Mume na Baba wa familia anahitajika

Kwa sisi tunaotaka kuongeza bimdogo tunaruhusiwa? Vigezo vipo.
 
picha siyo yangu halisi
Hata kama siyo yako, nakupa codes; wanaume hatupendagi sijui mawigi, makucha marefu. Kiufupi tukiwaona kwenye mwonekano huo, tunatambua kichwani ni {} set. Mnaonekana kama vituko tu
 
Hivyo vigezo Niko navyo lkn subiri waje tu wenye moyo wa dhati🤔maana Mimi njaa ndio itafanya nikupende
 
UTANI;
Mwanamke miaka 33 kama alianza kuzagamuliwa akiwa 18 YO, maana yake amekuwa single kwa miaka 15. Kama kwa mwaka alikutana na wanaume at least wawili, we muoaji utakuwa wa 31. 😄😄😄
 
Njoo imbonbo
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…