Nina uhakika wewe ni mmoja wa mazwazwa wakubwa wa dunia hii. Ulimwengu huu una mengi mno yasiyoenea kwenye bongo zetu. Yapo it doesn’t matter how nonsensical they may be, yapo!Nonsense. Huyo mtoto kauawa au kaibwa. Hao watu na yeyote anayeamini hii habari ni mazwazwa wa kiwango cha PhD.
ChaiKuna profesa mmoja wa Sociology hapo UDSM alishafanya utafiti huko Gamboshi, ilimlazimu mpaka kupaa kwa ungo, Ila alidhurika alikuwa mdhaifu kwa muda mrefu baadaye.
jina la huyo profesaKuna profesa mmoja wa Sociology hapo UDSM alishafanya utafiti huko Gamboshi, ilimlazimu mpaka kupaa kwa ungo, Ila alidhurika alikuwa mdhaifu kwa muda mrefu baadaye.
Ila we jamaa umekaza fuvu kwa mambo usiyoyajua ilhali huna ulijualo. Eti wanaoamini uwepo wa ushirikina ni mazwazwa, zwazwa ni wewe unayepinga uwepo wa mambo ambayo yapo.
Kwa taarifa yako viongozi wote wa dini wanaamini hayo mambo yapo maana vitabu vyote vitakatifu vimetaja uchawi na vinaukemea. Papa Francis, Maaskofu,Mapadre,Wachungaji,Maimamu,Masheikh,n.k wengi ni wasomi wa viwango vikubwa kukuzidi yet wanajua uchawi upo.Kuamini uwepo wa uchawi/ushirikina haimaanishi kwamba unaunga mkono mambo hayo.
Mhe.Andrew Chenge amasoma Havard University ambako hujawahi kutia mguu na pengine ukafa bila kukanyaga pale, ila muulize kuhusu hayo mambo atakwambia. Mhe.Mizengo Pinda alishawahi kuhojiwa kuhusu kama kweli hayo mambo yapo kule kwao Sumbawanga kama wengi wanavyodai, akakiri yapo kwa sana tu. Sasa we mwenzetu Bufa sijui ulizaliwa na kukulia Amsterdam? Ila sisi tuliozaliwa na kukulia hapa Africa tunajua hayo mambo yapo kwa wingi tu.
umeinywa na nini sasa au kavuChai
hao wakibanwa sawasa wiki ukweli wote wanaeleza
Unaleta utoto sasa!Profesa mmoja ndo ujinga gani, taja jina lake!Kuna profesa mmoja wa Sociology hapo UDSM alishafanya utafiti huko Gamboshi, ilimlazimu mpaka kupaa kwa ungo, Ila alidhurika alikuwa mdhaifu kwa muda mrefu baadaye.
Mbona hakuna uhusiano kati ya Bariadi, Simiyu na MUSOMA kuliko tokea tukio ndugu.Maelezo ya mama anasema ana watoto mapacha alitoka bariad kwenda simiyu kumuona mkwewe ambae aliambiwa ni mgonjwa alipofika akapokelewa stendi na wifi yake yeye akambeba kulwa na wifi yake akambeba dogo wakat wanakaribia nyumbani akahis uzito mgongoni unapungua akamuomba wifi yake amuangalie mtoto wifi,wifi yake akamwambia mtoto yupo sawa walipofika nyumbani mtoto amekakamaa amefariki akawa jiwe 😭
Kuna video ya tukio lenyewe au video ya mtu anayesimulia hiki kihoja? Una uhakika gani nae hajala njama ya kumdhuru huyu mtoto mchanga?
Kama ni video ya mtoa ushuhuda ana tofauti gani na Zumaridi aliyesema kaenda mbinguni? Nae unamuamini? Tunaposema story zoooote za ushirikina ni story za hearsay muwe mnaelewa.
Halafu Kuna pimbi mmoja hapo juu ni mbishi balaa. Na humu wamo wengi tu; wamesoma soma kidogo wakadhani elimu waliyoipata ndiko kila kitu kiasi kwamba hakuna elimu nyingine zaidi ya hapo. Huo nao ni uzwazwa.Kuna profesa mmoja wa Sociology hapo UDSM alishafanya utafiti huko Gamboshi, ilimlazimu mpaka kupaa kwa ungo, Ila alidhurika alikuwa mdhaifu kwa muda mrefu baadaye.
video iko wapi
jina la huyo profesa
Unaleta utoto sasa!Profesa mmoja ndo ujinga gani, taja jina lake!
Hearsay? Ok nikuombe ufanye safari kwenda wilaya za Simiyu,Mwanza,Kigoma,Tanga,Katavi,Mara,nk (hasa hasa vijijini) na ukifika Anza kujinadi kuwa hauamini kama uchawi upo, na wala hauna madhara yoyote, halafu uone kitakachokutokea.
Wenzako UDSM wameingia mzigoni kufanya research juu ya mambo hayo tangu mwaka jana, wewe unakaza fuvu bila hata ya research.
Wazungu ndio nazwazwa wakubwa wa mambo ya kiroho. Unahitaji direct experience ya haya mambo ndio utaamini yapo, up until then mambo hayo ni uzwazwa.Well, nimekaa S/wanga na nilikua Havard last December kwenye function fulani, that wasn't the first time probably not the last one either, kote sijapata uthibitisho wa uwepo wa ushirikina zaidi ya story za hearsay zinazosambazwa na wajinga na kuaminiwa na mazwazwa.
Hao viongozi wadini kuamini kwao hakufanyi na mimi niamini. Story za Mungu wao zenyewe zina walakini ndo sembuse ushirikina? Nahitaji uthibitisho sio kuamini kama nyumbu.
Hiyo kata ya Buhare lilikotokea tukio kumbe haiko Musoma? Ok, tufanye haiko Musoma Iko manispaa/wilayani kwenu sasa.Mbona hakuna uhusiano kati ya Bariadi, Simiyu na MUSOMA kuliko tokea tukio ndugu.
Alikuwa anaishi bariad Iko mkoa wa simiyu alikoenda ni Musoma tukio limetokea huko MusomaMbona hakuna uhusiano kati ya Bariadi, Simiyu na MUSOMA kuliko tokea tukio ndugu.
Dunia Haina hurumaWatakuwa walifanyiwa change kota barabarani, kimazingara.
😂😂😂DahNgoja tusubiri labda itatokea siku ya tofauti ya miujiza ya ""Jiwe"" kuwa mtoto/mtu,,,kwa maana tangu kale watu ndio wanageukaga mawe tuu,,,mf:Mke wa Lutu aligeuka ""jiwe",,,,Mara marehemu Magufuli nae aligeuka na kujibatiza kuwa yeye ni""jiwe"",,,hujakaa sawa kuna Ngumi jiwe na wala si jiwe ngumi!!!yaani ni mtafaruku tuu!!!###NgojaTusubiri###Hata jiwe walilolikataa waashi ndio limekuwa Jiwe Kuu la Pembeni,,,,yaani hadi waashi walijaribu maskini kulikataa jiwe lakini hatimaye likawa Jiwe kuu la pembeni,,,Jiwe hadi linapewa ukuu!!!Hili Jiwe ni Jiwe gani??