Siyo chuki Chief, kwani ni uongo hakuoa mtoto wa miaka 9? Kulawiti ni uchafu binafsi wa mtu, haina uhusiano na cheo chake (Awe Padre, Pastor, Askofu or Shehe)
kwani sheria ya kuoa mtoto umri wa zaidi ya miaka 18 ilitungwa lini. ? zamani kulikuwa na sheria hii ya mtoto zaidi ya miaka 18 ndio aolewe hakuna walikuwa wanaoana hii sheria ipo tanzania na baadhi ya nchi mpaka leo nchi nyingi bado wanaoa wasichana wadogo. mtume muhhamad sio mtanzania umpe sheria ya nchi na katiba ya nchi eti mtoto chini ya miaka 18 usioe hiyo ni bongo na baadhi ya africa ndio sheria hii ipo. mfano india na yemen na nchi nyingi unaoa mtoto mdogo. afadhali ya mtume muhamad alioa je mwezake tunaemuita yesu mbona aliishi bila kuoa alikuwa ana kasoro gani? na hali dr mwaka yupo