maxime
JF-Expert Member
- Jun 3, 2016
- 2,231
- 1,315
Simple, ni sifa mnazompa za kishamba kabisa... zinapingana.Jambo rahisi sana niambie umejuaje kama hayupo ?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Simple, ni sifa mnazompa za kishamba kabisa... zinapingana.Jambo rahisi sana niambie umejuaje kama hayupo ?
Hujajibu swali nimekuuliza umejuaje kama hayupo ?Simple, ni sifa mnazompa za kishamba kabisa... zinapingana.
Nimejua hayupo kwasababu hawezi kumtumia a single person from middle east kufikisha ujumbe kwa dunia nzima alafu iwe effective... ni njia ambayo ni very primitive ambayo haifanani na ukubwa wake. hao inaosemekana aliwatuma wangekuwepo miaka hii tungewaona mpaka kwenye youtube na wangekuwa na tour dunia nzima. kilichowafanya wasitoke nje ya maeneo yao ni nin kama sio lack of technology? walikuwa limited, Huyo ambaye inasemekana ni mwana wa Mungu kafeli mtihani mdogo tu wa kuweza kuhubiri katika point zaidi ya moja at per kiasi kwamba alikuwa anahitaji kupandishwa kwenye mlima mrefu ili kuona milki za lucifer katika kila kona ya dunia. (hii ni dhana ya flat earth kabisa)Hujajibu swali nimekuuliza umejuaje kama hayupo ?
Kupewa sifa za uongo hakutoshi bali unatakiwa uthibitishe uongo wa sifa hizo na ututhibitishie ya kuwa hayupo. Huenda ujinga wako na uchachefu wako wa maarifa ukaona jambi ni la ungo ila kiuhalisia si uongo.
Kijana unaandika stori sana ambazo laiti kama ungefikiri kwa uzuri ungeona huna akili nzuri.Nimejua hayupo kwasababu hawezi kumtumia a single person from middle east kufikisha ujumbe kwa dunia nzima alafu iwe effective... ni njia ambayo ni very primitive ambayo haifanani na ukubwa wake. hao inaosemekana aliwatuma wangekuwepo miaka hii tungewaona mpaka kwenye youtube na wangekuwa na tour dunia nzima. kilichowafanya wasitoke nje ya maeneo yao ni nin kama sio lack of technology? walikuwa limited, Huyo ambaye inasemekana ni mwana wa Mungu kafeli mtihani mdogo tu wa kuweza kuhubiri katika point zaidi ya moja at per kiasi kwamba alikuwa anahitaji kupandishwa kwenye mlima mrefu ili kuona milki za lucifer katika kila kona ya dunia. (hii ni dhana ya flat earth kabisa)
Ndio raha ya ubinadamu hiyo.. sio kuku kwamba tuishi na default settings. Wasio na akili nzuri ni hao sasa wanaomba lami kutoka kwa Mungu.Kijana unaandika stori sana ambazo laiti kama ungefikiri kwa uzuri ungeona huna akili nzuri.
Sisi tunataka uhalisia na jenga hoja kwa uhalisia siyo kwa dhana mara ingekuwa mara kadhaa,hizi ni dhana ambazo hazina uhalisia jambo la uhalisia lijingee hoja kwa uhalisia wake.
Sababu ujumbe si lazima umuone aliye kuj na ujumbe.
Nasubiri majibu.
Kuna mambo kibao ambayo hamkubaliani na huyo Mungu mnayemuamini, hamsemi mnapingana nayo ila mnayaonyesha kwa matendo...Kijana unaandika stori sana ambazo laiti kama ungefikiri kwa uzuri ungeona huna akili nzuri.
Sisi tunataka uhalisia na jenga hoja kwa uhalisia siyo kwa dhana mara ingekuwa mara kadhaa,hizi ni dhana ambazo hazina uhalisia jambo la uhalisia lijingee hoja kwa uhalisia wake.
Sababu ujumbe si lazima umuone aliye kuj na ujumbe.
Nasubiri majibu.
Kwaiyo mlitaka aombe Mwamposa, ndio maana wajanja wanawapiga na dini yenu ya maboya hiyoWalikua wapi kuomba kipindi cha mwezi wa8 leo tarehe za vuli zimefika ndio wanajifanya kuomba dua ya mvua..waende jangwani saudia waombe mvua kama wana Mungu kweli.
#MaendeleoHayanaChama
Sent using Jamii Forums mobile app
Kwaiyo mlitaka aombe Mwamposa, ndio maana wajanja wanawapiga na dini yenu ya maboya hiyoWalikua wapi kuomba kipindi cha mwezi wa8 leo tarehe za vuli zimefika ndio wanajifanya kuomba dua ya mvua..waende jangwani saudia waombe mvua kama wana Mungu kweli.
#MaendeleoHayanaChama
Sent using Jamii Forums mobile app
Wakristo mna chuki na uislam, na mlivyo maboya,kila siku matapeli wanaojiita manabii wanawapiga pesa mazuzu nyie, yaani nyie ni mazuzu aisee, mnapigwa pesa kila siku na matapeli kina Mwamposa na kina nabii Shillah etiMajini million 1 yakitumwa kuleta Mvua ujue ni mafuriko.... So Majini 1,000 yanatosha kuleta Mvua ya kupunguza joto mjini.
Kwaiyo,Basi waambieni matapeli wenu kina Mwamposa na Gwajima waombe mvua kenge nyinyiNchi za kiisilamu ndizo zinaongoza kwa ukame na majangwa.
Yote majibu..ila chanzo ni viongozi wa dini.Huu uzi unanipa picha kwamba as time goes on kuna great cultural change ya watanzania kubeza maombi, sala, na dua! Sijui tatizo ni nini; kwamba watu wamemchoka Mungu? Kwamba heshima ya dini inapotea? Kwamba viongozi wa kiroho hawana usahwishi tena? Why?
Wewe kinachokuuma nini si hela zao..na wanahela waumini..kuliko huko pangu pakavu..Wakristo mna chuki na uislam, na mlivyo maboya,kila siku matapeli wanaojiita manabii wanawapiga pesa mazuzu nyie, yaani nyie ni mazuzu aisee, mnapigwa pesa kila siku na matapeli kina Mwamposa na kina nabii Shillah eti
Kiongozi mkuu wa waislamu Mufti Sheikh Zuberi aitisha maombi ya siku tatu kwa Waislamu wote kuombea mvua yenye heri kuanzia kesho Alhamisi.
Maaskofu wakristo naona wanashindana tu kuvaa barakoa hawaitishi maombi kulikoni?