Niache Nteseke
JF-Expert Member
- Apr 29, 2020
- 2,162
- 2,616
This is the degree of selfishness ambayo watanzania tunayo.
Kweli katika laki 3 za posho anazochukua kila siku kwa mwezi mzima ameshindwa kuwa smart akatoa laki 3 moja kununua kengele ya umeme ile na kuwapa uongozi wa shule laki 2 kwa ajili ya kui setup?
Unaleta rim ya canter sijui coaster shule kwa mbwembwe kujidai umetoa zawadi. Thats a serious Joke!!!
Hivi mtu kama huyu hata familia anatunza kweli kwa akili hizi? 🤣
CCM inaumwaKatika kuadhimisha siku ya kuzaliwa kwa Chama Cha Mapinduzi , Jumuiya ya Wazazi CCM Musoma imetoa zawadi kabambe ya Kengele ya kisasa aina ya Rimu la gari , kwa ajili ya kutumika shuleni hapo .
Wazee hao wanaamini kwamba Wanafunzi wakisikia kengele hiyo watajua Kwamba serikali imeleta Maendeleo .
View attachment 2502651
Anajivunia mafanikio yake kama mbunge. Siku ya kampeni atatoa sifa zake kuwa alitoa mchango mkubwa sana katika kuboresha elimu kwa kutoa misaada ya vifaa vya elimu.Mkavuu na njino anakenua😁
Ndo zao hizoAnajivunia mafanikio yake kama mbunge. Siku ya kampeni atatoa sifa zake kuwa alitoa mchango mkubwa sana katika kuboresha elimu kwa kutoa misaada ya vifaa vya elimu.
Hivi vitu vingine sio hata vya kutangaza kwa kweli.
Kwahiyo Mheshimwa mbunge kaenda kuokota rim kalipeleka shule kama zawadi ya kengele.
Anajivunia mafanikio yake kama mbunge. Siku ya kampeni atatoa sifa zake kuwa alitoa mchango mkubwa sana katika kuboresha elimu kwa kutoa misaada ya vifaa vya elimu.
Halafu yupo siriazi kabisa 🤣🤣🤣View attachment 2502669View attachment 2502770
Timekeeper kasimama kwa heshma na taadhima huku kashikilia chuma lake la kugongea Kengele...! Hatari sana.
[emoji38][emoji38][emoji38]CCM inaumwa
Hivi mkuu wa shule ameshindwaje kuikataa hilo dude?
Hatari sana mkuu...!Halafu yupo siriazi kabisa 🤣🤣🤣
Ya Tsh 22,000/= kwenye chuma chakavu maana hiyo bei hilo rim wanakupimia kwa Kg.Duh yani anashindwa kutoa fungu ifungwe electric bell/alarm system hapo shuleni badala yake anapeleka rim ya lorry
Nilikwenda Ujerumani hivi karibuni, nikatembelea kanisa fulani. Mwenyeji wangu alinitembeza humo kanisani, kitu alichojivunia sana ni kengele iliyo tundikwa kwenye mnara wa hiyo kanisa - ina uzito wa Tani moja na inapigwa na watu watatu wanao vuta kamba ndani ya chumba mahasusi kwa kazi hiyo kila jumapili asubuhi au wakati wa siku muhimu kwa kanisa hilo.Katika kuadhimisha siku ya kuzaliwa kwa Chama Cha Mapinduzi , Jumuiya ya Wazazi CCM Musoma imetoa zawadi kabambe ya Kengele ya kisasa aina ya Rimu la gari , kwa ajili ya kutumika shuleni hapo .
Wazee hao wanaamini kwamba Wanafunzi wakisikia kengele hiyo watajua Kwamba serikali imeleta Maendeleo .
View attachment 2502651
Hamna kitu hapo, Ni upumbavu tu yaani na picha juu.. Magufuli aliaribu sana bunge letuCheap popularity mkuu...!
Nilikwenda Ujerumani hivi karibuni, nikatembelea kanisa fulani. Mwenyeji wangu alinitembeza humo kanisani, kitu alichojivunia sana ni kengele iliyo tundikwa kwenye mnara wa hiyo kanisa - ina uzito wa Tani moja na inapigwa na watu watatu wanao vuta kamba ndani ya chumba mahasusi kwa kazi hiyo kila jumapili asubuhi au wakati wa siku muhimu kwa kanisa hilo.
Hivyo, hiyo rimu ya Gari inafaa sana kwa ajili ya kengele ya shule - ina mlio mkali unao fika mbali. Hivyo itatoa na faida kubwa kwa wakazi wa karibu na shule, kusaidia kushiriki katika kuwawajibisha walimu na wanafunzi (mlio wa kengele ya rimu). Pongezi kwa walio liona hilo na kutoa msaada huo. Na wewe kama unayo rimu chakavu hapo nyumbani, usiipeleke kuiuuza kwa vyuma chakavu - donate it to any school. Haimalizi LUKU!
[emoji1][emoji1][emoji1]CCM inaumwa