Musoma: Mtoto afariki na kugeuka jiwe

Nonsense. Huyo mtoto kauawa au kaibwa. Hao watu na yeyote anayeamini hii habari ni mazwazwa wa kiwango cha PhD.
Nina uhakika wewe ni mmoja wa mazwazwa wakubwa wa dunia hii. Ulimwengu huu una mengi mno yasiyoenea kwenye bongo zetu. Yapo it doesn’t matter how nonsensical they may be, yapo!
 

Well, nimekaa S/wanga na nilikua Havard last December kwenye function fulani, that wasn't the first time probably not the last one either, kote sijapata uthibitisho wa uwepo wa ushirikina zaidi ya story za hearsay zinazosambazwa na wajinga na kuaminiwa na mazwazwa.

Hao viongozi wadini kuamini kwao hakufanyi na mimi niamini. Story za Mungu wao zenyewe zina walakini ndo sembuse ushirikina? Nahitaji uthibitisho sio kuamini kama nyumbu.
 
Kuna profesa mmoja wa Sociology hapo UDSM alishafanya utafiti huko Gamboshi, ilimlazimu mpaka kupaa kwa ungo, Ila alidhurika alikuwa mdhaifu kwa muda mrefu baadaye.
Unaleta utoto sasa!Profesa mmoja ndo ujinga gani, taja jina lake!
 
Mbona hakuna uhusiano kati ya Bariadi, Simiyu na MUSOMA kuliko tokea tukio ndugu.
 

Kuna profesa mmoja wa Sociology hapo UDSM alishafanya utafiti huko Gamboshi, ilimlazimu mpaka kupaa kwa ungo, Ila alidhurika alikuwa mdhaifu kwa muda mrefu baadaye.
Halafu Kuna pimbi mmoja hapo juu ni mbishi balaa. Na humu wamo wengi tu; wamesoma soma kidogo wakadhani elimu waliyoipata ndiko kila kitu kiasi kwamba hakuna elimu nyingine zaidi ya hapo. Huo nao ni uzwazwa.
 

Nimeishi kabisa hizo sehemu sio kukaa tu hadi Kigoma Mnanila kule mpakani kabisa na Burundi nimekaa pale, nimesema haya haya na hadi leo sijapata huo uthibitisho zaidi ya hizi dana dana za sijui nenda wapi sijui fulani alifanya hivi sijui kilitokea kile, zote ni story tu kama wewe ambavyo unasimuliwa na kuamini maana hujawahi kuona kitu ila unaamini tu kama nyumbu.

I'm glad umegusia research ya UDSM, ulisoma ile ripoti au nayo ulisimuliwa tu? FYI majibu yao yalisema ni imani zinazoaminiwa na watu wajinga:

 
Wazungu ndio nazwazwa wakubwa wa mambo ya kiroho. Unahitaji direct experience ya haya mambo ndio utaamini yapo, up until then mambo hayo ni uzwazwa.
 
😂😂😂Dah
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…