harakati za siri
JF-Expert Member
- Aug 23, 2020
- 1,074
- 2,870
Wala usisumbuke nao ndiyo wachawi wenyewe, huwa wanajisikia vibaya siri zao zikitoka kwa hiyo wanajificha kwenye chaka hilo ili kuwakatisha tamaa watu wanaowaexpose.Halafu Kuna pimbi mmoja hapo juu ni mbishi balaa. Na humu wamo wengi tu; wamesoma soma kidogo wakadhani elimu waliyoipata ndiko kila kitu kiasi kwamba hakuna elimu nyingine zaidi ya hapo. Huo nao ni uzwazwa.
Hii habari hata ITV wameitangazaJiwe limewekwa hapo kuwachota akili mazoba, mtoto kaibiwa tayari.
Usitake kudanganya hapa,hizo sehemu hujaishi. Na pia UDSM hawajatoa majibu. Hiyo issue ya kwamba 'ungo hauwezi kupata maana sayansi inakataa' ni hypothesis iliyokuwa iwaongoze kwenye research ila, halikuwa ndo jibu/hitimisho la research hiyo.Nimeishi kabisa hizo sehemu sio kukaa tu hadi Kigoma Mnanila kule mpakani kabisa na Burundi nimekaa pale, nimesema haya haya na hadi leo sijapata huo uthibitisho zaidi ya hizi dana dana za sijui nenda wapi sijui fulani alifanya hivi sijui kilitokea kile, zote ni story tu kama wewe ambavyo unasimuliwa na kuamini maana hujawahi kuona kitu ila unaamini tu kama nyumbu.
I'm glad umegusia research ya UDSM, ulisoma ile ripoti au nayo ulisimuliwa tu? FYI majibu yao yalisema ni imani zinazoaminiwa na watu wajinga:
UDSM kufanya utafiti kuhusu Uchawi, yadaiwa ni Imani za kimasikini kwani mtu hawezi Kupaa kwa Ungo Sayansi inakataa!
Chuo Kikuu cha Dar es salaam kinafanya utafiti juu ya Uchawi ambao hupelekea mauwaji ya vikongwe na mambo ya kusaka utajiri Wahadhiri wamesema Uchawi ni Imani za kimaskini na kwamba hakuna ushahidi wa kisayansi kwamba Mtu anaweza kusafiri kwa Ungo kutoka Tabora hadi Dar es salaam Source: Star tvwww.jamiiforums.com
You nailed it. 😆😆😂Wala usisumbuke nao ndiyo wachawi wenyewe, huwa wanajisikia vibaya siri zao zikitoka kwa hiyo wanajificha kwenye chaka hilo ili kuwakatisha tamaa watu wanaowaexpose.
Hujafika Havard. Acha uongo!Well, nimekaa S/wanga na nilikua Havard last December kwenye function fulani, that wasn't the first time probably not the last one either, kote sijapata uthibitisho wa uwepo wa ushirikina zaidi ya story za hearsay zinazosambazwa na wajinga na kuaminiwa na mazwazwa.
Hao viongozi wadini kuamini kwao hakufanyi na mimi niamini. Story za Mungu wao zenyewe zina walakini ndo sembuse ushirikina? Nahitaji uthibitisho sio kuamini kama nyumbu.
Hii habari hata ITV wameitangaza
Hujafika Havard. Acha uongo!
Usitake kudanganya hapa,hizo sehemu hujaishi. Na pia UDSM hawajatoa majibu. Hiyo issue ya kwamba 'ungo hauwezi kupata maana sayansi inakataa' ni hypothesis iliyokuwa iwaongoze kwenye research ila, halikuwa ndo jibu/hitimisho la research hiyo.
Halafu Kuna pimbi mmoja hapo juu ni mbishi balaa. Na humu wamo wengi tu; wamesoma soma kidogo wakadhani elimu waliyoipata ndiko kila kitu kiasi kwamba hakuna elimu nyingine zaidi ya hapo. Huo nao ni uzwazwa.
Kuna profesa mmoja wa Sociology hapo UDSM alishafanya utafiti huko Gamboshi, ilimlazimu mpaka kupaa kwa ungo, Ila alidhurika alikuwa mdhaifu kwa muda mrefu baadaye.
Mimi nakazana kupinga kwa sababu ni mmoja wa wahanga wa uchawi/ushirikina, kwangu siyo suala la hearsay.Again, hearsay. Tunaposema story zoooote za ushirikina ni hearsay muwe mnaelewa tumieni akili hata kiduchu.
Zote ni kuna fulani blah blah blah ....
Hata Zumaridi kafika mbinguni itakua mnamuamini nae.
Mimi nakazana kupinga kwa sababu ni mmoja wa wahanga wa uchawi/ushirikina, kwangu siyo suala la hearsay.
Duuh hii kali aisee
uskute mtu kamuiba kichnga marehemu ili kucheza na akili za watu asfuatiliwe kaweka jiwe ili kuteka akili zao na kafanikiwa
Musoma kuna uchawi wuuuh.Hii dunia ni ngumu kuielewa na kila siku kuna jipya, mtoto amekufa na kugeuka kuwa jiwe, huyu mama alizaa watoto mapacha mtoto mmoja amefariki na mwingine bado yupo.
Tukio limetokea ukweni na tayari ndugu wa mke wameamua kuondoka na ndugu yao (mama mfiwa) na mtoto wake aliyebakia hai.
Chanzo: UTV
USSR
----
Wananchi wa mtaa wa Mgaranjabo kata ya Buhare katika Manispaa ya Musoma mkoani Mara wamekumbwa na sintofahamu baada ya mtoto wa mwezi mmoja aitwaye Amri Hamisi kufariki dunia na kudaiwa kugeuka jiwe
View attachment 2593964
Jiwe mwenyewe alikuwa akiamini ujinga wa uchawi. Alisema eti walikuwa wanajenga daraja huko Sumbawanga ila kila wakiamka wanakuta mto umekuwa mpana!Oooh uchawi haupo! Uchawi haupo! Jiwe angekuwa hai mngemwuliza ule moshi kule Kusini ulitokea wapi, pengine angewapa jibu. Unafikiri wananchi waliwasha moto karibu na msafara wa Mhe.Rais akiwa anahutubia? Huo ujasiri wa kuwasha moto karibu na Rais unautoa wapi? Presidential Security Unit wanakuangalia tu ukiwasha moto na kumwelekezea moshi Mhe.Rais?