wanapokwenda ulaya maana huwa wanamwaga mipesa barabarani πŸ˜…πŸ˜…πŸ™
 
Haya

Wenzenu Akina Salah na Neymar wanakimbilia Arabuni Kule Ulaya na Marekani wazungu wamefirisika Lakini Nyie mnapishana na Gari la hela πŸ˜„πŸ˜„πŸ˜‚πŸ”₯
Peleka wanao ujombani huko sisi tuache humu
 
Wewe jamaa hata siyo shabiki wa mpira. Salah bado yuko Liverpool
Captain wake Mr Henderson na Captain mwingine Mr Steven Gerald wameshatua UARABUNI sembuse Salah ! Watu wanafuata mijihela πŸ˜…πŸ˜…
 
Itakuwa heri
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…