Dr Matola PhD
JF-Expert Member
- Oct 18, 2010
- 60,050
- 104,466
- Thread starter
-
- #81
Kwahiyo Bakwata ni kama TAWLA tu?Kwa sheria ya usajili wa vyama visivyo vya kiserikali kama NGO kama ambavyo BARAZA KUU la akina PONDA lilivyosajiliwa
Taasisi yenyewe Bakwata?Lengo la westerners ni kuhakikisha wanawagawa waislamu ili iwe rahisi kupigana na wao kuchukua rasilimali. Nyie waislamu mmekuwa mkitumika vibaya sana kwa sababu ya udhaifu wenu wa kuamini mtu badala ya taasisi yenu na misingi ya dini yenu.
Kuna viumbe ka uamusho kazi yao ni kutengeneza mitafaruku, mfano kukifundisha wewe kuichukia bakwata etc, kukufundisha kumchukia mkristu etcTaasisi yenyewe Bakwata?
Chefuuuuuu.
Lakini ni waislam basi!Bwashee, Uamsho hawako chini ya Bakwata!
Ponda anatoshaIna inafurahisha sana, ila ni haki yake lakini asiwagawe waumini wa Kiislam.
Hizo ni shutuma hata Mandela alikaa jela bila kupelekwa mahakamani kwa tuhuma za ugaidi. Of course hakuna mtu anataka tuishi na magaidi ambao Mara nyingi wanalipua waumini misikitini.Uamusho ni wanatumika kama magaidi, uislam hauna vinasaba vya ugaidi, Shekhe hawezi kutetea watu wanaoharibu taswira ya ugaidi.
Ubinafsi mwingine tena at work. Mtu wa hadhi yake hapaswi kutoa ombi lenye ukungu, uvundo na ukakasi wa ubinafsi.Ombi hili angelitoa pale hadharani Mufti angesikilizwa na Rais, lakini kwakuwa Bakwata si chombo cha kutetea waislamu Mufti ametoa ombi la kujengewa barabara ya kwenda kijijini kwao.
Na hakuna atakaekuja kuwatoa hao kaka, chukua hiyo itakusaidiaMufti Mkuu leo amepewa heshima ya kufungua kwa Dua mkutano wa kampeni wa mgombea urais wa CCM na kabla ya kuanza dua amesema ana mambo mawili;
1. Kukanusha kile kinachodaiwa kuwa Waumini wa Dini ya Kiislam wana udini. ( hili linahitaji mjadala wake)
2. Amemuomba Dkt.Magufuli ajenge barabara ya kwao kwani imezidi kuwa mbaya na yenye vumbi.
Sasa najenga hoja yangu maajabu ya Mufti ni yapi?
Kama kweli huyu Mufti ni sheikh kweli kwa fursa aliyoipata leo kama mufti wa waislamu, leo ndio ilikuwa siku ya masheikh wa Uamsho kuachiwa huru.
Ombi hili angelitoa pale hadharani Mufti angesikilizwa na Rais, lakini kwakuwa Bakwata si chombo cha kutetea waislamu Mufti ametoa ombi la kujengewa barabara ya kwenda kijijini kwao.
Huyu ndio kiongozi mkuu wa Waislamu, huu ni msiba mzito.
Mimi mkatoliki ujue....Lengo la westerners ni kuhakikisha wanawagawa waislamu ili iwe rahisi kupigana na wao kuchukua rasilimali. Nyie waislamu mmekuwa mkitumika vibaya sana kwa sababu ya udhaifu wenu wa kuamini mtu badala ya taasisi yenu na misingi ya dini yenu.
Kabla ya CCMAisee we umezaliwa mwaka gani?
Mufti Mkuu leo amepewa heshima ya kufungua kwa Dua mkutano wa kampeni wa mgombea urais wa CCM na kabla ya kuanza dua amesema ana mambo mawili;
1. Kukanusha kile kinachodaiwa kuwa Waumini wa Dini ya Kiislam wana udini. ( hili linahitaji mjadala wake)
2. Amemuomba Dkt.Magufuli ajenge barabara ya kwao kwani imezidi kuwa mbaya na yenye vumbi.
Sasa najenga hoja yangu maajabu ya Mufti ni yapi?
Kama kweli huyu Mufti ni sheikh kweli kwa fursa aliyoipata leo kama mufti wa waislamu, leo ndio ilikuwa siku ya masheikh wa Uamsho kuachiwa huru.
Ombi hili angelitoa pale hadharani Mufti angesikilizwa na Rais, lakini kwakuwa Bakwata si chombo cha kutetea waislamu Mufti ametoa ombi la kujengewa barabara ya kwenda kijijini kwao.
Huyu ndio kiongozi mkuu wa Waislamu, huu ni msiba mzito.
Mufti ni mtu mkubwa mzito kama angekuwa anajitambuwa, kila mkoa kuna masheikh wa kufanya hizo duwa za mikutano, lakini ushabiki wa mufti mzima kutoka Dar mpaka Tanga kwa ajili ya duwa inayoweza kusomwa hata na Ustaadhi tu madrasa inafikirisha sana.
Sasa natamka rasmi si maaskofu wala Masheikh watakaouona ufalme wa Mungu
Ni rahisi kuwakuta walevi na mafirauni peponi kuliko hawa tunaowaita viongozi wa dini Tanzania hamna kitu, dini zote mbili.
Ukiwachekecha kupata cream ya viongozi halisi wa kidini wapo wachache mno.
Hizo ni shutuma hata Mandela alikaa jela bila kupelekwa mahakamani kwa tuhuma za ugaidi
Of course hakuna mtu anataka tuishi na magaidi ambao Mara nyingi wanalipua waumini misikitini
Sisi waislamu wa haki kilio chettu kwa serikali,,, wapelekeni mahakamani na kama kuna ushahidi wahukumiwe kwa mujibu wa sheria na kama ni visingizio basi waachiwe
Mashekh waliopo jela si wa uamsho tu
Karibu kila mkoa kuna mamia ya mashekh wamekamatwa kwa tuhuma za ugaidi
Je unaweza kuamini kwa kipindi cha miaka mitano Tanzania pamekamatwa watu wengi kwa tuhuma za ugaidi kuliko Afghanistan?
Huyu magufuli jamani ni katili Sana
Mungu amlaani
Ndio maana kumbukumbu zinakata.Kabla ya CCM
Wakati wa TANU
Sasa mkuu tuweke tofauti zetu zote pembeni, tuwaondoe hawa mashetani kwanza, tupate katiba mpya ili nchi itawaliwe kwa haki.Hao BAKWATA NI USALAMA WA TAIFA TISS
Matendo ya hawa mashehe njaa yanafanya hata sisi maamuma swala zetu ziwe za viraka virakaMufti Mkuu leo amepewa heshima ya kufungua kwa Dua mkutano wa kampeni wa mgombea urais wa CCM na kabla ya kuanza dua amesema ana mambo mawili;
1. Kukanusha kile kinachodaiwa kuwa Waumini wa Dini ya Kiislam wana udini. ( hili linahitaji mjadala wake)
2. Amemuomba Dkt.Magufuli ajenge barabara ya kwao kwani imezidi kuwa mbaya na yenye vumbi.
Sasa najenga hoja yangu maajabu ya Mufti ni yapi?
Kama kweli huyu Mufti ni sheikh kweli kwa fursa aliyoipata leo kama mufti wa waislamu, leo ndio ilikuwa siku ya masheikh wa Uamsho kuachiwa huru.
Ombi hili angelitoa pale hadharani Mufti angesikilizwa na Rais, lakini kwakuwa Bakwata si chombo cha kutetea waislamu Mufti ametoa ombi la kujengewa barabara ya kwenda kijijini kwao.
Huyu ndio kiongozi mkuu wa Waislamu, huu ni msiba mzito.
Mimi sio Muslim ,ila ninachojua Bakwata ndio chombo kinachotambulika na serikali yetuSio kisheria sema kimazoea na kisiasa!
Bakwata ni kikundi kama cha Tawla au cha TGNP,
Ni kikundi cha hiyari
Bakwata imeanzishwa kwa sheria ipi?