Mmawia
JF-Expert Member
- Aug 20, 2013
- 122,494
- 96,074
Ziiisiiii reeekhiiiiMwamakula ni mental case ile
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ziiisiiii reeekhiiiiMwamakula ni mental case ile
Alafu leo kumbea mvua ndiyo wanaonekana mashujaaaKipindi cha mwenda zake walikuwa wanashinda ikulu wakila tende na ubwabwa.
Weka link ya Musa akiongea na Mungu KUOMBA mvuaMusa hakuwaambia wana wa Israel waombe bali ni Yeye aliyeongea na Mungu kwa niaba yao!
Mungu wa mbinguni awabariki nyote!
Mwisho wake tuliuona maana kuna watu wamewachwa yatima pale lumumbamfuti ubwabwa anajificha kwenye maombi. Hivi yale maombi ya corona yaliishia wapi?
Mvua haiombwi kwa sababu Mungu huwanyeshea walio wema na waovu!Weka link ya Musa akiongea na Mungu KUOMBA mvua
Kwako shujaa ni Baba Askofu Mwamakula?Alafu leo kumbea mvua ndiyo wanaonekana mashujaaa
Hongera kwa Mufti Zuberi abarikiwe sana. Mungu habadiriki corona ilikuja na itaondoka bado tupo na Mungu yupo maombi ya mvua yatajibiwa pia.Kiongozi mkuu wa waislamu Mufti Sheikh Zuberi aitisha maombi ya siku tatu kwa waislamu wote kuombea mvua yenye heri kuanzia kesho Alhamisi.
Maaskofu wakristo naona wanashindana tu kuvaa barakoa hawaitishi maombi kulikoni?
Akili ya lumumba utaijua kupitia michango yake.Kwako shujaa ni Baba Askofu Mwamakula?
Mufti anatuomba tusali kuombea mvua WAKATI Askofu Mwanakula anatuomba tufunge kuombea Katiba Mpya. Unaona tofauti ya pumba na mchele
Ubwawa wa mwana unanogaHongera kwa Mufti Zuberi abarikiwe sana. Mungu habadiriki corona ilikuja na itaondoka bado tupo na Mungu yupo maombi ya mvua yatajibiwa pia.
Duhu ubwawa bazzukulu au?Ubwawa wa mwana unanoga
Kama ni hivyo sasa maombi ya mvua yanini? Waombe tupate mafuta na gesi.Wao wenyewe kwa hiari yao waliamua kuishi jangwa toka miaka hiyo dunia ikiwa pori na ikiwa haina mipaka ila hawakukosea wanaishi juu ya utajiri wa mafuta na gesi
Hayo mbona yapo ni kuchota tuKama ni hivyo sasa maombi ya mvua yanini? Waombe tupate mafuta na gesi.
Jambo rahisi sana niambie umejuaje kama hayupo ?Huyo mwenye makasiriko na wanaompinga... hawezi kuwepo, huyo aliyepewa attributes za kibinadamu hawezi kuwepo..
Mpanda mkuuInanyesha wapi?
Hata Tegeta imenyesha usiku wa kuamkia leo!Mpanda mkuu
Kama sio lazima kwanini aombe?Unatangulia mbele ya wakati tulioko....kwani amesema akishaomba tu ni lazima mvua inyeshe?!!!
Hivi wewe/mimi/wengine tunaomba mengi mangapi na bado tu tuko njiani kuyasubiria?!!!
Kwa hiyo kwenyeUnataka kuwafanya viongozi wa DINI ni masakala eee?!!!
Kwani wanaipinga sayansi?!!!
Iweje waipinge sayansi huku wakitumia simu,vipaza sauti ,maspika kufikisha jumbe MBALIMBALI?!!!
Viongozi wa DINI huipinga sayansi yenye kwenda kinyume na kanuni za maumbile na yenye kuleta "nakama" na hiliki kwa binadamu na viumbe tu......
Siempre JMT
Kazi Iendelee
Unatumia nguvu kubwa sana kwa Jambo lililo dhahiri kabisa....kwani naye hakusema "jisaidieni nami niwasaidie"?!!Kwa hiyo kwenye
Corona twenda na Chanjo
Mvua twende kwa Mungu
Mungu anapaswa kutegemewa kwa kila jambo siyo kuanza kubagua mambo
Ww unamuabudu Mungu gani?
Mi ninamuabudu Mungu anayeweza aliyefungua macho ya vipofu wakapata kuona , aliyewaponya vilema wakatembea , aliyeponya Ukoma,aliyetembea juu ya maji.
Mwenye Jina “Mimi niko ambaye niko”
Ukienda kwenye Corona yupo atakuponya, ukienda kwenye Mvua yupo atakupa, chochote ukifanyacho yeye yupo
Ni TMA hiyohiyo iliyotuambia mvua chache zingeanza takribani wiki chache zilizopita.........je zimenyesha?!!!Kama sio lazima kwanini aombe?
Huyo kaishajua kupitia TMA kwamba siku kumi zijazo inatarajiwa mvua kunyesha sasa yeye kutaka kuwakamata mambwiga ionekane ni muujiza kaitisha maombi