t blj
JF-Expert Member
- Dec 2, 2011
- 7,035
- 16,705
Ile ilikuwa balaa, , mzee ruksa sijui aliwaza nini, nakumbuka nikiwa nasoma kuna wiki zilikatika siku nne za kazi zote hatuendi shule kwa ajili ya utaratibu ule ,yani kama tupo mid term leave .Ombeni ule utaratibu wa kufidia sikukuu zinazoangukia weekend urudi kama enzi ya Mzee Rukhsa.
Ulikuwa ni utaratibu wa kivivu sana .