Mungu na Allah mbona wana itikadi tofauti? Je, ni wamoja au pande mbili zinazokinzana?

Mungu na Allah mbona wana itikadi tofauti? Je, ni wamoja au pande mbili zinazokinzana?

Biblia na Quran..

Vitabu vya hovyoo...


Waachie wenyewe watu wa mashariki ya kati.


Leo mtaani nilikuwa nampa darsa,

Mlokole mmoja Historia ya Biblia na Quran,, na nikamchambulia mahovyo hovyo yalimo ndani ya vitabu hivyo, akabaki kuduwaaa.. !!
 
Madrasut gani walikudanganya huu upupu Mwamba?
😁😁
Huo sio elimu ya madrasa ni elimu ya historia ya bara arab!

Tatizo wengi wenu hamna elimu, mnapenda kukariri sana!

Na mmemezeshwa itikadi za kijinga, ko ukitaka waarabu wasiwe na uhusiano na ukristo we kama nani!

Fuatilia kuhusu Misri na Lebanon kuna wakristo kibao na sio ukristo wa kupelekwa na wazungu ni wa asili!
 
Injili halisi ya Yesu? Waliikuta wapi,na ni wapi injili imemtabiri Muhamad,Kwa hiyo Quran siyo human version ni Mungu aliandika kwa mkono wake akaichapisha na kumpa Muhamad?
Kwa sasa huwezi kuipata injili!

Tuanzie hapa, je yesu anaitambua biblia???
 
B
1. Kitabu halisi Kiko wapi? (Nani alithibisha hiko ni halisi na kile sio? Na kwanini tumuamini?)

2. Alitabiriwa na nani? wapi?

3. Injili ipi kati ya zile nne imemtaja Muhammad?

4. Mungu anatabiriwa vipi wakati yupo na aliabudiwa tangu kale?

5. Mungu aliyeabudiwa na wakristu anafanana nini na wa Muhammad

6. Wangu ni ujinga na chuki kwa muktadha upi? Thibitisha kama sijui nilichoandika

7. Kwanini nilichoandika kiwaumize waislamu?
Binafsi siumii na maandiko yako, ila huwa sipendi kuona mtu anajaribu kuwaeleza watu kuhusu jambo fulani then ndani yake alete uongo au maneno yenye kuashiria chuki na kashfa dhidi ya wengine!
 
Ok sawa..
Kwanza kabisa Kuna Majina Ya Mungu zaidi ya 50 kwenye Biblia labda kama hufahamu Hilo..

Umezungumzia kuhusu Pombe wote wameahidi pombe..

Japo Nikukumbushe Kuwa Katika agano la kale Hakukuwa na Ahadi ya Kwenda Mbinguni wala Unyakulio Hilo jambo limeanza kipindi cha agano jipya..

Ila Usisahau Yesu aliahidi Wanafunzi kwamba watapata Kilaji siku ile Mpya..
So nadhani kuhusu Hilo wako sawa..

Marko 14:25

Amin, nawaambia ninyi, Sitakunywa tena kabisa uzao wa mzabibu, hata siku ile nitakapounywa mpya katika ufalme wa Mungu.

Verily I say unto you, I will drink no more of the fruit of the wine, until that day that I drink it new in the kingdom of God.

Andiko la pili limeeleza Nitakapokunywa na nyinyi..

Mathayo 26:29

Lakini nawaambieni, Sitakunywa kabisa tangu sasa uzao huu wa mzabibu, hata siku ile nitakapokunywa mpya pamoja nanyi katika ufalme wa Baba yangu.

But I say unto you, I will not drink henceforth of this fruit of the wine, until that day when I drink it new with you in my Father's kingdom.


Tuendelee na Kuhusu Pombe..

Zaburi 75:8

Maana mkononi mwa BWANA mna kikombe,

Na mvinyo yake inatoka povu;
Kumejaa machanganyiko;
Naye huyamimina.
Na sira zake wasio haki wa dunia

Watazifyonza na kuzinywa.

For in the hand of the LORD there is a cup, and the wine is red; it is full of mixture; and he poureth out of the same: but the dregs thereof, all the wicked of the earth shall wring them out, and drink them



so Huo ni.mfanano wa kwanza mfanano wa Pili ni kuwa Wote wameahidi Kuna Siku ya qiyama kitu ambacho kwa wayahudi hakuna Hiyo siku..



So nakukaribisha Mkuu Tuendelee na Mjadala ila wote ni sawa na hata Muhamedi na Yesu wote ni sawa tu
Hapo kwenye kumlinganisha Yesu na Muhamadi sasa..,
 
Allah ni mungu wa waarabu ndiyo maana huwezi kuwasiliana naye kama hujui kiarabu pia ni lazima unapotaja mungu kumlenga yeye hutaki Mungu kama Mungu hata kama lugha mama yako ina tafsiri ya neno Mungu sharti urejee neno Allah ili ijulikane ni yeye
Hii Imeenda
 
Haya pata elimu kidogo maana hujui chochote zaidi ya kubisha bisha tu vitu ulivyokaririshwa

Elimu yako ya dini yako ni ndogo sana.
Nimekuuliza Mungu wako anaitwa nani umeshindwa kujibu.
Mungu wa Wayahudi anaitwa Yehova, pia alijitambulisha kwa jina la MIMI NIKO AMBAYE NIKO na maandiko yapo.

Badala ya kunipa jina la Mungu wako unanipa sifa 99 za Allah.

Kesho uwahi kwenda msikitini kamwulize imamu wako kuwa Mungu wa Waislamu anaitwa nani ?

Kama huelewi hata Shahada ya dini yako ya Kiislamu inavyosema, ambayo ndio nguzo yako ya kwanza katika doni.
Nina uhakika huelewi chochote kwenye dini yako.
Kwa lugha ya kiarabu
Mungu anaitwa, illah
Shahada yako inaimbwa hivi.

{"La illah ila Allah, Muhamadi rasul illah"
" Hakuna Mungu ila Allah, Na Muhamadi ni mjumbe wa Mungu"}

Na kama hujui hata maana ya shahada ya kiislamu, wewe ni Muislamu maamuma.

Usibishane na mimi, nenda kaulize huko msikitini watakuambia kama ninavyo kuambia mimi.

Tuliwaambia Waislamu, hamuijiu qurani yenu sababu hamuijiu lugha ya kiarabu mnabisha bisha tu.
 
1. Kitabu halisi Kiko wapi? (Nani alithibisha hiko ni halisi na kile sio? Na kwanini tumuamini?)

2. Alitabiriwa na nani? wapi?

3. Injili ipi kati ya zile nne imemtaja Muhammad?

4. Mungu anatabiriwa vipi wakati yupo na aliabudiwa tangu kale?

5. Mungu aliyeabudiwa na wakristu anafanana nini na wa Muhammad

6. Wangu ni ujinga na chuki kwa muktadha upi? Thibitisha kama sijui nilichoandika

7. Kwanini nilichoandika kiwaumize waislamu?
Injili haijamtabiri Mungu bali imetabiri muhammad, na kama unadhani Muhammad ni Mungu wa waislamu basi kwa hilo umekosea, muhammad si Mungu bali ni mtume wa mwenyezi Mungu aliyeletwa kuwaongoza viumbe na kuwafundisha kuhusu Mungu mmoja naye ni mfautilizi wa mitume waliotangulia kabla yake kama Mussa, Haroun, Yakoub, Is-haq, Yunus, Nuh, Issa(yesu) na wengineo.
 
Mkuu Mungu ni cheo na Mungu wapo wengi na kila Mungu ana jina lake kuna Mungu anaitwa Allah,Jehova nk.
 
B

Binafsi siumii na maandiko yako, ila huwa sipendi kuona mtu anajaribu kuwaeleza watu kuhusu jambo fulani then ndani yake alete uongo au maneno yenye kuashiria chuki na kashfa dhidi ya wengine!
Sawa bainisha hapo chuki iko wapi kashfa iko wapi na uongo uko wapi
 
Allah ni
Allah ni jina la Mungu wa Waislamu.
Mungu kwa kiarabu ni illah.
Kwani ukipata muda kwanda kuuliza msikitini utakosa nini?
Una haraka gani
Huyo kwani ni Dr. wa lugha ya kiarabu.

"La illah" = hakuna Mungu
"Ila Allah" = Isipokuwa Allah.
Haya ni maneno ya mwanzo ya shahada yenu ya Kiislamu.
Inaishia na
"Muhammadi rasul illah"
Na muhamadi ni mjumbe wa Mungu.
Umeziona illah mbili hapo ?
Zikimaanisha neno Mungu?
Shahada yenu inatamka neno Mungu mala mbili, na kumtaja Allah mala moja.

Wewe ulienda shule kweli ?
Ni ilaah na sio illah,

Hilo ni neno la kiarabu.

Na maana ya ilaah mwenye kustahiki kuabudiwa na ndio maana hata firaun alitamka kwa ilaah akimaanisha yeye ndiye anayetakiwa kuabudiwa na wamisri wa wakati huo.

Acha kuandika usiyoyajua, utaumbuka!
 
Injili haijamtabiri Mungu bali imetabiri muhammad, na kama unadhani Muhammad ni Mungu wa waislamu basi kwa hilo umekosea, muhammad si Mungu bali ni mtume wa mwenyezi Mungu aliyeletwa kuwaongoza viumbe na kuwafundisha kuhusu Mungu mmoja naye ni mfautilizi wa mitume waliotangulia kabla yake kama Mussa, Haroun, Yakoub, Is-haq, Yunus, Nuh, Issa(yesu) na wengineo.
Injili ipi kati ya mathayo, Marko, Luka na Yohana imemtabiri Muhammad

Issa sio Yesu
 
Injili ipi kati ya mathayo, Marko, Luka na Yohana imemtabiri Muhammad

Issa sio Yesu
Hivyo sio vitabu vya injili ya Mungu aliyompa yesu, bali ni maneno ya hao uliowataja na ndio maana hata huyo yesu mwenyewe havitambui hivyo vitabu!
 
Kwenye maelezo yako yanayosema kuwa Allah ni Mungu wa waarabu na haiwezekani kuwasiliana naye kama haujui kiarabu ulikuwa na maana gani, na uliandika kwa mlengo upi???


Kwa sababu hakuna ukweli wowote katika uliyoyaandika kuhusu Allah na maana yake!

Ukiwa muongo uwe na kumbukumbu.
 
Ni ilaah na sio illah,

Hilo ni neno la kiarabu.

Na maana ya ilaah mwenye kustahiki kuabudiwa na ndio maana hata firaun alitamka kwa ilaah akimaanisha yeye ndiye anayetakiwa kuabudiwa na wamisri wa wakati huo.

Acha kuandika usiyoyajua, utaumbuka!
Ungemfahamisha huyo mwislamu mwenzako ambaye hajui maana ya Allah na hiyo ilaah.
 
Sawa bainisha hapo chuki iko wapi kashfa iko wapi na uongo uko wapi
Kwenye andiko lako hili
Allah ni mungu wa waarabu ndiyo maana huwezi kuwasiliana naye kama hujui kiarabu pia ni lazima unapotaja mungu kumlenga yeye hutaki Mungu kama Mungu hata kama lugha mama yako ina tafsiri ya neno Mungu sharti urejee neno Allah ili ijulikane ni yeye
Hapa uliandika nini, na kwa lengo gani????

Lete uongo wako wa kujitetea.
 
Back
Top Bottom