Atheist sio diniKwakulazimisha uamuamin mbona unalazamisha mambo hayana mantiki
We kuwa mpagani hata kufanya chochote sababu wewe hutakua wakwanza
Kuna namna nakuonaga una upeo mdogo sana wa maisha kila siku unaanzisha uzi wa kumponda Mungu inshort huna content sababu mada zako ni zile zile kila siku
Unachofanya hata sio unique wala acts of genius kama lengo lako unalotaka lionekane watu kibao walishamkataa Mungu na wakaanzisha dini yao inaitwa atheist
Endelea kuamini hivi.Hakuna wa kuwawajibisha hao.
MUNGU NI PENDO HAIJALISHI WEWE UNAMWONAJE !!Mungu muumba mbingu na nchi anawezaje kuwa Pendo, Kwenye Dunia yenye Uovu, Mabaya, Magonjwa na Majanga ya asili kama radi, mafuriko, matetemeko ya ardhi, vimbunga?
Huyo Mungu mwenye upendo yupo kweli?
Ungebaki kanisani/misikitini wala hata usingeona tuna argue.Kama wewe huamin hakuna ni uhuru wako kuamini hivyo sababu hujashikia fimbo umwamini
Lakin sis wengine tunaamini mbingu ipo tutaendelea kuamini
Ni sawa kwa mtazamo wako.MUNGU NI PENDO HAIJALISHI WEWE UNAMWONAJE !!
Toa hoja siyo kuwa na dogmatic ideas.Endelea kuamini hivi.
Ni kisema chanzo cha ulimwengu na vilivyomo ni Mungu ndy aliye viumba wew kwanini unabisha ilihali hujui chanzo chake?Mimi sifahamu fika chanzo cha huo ulimwengu.
Na naamini hakuna ajuaye zaidi ya nadharia tu,
Wewe unaweza kuwa unajua chanzo cha hayo uliyoyasema ili unieleze nami nisiwe mjinga tena!?
Hayo ni matokeo ya kuumba ulimwengu ambao hawezi kuu control????MUNGU Yehova, Baba yetu wa mbinguni hamchukii mtu, Bali huichukia dhambi. Dhambi ni uasi dhidi ya MUNGU. MUNGU Huwa na uwezo wa kughadhabika kutokana na dhambi. Kuna mifano dhahiri ya madhihirisho ya ghadhabu ya MUNGU kushukia wanadamu.
Yehova YWHW Aliwahi kuiangamiza dunia yote kwa gharika ya maji. walipona watu wanane tu. Nuhu na familia yake.
Mwenyezi MUNGU, Yehova YWHW Aliwahi kuiteketeza miji miwili mikubwa ya Sodoma na Gomora kwa moto. wakaokoka watu watatu tu. Lutu na mabinti zake wawili.
hivyo endeleeni KUJIDANGANYA!
JESUS IS LORD&SAVIOR
Sio kutishana tu ni hadithi za ovyo kuliko hata za kina chopeko na mnofu.Mambo ya moto wa mateso ni kutishana tu
Yupo hai au tupo hai kwasababu mazingira unayoishi yanaruhusu uwe hai....Hivi wewe naomba nikuulize, iv unajua kwanini upo hai/umeletwa duniani ili iweje! ukinijibu hilo naungana nawewe kwenye imani yako
Una uthibitisho kwamba Mungu ndie chanzo cha ulimwengu na vilivyomo?Ni kisema chanzo cha ulimwengu na vilivyomo ni Mungu ndy aliye viumba wew kwanini unabisha ilihali hujui chanzo chake?
Mungu mwenye kujua yote tangu mwanzo na hata milele, Alishindwaje kuumba binadamu wema tu wasioweza kutenda mabaya?Mleta mada kuna kitu haelewi kwa nini Mungu anataka waovu mwisho wa siku awachome moto
Kaweka amri .zake zile lazima tutii.Sio kuwa tumtii yeye tu la zinaleta utengamano ndani ya dunia ili tusiumize wengine.Makosa mengi tunayotaka eti.Mungu atusamehe yanaumiza wengine na Mungu hataki mtu muumiza.wengine ndio maana mwisho wa siku ni motoni.
Mfano anasema usizini unazini na kumpa ukimwi mtu mwingine wewe ni wa kuchomwa moto kabisa muuaji mkubwa unaumiza wengine
Anasema usiibe unaibia wengine kwa kupitia njia mbalimbali ziwe ujambazi nk.na kuwaachia machungu makubwa wengine kwa wizi wako mwisho wa maisha Mungu.kaweka moto jitu.kama wewe ni motoni tu
Lingine unaambiwa usiseme uongo unadanganya watu na kuwatapeli na kuwaumiza pakubwa mwisho wa siku motoni
Unaambiwa usiue wewe unaua watu kwa njia mbali za.uchawi,nk unataka Mungu akakuweke wapi ukifa.Hana sehemu bora ya kuweka mtu kama huyo ni motoni tu
Moto umewekwa mahususi kwa wote wasiotaka kuishi kwa kutii amri za Mungu za kufanya Binadamu waishi kwa utengamano
Usipotubu dhambi na kuziacha na kuokoka moto jehanamu unakusubiri
Jamaa ngoja auvagae kwanza ndipo atajuwa hajuwiOyaa, mkiwa mitaani huwa manchukulia Poa UKIMWI.
UKIMWI ,UUSIKIE KWA WATU.
Hujielewi kijana.
Ukisikia Mungu ndiye hakimu wa haki unaelewa nini?
Kuna watu dunia hii wanaringia vyeo vyao pesa zao kuwanyanyasa wengine ,kuwadhulumu nafsi zao nk ,hao watu wanaringia kwa sababu hakuna lolote wanaweza kufanya, sasa haki ya huyu mnyonge aliyedhulumiwa iwe kuishi au kunyanyaswa vyovyote vile Mungu ndiye husimama kama hakimu kujikimu kesi hii.
Bila Mungu kutoa adhabu unafikiri hao watu waliodhulumiwa haki zao watazipata wapi?
Tuanzie hapa kwanza.
Mleta mada kuna kitu haelewi kwa nini Mungu anataka waovu mwisho wa siku awachome moto
Kaweka amri .zake zile lazima tutii.Sio kuwa tumtii yeye tu la zinaleta utengamano ndani ya dunia ili tusiumize wengine.Makosa mengi tunayotaka eti.Mungu atusamehe yanaumiza wengine na Mungu hataki mtu muumiza.wengine ndio maana mwisho wa siku ni motoni.
Mfano anasema usizini unazini na kumpa ukimwi mtu mwingine wewe ni wa kuchomwa moto kabisa muuaji mkubwa unaumiza wengine
Anasema usiibe unaibia wengine kwa kupitia njia mbalimbali ziwe ujambazi nk.na kuwaachia machungu makubwa wengine kwa wizi wako mwisho wa maisha Mungu.kaweka moto jitu.kama wewe ni motoni tu
Lingine unaambiwa usiseme uongo unadanganya watu na kuwatapeli na kuwaumiza pakubwa mwisho wa siku motoni
Unaambiwa usiue wewe unaua watu kwa njia mbali za.uchawi,nk unataka Mungu akakuweke wapi ukifa.Hana sehemu bora ya kuweka mtu kama huyo ni motoni tu
Moto umewekwa mahususi kwa wote wasiotaka kuishi kwa kutii amri za Mungu za kufanya Binadamu waishi kwa utengamano
Usipotubu dhambi na kuziacha na kuokoka moto jehanamu unakusubiri
Na asipokuelewa hapa ndo basi tenaMuombe Mungu akusamehe kwa Uzi Huu, Kisha waombe Mods waufute Uzi Huu!!.
Ni Mungu huyuhuyu muumbaji na Upendo, aliwachoma moto sodoma na gomora sijataja zama za Nuhu, huyu Mungu alompa Samson nguvu awauwe wafilisti na maadui wa Israel, ni Mungu huyohuyo alokua anawaagiza Wana isarel wawaue maadaui zao kuanzia Watu mpaka Kuku !!.
Ni Mungu yule yule alombariki Eliya, Ayubu, Daudi,
Ni Mungu yuleyule alomponya Jenerali Naamani na wengine.
Ni Mungu alomfufua Lazaro ,na wengineo !!.
Ni Mungu yuleyule anayeturuhusu tupumue Hata Sasa tunapoandika hapaa !!!.
Kwa sisi tuonafanya kazi Ma Hosp, tunaelewa Kifo ni nini !! Na kwamba, Huchukua Sekunde Moja tu kubadili Historia ya mtu kutoka mtu kuongea, mpaka mtu kushindwa hata kufungua jicho !!.
Ni Mungu huyuhuyu aloruhusu uwe hapo ulipo.
Ni huyohuyo Mungu, aloiweka ahadi ya kutoigharikisha Dunia Kwa maji badala yake akasema, NITAICHOMA DUNIA NA WADHAMBI WOTE KATIKA ZIWA LIWAKALO MOTO.
Njia pekee ya kuukumbia Huu moto ni Kutokufanya dhambi, na tutaliweza Hilo Kwa kumuomba Mungu ili atupe Uwezo na neema zake, huku wenyewe tukichukua Jitahada binafsi.
HAKIKA, KICHWA CHA MWANADAMU KINAWAZA UPUMBAVU,,,, ILA MWANADAM ANAPOFIKIA HATUA YA KUFANYA KUFURU KWA MUNGU, NI ZAIDI YA UPUMBAVU !!.
UWEZO NA UKUU WA MWANADAMU, KAMWE HAUCHUNGUZIKI !!! NI MUNGU ATABAKI KUA MUNGU !!.