Huenda sio mchepuko lkn pesa ya mwanamke huwa haiguswi mkuu.Duuh hao nao hawapendani mke ameshapata mchepuko.
Mbatata kabisaMme na Mke wote ni viazi[emoji848][emoji848]
Umenena vyema broNimejifunza kuwa mwanaume ukilileta jambo lako linalohusiana na mwanamke kwenye hadhara ni rahisi mwanaume kugeuziwa kibao kwa kuwa wanawake Wana uwezo mkubwa sana wa kuplay victims na jamii ikakubali haraka madai yao.........
Hizi ni nyakati ngumu kuwa mwanaume hasa kama umebahatika kuoa......ndio maana wanaume tunakufa vifo vya ghafla......
Mada zozote zinazohusu Wana ndoa....zinahitaji umakini kuchangia na sio kufuata mihemko...
Hao sindio wanasemaga haki sawa hapo unataka waka teteenini mkuu.Huyo mwanaume anataka pesa ya mwanamke tu
Uanaume sio kuvaa suruali na dude kama bunduki katikati ya suruali
Ni uwezo wa kuhudumia familia bila kuelekea ku force ohh nipe kadi ya benki na ATM na namba ya Siri
Watetezi wanasheria wa haki za wanawake na NGo tetea haki za wanawake siku hiyo kesi iliyotajwa jazaneni hasa kuonyesha solidarity na huyo mama.Maafisa balozi wa nje pia wawepo wa dawati la balozi wa jinsia
Mfumo dume unahitaji kusomeshwa
Hakimu na wewe kakamaa mwanamke mwenzio huyo .Toa hukumu ya kihistoria ambayo ita trend dunia nzima ili mwanaume yeyote Mwenye tabia kama hiyo asije tokea
Kwani mnapo semaga hakisawa,mnataka uswawa,huwa mnaongeleaga usawa kwenye nini hasa.Wanaume tafuteni pesa, pesa ya mwanamke ni yake, ila ya mume ni yenu.
Biblia ipi unayo izungumzia?Mwanaume ndio anatakiwa abebe mizigo yote hata Biblia inasema mwanamke ni.msaidizi tu sio major player
Huyo mwanaume Hopeless
Solidality ya nini mwanaume katoa sharti ya kukabidhiwa kadi au waachane ,kama hataki waachane ,mwanaume anao uhakika wa kumpata atakaye mpatia kadi na mwanamke anao uhakika wa kumpata ambaye haitaji kadi.Huyo mwanaume anataka pesa ya mwanamke tu
Uanaume sio kuvaa suruali na dude kama bunduki katikati ya suruali
Ni uwezo wa kuhudumia familia bila kuelekea ku force ohh nipe kadi ya benki na ATM na namba ya Siri
Watetezi wanasheria wa haki za wanawake na NGo tetea haki za wanawake siku hiyo kesi iliyotajwa jazaneni hasa kuonyesha solidarity na huyo mama.Maafisa balozi wa nje pia wawepo wa dawati la balozi wa jinsia
Mfumo dume unahitaji kusomeshwa
Hakimu na wewe kakamaa mwanamke mwenzio huyo .Toa hukumu ya kihistoria ambayo ita trend dunia nzima ili mwanaume yeyote Mwenye tabia kama hiyo asije tokea
Matumizi mabaya kabisa ya mahakama ,wanaume wapo wengi huyo mwanamke kama hataki kutoa kadi akatafute mwanaume ambaye hajisumbui na kadi ya mwanamke wapo wengi,na wanawake wako wengi huyo mwanaume akatafute wapo wengi wanataka mwanaume wa kumpa hata nyumba sio kadi tu.TusichoshaneHakimu hii kesi yaweza kumpaisha kimataifa na kuipaisha nchi kimataifa kuwa Tanzania ina mahakimu mahiri
Ashirikishe mahakimu nguli,mawakili nguli wa hataki za wanawake na NGo ku draft hiyo hukumu
Hiyo kesi ni mfumo dume versus mfumo jike kwe rights za mwanamke
Handle carefully hiyo kesi imebeba image ya nchi kwenye haki za mwanamke awe wa kanisani au nyumbani au mfanyabiara nk
Huo ni utapeliWanaume tafuteni pesa, pesa ya mwanamke ni yake, ila ya mume ni yenu.
Unaona sawa mwanamke kupeleka mshahara wake Kanisani.Ni aibu dume Zima kung'ang'ania fedha za mkeo. Sio kazi yake kuhudumia familia. Kidume ng'ang'ana !!! Akikunyima chini ya kitovu hapo nenda mahakamani... Lakini sio kadi yake ya benki.!!!
Sent from my TECNO BA2 using JamiiForums mobile app
Kwanini wasigawane majukumu? Mume asomeshe watoto mke alipe kodi kila mtu achangie chakula maisha yaendelee
Duuuh, umenikumbusha mjeshi mmoja alimtimbia kakobe chachi ilikuwa kizaazaa, mjeshi yupo misheni dafur sudan huku mke kila kitu kapeleka mwengehuyu jamaa nae hajielewi,ingekuwa mm,nawaibukia na kakirikuu siku Yao pendwa ya jpili,nabeba speaker,Mike,viti ,vikapu vya kukusanyia pesa ,n.k Hadi nitakapoona vimetimia dhamani ya pesa aliyowapa wife!! baada ya hapo nione Nani atakayenifuata!![emoji16]
Motivational speakers bana.Huenda sio mchepuko lkn pesa ya mwanamke huwa haiguswi mkuu.
Labda uwe na mke anayejitambua sana mara moja moja akupige tafu endapo umeyumba.
Vinginevyo siku zote wanaume ndio mtaji wa familia na jamii.
Usicheze na motivational speakers na matapeli wanaojifanya Ni ma-gentleman walioko humu JF.Unaona sawa mwanamke kupeleka mshahara wake Kanisani.
Mwanamke akimlea mume wake wa ndoa iyo inaubaya gani?Wewe unataka kulelewa na mwanamke kipato huna unataka mwanamke akutunze na kipato chake bwege wewe
Ulitakuwa ukaoe mwanamke lofa mwenzio size yako anayeendana na ulofa ulionao sio kutafuta mwanamke matawi ya juu umlalie kipato chake kusaidia choka mbaya wewe uliyepigika kimaisha kama wewe.Lugha uliyoandika humu unaonyesha wewe lofa choka mbaya
Mwanamke atoe hela yake kwa hiari sio kulipa labda kugharimia chochote kwa nguvu inatakiwa iwe kwa hiari sio kwa kumshikia panga au kumpelekea mahakamani kushinikiza
Uliyemquote hukumuelewaKwahiyo mime hana mamlaka ku control kipato chake ila kanisa inayo mamlaka sindio?
Hivi mnajua maana ya kuwa mwili mmoja au mnadanganyana kwenye matamasha ya NGOs?
Kama ukioa bado inakuwa na mamlaka na vitu vyako kwanini mtu akitoka nje ya ndoa inakuwa kosa wakati inatumia mwili wako aliokuumba nao mungu?
Tatizo hamjalipima hili kwa upana ,Mimi kwa mawazo yangu naona jamaa anampenda mke wake na anaumia Sana mke wake kupeleka pesa kwa Hawa matapeli wachungaji uchwara.Huyo mwanaume anataka pesa ya mwanamke tu
Uanaume sio kuvaa suruali na dude kama bunduki katikati ya suruali
Ni uwezo wa kuhudumia familia bila kuelekea ku force ohh nipe kadi ya benki na ATM na namba ya Siri
Watetezi wanasheria wa haki za wanawake na NGo tetea haki za wanawake siku hiyo kesi iliyotajwa jazaneni hasa kuonyesha solidarity na huyo mama.Maafisa balozi wa nje pia wawepo wa dawati la balozi wa jinsia
Mfumo dume unahitaji kusomeshwa
Hakimu na wewe kakamaa mwanamke mwenzio huyo .Toa hukumu ya kihistoria ambayo ita trend dunia nzima ili mwanaume yeyote Mwenye tabia kama hiyo asije tokea