Mungu wa walokole ana nguvu sana 1997- 2019! Kumbukumbu zangu

Mungu wa walokole ana nguvu sana 1997- 2019! Kumbukumbu zangu

Mimi sina dhehebu sababu hata hao walokole hawana dhehebu ila wana alama tu za kiroho na kimwili kupitia jina la Mwana wa mmiliki liitwalo EMANUELI.Na nimeamua kumfuata mungu wa walokole baada ya kuona ukuu wake na yeye amenilazamisha nimfuate maana ukuu wake ndio unaniweka hai..Wala mimi sio mkamilifu na ni mtu mwenye dhambi na nina mapungufu mengi tu.Lakini huyu Mungu wa walokole ana gravity kubwa mno siwezi kuiepuka na jina la Mwanae ni kinga tosha kuliko hirizi au pete au dua za watu wanaoabudu nyota ya mashariki na mwezi na malikia wa anga
Malkia wa Anga , ndio nani Tena Huyo?

Je,kumuomba maria mama wa yesu ni dhambi?
 
Al Jinn kwenye Quran wanadhihirisha shetani alivyotupwa dunia na wafuasi wake ambao ni majini yakaamua yasilimu yawe waislamu
72:8 Nasi tulizigusa mbingu, na tukaziona zimejaa walinzi wenye nguvu na vimondo

72:9
Na hakika tulikuwa tukikaa humo katika baadhi ya makao ili kusikiliza; lakini sasa anaye taka kusikiliza atakuta kimondo kinamvizia!

Biblia takatifu inasema
Ufunuo wa Yohana 12:7-9
7
Kulikuwa na vita mbinguni; Mikaeli na malaika zake wakapigana na yule joka, yule joka naye akapigana nao pamoja na malaika zake;

8 nao hawakushinda, wala mahali pao hapakuonekana tena mbinguni.

9
Yule joka akatupwa, yule mkubwa, nyoka wa zamani, aitwaye Ibilisi na Shetani, audanganyaye ulimwengu wote; akatupwa hata nchi, na malaika zake wakatupwa pamoja naye.
Mungu wa walokole ana ushirika ns majini wala hawatambui na hawana uwezo wa kusogelea maskani yake.Yeye ana ushirika na wale watu warefu wenye mabawa na wanaoshika mapanga kuwalinda walokole,,wanaitwa wana wa utukufu na wote wana nembo za mwana wa mmiliki.
Majini hawana utukufu na hawana usharika na walokole na wanamuogopa yule mkuu wa walokole anaeitwa mwana wa mmiliki.
NB: MUNGU WA WALOKOLE ANASEMA NI KUFURU KULINGANISHA PUMZI YANGU ( AMBAZO NI KITABU CHAKE WANACHOTUMIA WALOKOLE) NA VITABU VYA MIUNGU YA MASHARIKI AMBAZO NI ROHO ZENYE LAANA..
ANASEMA JE MIMI SI MUNGU WA WATU WANGU???? NA KAMA YUPO MWINGINE AJE KIROHO KUNINYANGANYA UTUKUFU WANGU NA UTUKUFU WA MWANANGU NA UTUKUFU WA ROHO YANGU NA WASHIRIKA WANGU?????
ANAPOSEMA HIVYO MBINGU ZOOOTE ZINAKAA KIMYA NA UTUKUFU WAKE UNASHUKA MPAKA MIISHO YA ULIMWENGU.
 
samahani mkuu kwanini umeliandika kwa nukta?
KILA HERUFI KIROHO INA MAMLAKA KUTOKA KWENYE PUMZI YA MUNGU NA KILA HERUFI INA TAFSIRI YAKE..NI HATARI MNO KULIFANYIA MIZAHA HILO JINA KIROHO...NA NI WALOKOLE TU WENYE ACSESS NALO NA NI FUNGUO YA KILA KITU KWENYE ULIMWENGU WA KIROHO
 
Vipi kuhusu siku ya ibada ni ipi j.pili au j.omos sabato?
MWANA WA MMILIKI ANASEMA KUA HAPENDEZWI NA IBADA ZA MWANADAMU KWA MPANGILIO WA SIKU BALI ANAPENDEZWA NA IBADA ZA ROHO ZA KUTUBU NA KUMUHESHIMU KWA ROHO NA KWELI.
NA HAKUNA SIKU YA IBADA KIROHO BALI KILA SIKU WALOKOLE WANATAKIWA WAFANYE IBADA 24 HOURS.NA NDIVYO WANAVYOFANYA WALOKOLE KIROHO
 
Kuna nyuzi humu zinasema pombe inaruhusiwa biblia inatana divai mvinyo wao wanachukulia kama pombe wakati hapohapo biblia imekataza pombe inasema msilewe Kwa mvinyo Bali mjazwe roho mtakatifu imekataza na ulevi pia....Mkuu tunaomba ufafanuzi
Walokole au wateule wa mwana wa mmiliki hawanywi pombe na ni chukizo mbele zake
 
Kuna kanisa fulani hufundisha kuhusu malikia wa mbingu, humpa uwezo huyo Malkia ni moja ya fundisho la uongo sana.
Nyuzi hii imenipa nguvu sana , Nina mambo mengi ya ku share ambayo yataweza kukusaidia ktk utafiti wako. Mungu akupe nguvu kupitia Roho wake mtakatifu uzidi ku share mambo haya muhimu ya Rohoni watu wapate kujua ukuu na utukufu wa Mungu wa walokole. Ubarikiwe [emoji1488]
Ubarikiwe pia!!!!Ningependa kupata maarifa kutoka kwako...Mungu wa walokole amewaruhusu wamdadisi na kumtafiti na kusemezana nae.
Anawapendelea walokole kwa ulinzi wa ajabu sana kiroho!!!
 
Je,baraka za kiroho hubadilikaje kuwa za kimwili,

Ufanyeje mtu kuzibadilisha baraka za rohoni kuja mwilini
 
Malkia wa Anga , ndio nani Tena Huyo?

Je,kumuomba maria mama wa yesu ni dhambi?
Malkia wa anga ni roho ovu ya mashariki na ina alama ya nyota na mwezi.
Na walokole hawamuombi Maria,,,mda woote wanamuomba Mwana wa mmiliki katika roho.
Maria ni mama wa kibinadamu sikuona walokole wanamuabudu!!
 
Kwa hio wale wanao Vaa VIMINI huku wananena Kwa lugha hutokea Nini rohoni,

Na wale WAVAA mawigi hawasindikizwagi na mapepo huko kanisani waendapo kiroho
 
Ubarikiwe pia!!!!Ningependa kupata maarifa kutoka kwako...Mungu wa walokole amewaruhusu wamdadisi na kumtafiti na kusemezana nae.
Anawapendelea walokole kwa ulinzi wa ajabu sana kiroho!!!

In short hii Dunia vitu vingi vipo opposite sana na watu hawawezi kushituk sababu watu wanaamini sana ktk macho ya nyama. Kweli Mungu wa walokole huyo acha kuna muda huwa naimba sioni vinanda ila sauti naisikia, kazisuka mbingu zake Za ajabu na utukufu wake ni wa ajabu kuna siku moja niliona maono ya mbingu mpya kwa kweli sio kwa uzuri ule pia anajua siri zote Za uso wa Dunia , kuna siku alinigusia kuhusu agano moja Lenye ishara ya Moto kuwa ni chukizo machoni mwake ila cha ajabu kila mwaka watu , wanalitukuza sana, hata wew kuandika uzi huu kuna nguvu inayofanya kazi ndani yako.
 
Kwa hio wale wanao Vaa VIMINI huku wananena Kwa lugha hutokea Nini rohoni,

Na wale WAVAA mawigi hawasindikizwagi na mapepo huko kanisani waendapo kiroho
Kuna kunena kwa lugha za roho ovu na sio Mungu wa walokole.
Tafuta tsfsiri ya wigi au kucha bandia au pombe au nguo zisizofaa!!!Na sio kila kanisa linalojiita la kilokole basi rohoni linaonekana kilokole....Asilimia tisini yote hayo sio makanisa ya kilokole,sababu ulokole sio kanisa au jengo bali ni utambulisho binafsi wa mtu kiroho.
 
Sala Ile ya Baba yetu ulie mbinguni,
Ndio Sala inayotakiwa tuiombe,

Au vipi,

Na kwanini yesu kwenye Ile Sala alisema usitutue majaribu I,
Na wakati mitume husema majaribu ni mtaji , je alitaka tukose mtaji wa kuongeza Imani,

Na mtume mwengine anasema Mungu hamjaribubmtu, je hio imekaaje
 
Sala Ile ya Baba yetu ulie mbinguni,
Ndio Sala inayotakiwa tuiombe,

Au vipi,

Na kwanini yesu kwenye Ile Sala alisema usitutue majaribu I,
Na wakati mitume husema majaribu ni mtaji , je alitaka tukose mtaji wa kuongeza Imani,

Na mtume mwengine anasema Mungu hamjaribubmtu, je hio imekaaje
Haya majibu yake muombe mwana wa mmiliki akufunilie katika maombi
Binadamu asikuchanganye
 
Kuna maswali nilikuuliza ,kipindi Cha nyuma ambapo hukuwa hewani,

Cheki kwenye notifications hapo then nakuomba unisaidie KUNIJIBU Yale MASWAL
 
Kwa Nini ,

Uzinzi na uashetari ni Dhambi?

Na Tamaa je Kwa Nini ni Dhambi, wakati ndivyo alivyo muumba mwanaume kumtamani,

Au tamaa inatoka wapi,na utaishindaje mtu
 
Back
Top Bottom