Uchaguzi 2020 Musoma yarindima Lissu akilakiwa kwa Shangwe kubwa, fomu za dhamana zajazwa

Akili zingine bwana,mufilisi kabisa,huo uraisi uko wapi hapo.Jiandaeni kuchanga hela za Wabelgiji aliozokopa alipowaahidi kwamba akiwa Rais atawapa dhahabu ya Watanzania kwa bei ya kutupa
 
Hivi si walisema upinzani umekufa baada ya manunuzi na biashara ya binadamu kushamili?Manunuzi hivi analala usingizi kweli lengo la manunuzi limefeli.
 
Jk alisema hivi namnukuu CCM haiwezi kumfia yeye ipo itakayemfia.
Yani kama CHADEMA haikuchukua nchi wakati wa Lowassa sidhani kama itaweza mara hii kwa maana Lowassa alikuwa na nyomi la kufa mtu, Serikali ndiyo ile ile, NEC ndiyo ile ile, Polisi ndiyo wale wale
 
w
Aliyekuloga kafa, hatujawahi, hatutawahi, na haitakaa itokee tuwe na rais kiwete na kichaa nchi hii
weka kumbukumbu maneno yako haya au kama kichwa bovu basi mpe mumeo akuhifadhie kisha ikifika siku akukumbushe
 
Jiwe kajificha anapanga nitoke vipi

Kapilimba alitoa taarifa ya kijasusi kuonyesha Lissu na Zitto ndio wanasiasa wenye ushawishi zaidi
Kuelekea uchaguzi 2020 akaishia kutumbuliwa sasa ndio naelewa kwamba idara ya usalama wa taifa inajuwa nani rais ajaye.
 

Your browser is not able to display this video.


Mgombea Urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kupitia tiketi ya Chadema Mhe Tundu Lissu akipokelewa Musoma mjini, Mhe Lissu ameongozana na Mgombea Mwenza, Salum Mwalim , leo Jumatano 12/08/2020.

#SasaBasi
#NoHateNoFear
#PeoplesPower
 
Magufuli huko alipo kavimba sana. Akija kutoka sijui atatoka na bomu gani. Kina Polepole wamepwaya. Nape na Kinana kidogo wanazijua siasa za nji hii.
Atatukana kila mtu. Hata huyo Bashiru na Mangula wajiangalie sana, anaweza kuwatukana hadharani kama alivyomtukana Gambo jukwaani Arusha kipindi kile cha hama hama. Mtu anayeweza kupambana na Lissu jukwaani ni Nape akisaidiwa na January background
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…