inamankusweke
JF-Expert Member
- Apr 24, 2014
- 20,344
- 21,967
Mtandaoni umeona mkataba au vipengele viwili vya mkataba baina ya serikali!?Massala ya Ticts na Karamagi hizo behind the scene, wengi hatuzijui ila huu mkataba now upo mitandaoni na vipengele vyake ndio vile, so kama kesho mkataba watako udiscuss bungeni ukawa sawa na huu ambao upo mitandaoni tutakuwa tunaipeleka nchi kubaya.
Issues sio DP issue ni contents/vipengele vilivyopo kwenye mkataba tulio uona Mtandaoni. Tusubiri kesho bungeni huku tukiwa na nakala zetu tulizopata mitandaoni then tutalinganisha, kama ni tofauti na utakuwa na maslahi makubwa kwetu itakuwa faida ila ikiwa vice versa tumtafute mwengine.
zuzu weweBandari ilikua chini ya ticts,alipewa tangu 2000s huko,acheni ujinga
Zuzu aliyekubali kupanua mapaja anyunyiziwe maji ya uzima Kisha uzaliwe punguanizuzu wewe
Imejulikana. Inasemwa kwamba yeye alipewa dola 50,000 ila hakupewa V8 kama alivyofanyiwa Musukuma.Kuna watu humu walikuwa wanauliza wakati fulani (
Je Kitenge hela za kuwa anakwenda nje mara Kwa mara na kurudi anazipataga wapi?
Je mmeshapata majibu au bado?
Kula=kuraNalionaga kama jingajinga, haya ndo majitu yanayotumia muchawi kushinda kula za maoni, he always talks meaningless things. Yani ujinga mtupu
Hawa wasemaji hovyo kama Musukuma ndiyo huwa wanatafutwa kwenye mambo ya hovyo kama haya kwa sababu hawana hata soni.Huyo darasa la saba anatumiwa na ccm kama “ court jester” kufurahisha wakubwa wa ccm!
Amehongwa na ndio maana anaweweseka; anadaiwa na kila benki hapa nchini ikiwemo Akiba Commercial Bank, angekuwa na hela si angelipa madeni badala ya kwenda kupark mahakamani!!
Huyu mjinga awadanganye wajinga wenzie kwani sisi tunajua wenye fedha hata siku moja hawajisifu!
Inawezekana hivyo hivyo viwili vikaamua hatma ya taifa lako.Mtandaoni umeona mkataba au vipengele viwili vya mkataba baina ya serikali!?
Tumeua Mashirika na Viwanda vingapi? tuliachiwa reli na kamili na vichwa na majengo yake tukashindwa hata hii SGR tumekimbilia kwa kuwaiga Kenya nayo kuiendesha tutashindwa, mwendokasi tumeshampa Emirates.wazawa
Mkuu mbona Mo Dewji alikua bungeni? Na yule tajiri wa mabasi wa Morogoro yupo Bungeni?Huyu bwege kishahongwa na waarabu.kama ana hela bungeni kafuata nini huyo paka.si angekaa kwao ale hizo hela zake.mpuuzi mkubwa huyo.
Kumbe Rais anatimiza ndoto zake sio dira ya Taifa. Well notedKutokana na kile kinachoendelea kwenye mitandao ya Kijamii kuhusu bandari ya Tanzania imeuzwa, Mbunge wa Geita vijijini Joseph Musukuma leo amezungumza na wanahabari akiwa Jijini Dodoma
unapumuliwa.kisigoni.weweZuzu aliyekubali kupanua mapaja anyunyiziwe maji ya uzima Kisha uzaliwe punguani
Hiyo shughuli ya mama yako, muulize baba yakounapumuliwa.kisigoni.wewe
Hela huwa hazitoshi. Elon Musk pamoja na mapesa yake yote bado anatafuta pesa, ndio atakuwa Msukuma.Kutokana na kile kinachoendelea kwenye mitandao ya Kijamii kuhusu bandari ya Tanzania imeuzwa, Mbunge wa Geita vijijini Joseph Musukuma leo amezungumza na wanahabari akiwa Jijini Dodoma
Kipengere Cha juu kinazungumzia jinsi ya kuvunja mkataba,mambwiga wenye uelewa finyu wanalalama mkataba wa milele Mara miaka mia,wajinga wengi Sana nchi hiiInawezekana hivyo hivyo viwili vikaamua hatma ya taifa lako.
Nimecheka mkataba hausemi unaanza lini na utaisha lini,he"uliona wapiIssue sio mkataba wala mwekezaji, issue vipengele vya kwenye mkataba.
Maneno ya wanasiasa hayo kwani CCM wametuongopea mangapj wewe nae kilaza kama huyo mpuuzi kima weweJibuni hoja zake kiuchumi kasema badala ya kukusanya 7bn wanapanda 18bn ajira kutoka 1200 kuenda 75000, hojini hivyo kuliko kipiga kelele