Mume wa sasa wa pastor Irene Uwoya ni nani?

Nakaziaaaaaaaaaaaaaaa!!

Asante sana kwa mwongozo!

Kweli unafiki siooo poaaa kabisa!

Cc Smart911
 
granitized soma na uelewe hii post..
we need morden ulokole mambo ya akina mtume paulo sijui tupa kule, mchungaji avae kimini, paja nje nje, waumini tukienda kanisani tunapunguza stress za mahusiano kwa kuangalia uumbaji wa allah kwa mchungaji, mkoje nyie? yan mambo ya miaka 2000+ iliyopita mnataka kuyaleta karne hii? bakini huko rc/kkkt kwenu msituchoshe.
 
Halleluiiiiiiijah!!

Amen!

Cc Smart911
 
Nataka nikuulize swali
Upo ndani ya ndinga lako usiku unapita baadhi ya maeneo dar
Huwa unajua wale wanaojiuza kwa sababy ipi? Nikimaanisha huwa unajuaje huyu mwanamke anajiuza
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn moreโ€ฆ