Kama kuna watu wanapewa Uhuru wa kujieleza halafu wanautumia vibaya kutukana viongozi hata wakuu wa Nchi kwa kigezo ni wapinzani hii sheria itaenda kuwadhibiti ipite tu kwa nguvu zote ili tuheshimiane
 
Ni kwakua tuna waza ki hivyo, na ninyi mna panic kwakua maslahi ya kisiasa yanaguswa...Tokeni kwenye hizo siasa zenu, wekeni mawazo ya kitaifa nje ya siasa zenu, please!
Sio kuwaza wala kupanic, ndivyo wanavyofanya..kila kitu wao ndio wameingiza siasa, waambie wao tiss kwanza.
 
Kama kuna watu wanapewa Uhuru wa kujieleza halafu wanautumia vibaya kutukana viongozi hata wakuu wa Nchi kwa kigezo ni wapinzani hii sheria itaenda kuwadhibiti ipite tu kwa nguvu zote ili tuheshimiane
Una uhakika wao viongozi hawatukani wengine? Wao ni malaika?na wakitukana wafanywe nini..
 
Kulikuwa na liason officer...Waziri Ofisi ya Rais, wanavunja huo ukuta ili barabara inyooke direct...Na yeye pia akileta za kuleta afanyiwe mpango maalumu...Jamhuri (Taasisi ya Urais) ndiyo itakuwa juu ya sheria na siyo individuals
Rais ndo waziri wa hiyo wizara, kiuhalisia TISS (mkurugenzi) hajawahi kuripoti kwa waziri, akienda pale ni ka anapita kwa ps then anaingia kwa mwenye ofisi.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Acha kelele.

Kimsingi TISS wanapaswa wareport kwa Mungu tuu. Ata rais anapaswa kureport kwa TISS. Sheria iliyopo inawabana wanashindwa kufanya kazi.

CIA, M16, MOSSAD wanareport kwa Mungu ndo maana walimuua Rumumba, Gadaffi, Saddam, etc na wanaweza kuua m7, sa100, putout na wengine bila kuojiwa na ulimwengu.
 
Ww ni muumini wa sheria za kulinda viongozi wanaokaa madarakani kwa shuruti. Hivyo hakuna la kushangaza hapo. Ila machafuko pekee ndio yataondoa hizi sheria za kulinda watawala ili wafanye watakavyo.
Kila mfumo una beneficiaries. Huyu ni mmoja wao
 
Hapo kwenye manaibu ni tatizo! Mbaya zaidi usikute inatumika nguvu ya kisiasa. Hili ni road map kabisa ..
 
Fikiria mashirika makubwa ya kijasusi duniani ikiwemo CIA ya Marekani, M16 ya Uingereza na mengineyo yanawajibika kwa bunge na wakurugenzi wakuu wa mashirika hayo lazima wafanyiwe vetting na bunge

...lakini uwajibikaji huo hayayafanyi mashirika hayo kutokuwa na madaraka ya kupitiliza kiasi cha hata kuweza kupindua Nchi zingine! na Hata kuua!
Sio siri, CIA na Idara ya Usalama ya Congo na zingine za nje zilishiriki kwa pamoja kumuangamiza Patrice Lumumba!

Naona kuna upotoshaji wa makusudi.

Your Premise kuwa ...
TISS itapewa mamlaka makubwa ambayo sio waziri wa bunge ambalo linaweza kuhoji au kuwawajibisha kwa makosa yoyote yakiwemo utekaji na mauwaji ya raia au viongozi ndani na nje ya nchi.

sheria hiyo TISS wanaweza kumuuwa waziri mkuu, mbunge ,viongozi wa upinzani etc na wakasingizia kuwa wamefanya mauwaji hayo kwa sababu ya usalama wa taifa.
.....yaani haya mambo uliyoodhoresha(quoted) yanaweza kuwa avoided kwasababu mabunge wanafanya vetting ya wakubwa wa mashirika hayo ni upotoshaji!
 
Tangu lini TISS ilikuwa ikiripoti kwa waziri? leo ndo naskia hili.

Sent using Jamii Forums mobile app
Ndio utajua haujui....(nimo kiaina)yaani hawa wanaharakati walitulaghai sana kuwa Maagizo yalitoka juu tu! Kwamba 'wasiojulikana' wanaojulikana lakini hawapaswi kujulikana. Kwa sababu madaraka yao yanatoka Ofisi ya Raisi kumbe lah. Ni ya Baraza la Mawaziri

Nafikiri muswada huu utatufundisha na kuweka mwanga kwa yale yaliyojiri kipindi cha nyuma.

Marirdhiano(amnesty) peke yake hayataweza kumwagilia maji yale yalioyotokea kipindi cha nyuma(2015-2021) nadhani hii ni preemptive tu na itategemea na how far back sheria hii(assuming itapitishwa)itafika.

Haijalishi, uwezekano wa kuwaficha wengi kwa kigezo cha Usalama wa Taifa utakuwa na wigo kubwa sana....hebu fikiria tukija kuambiwa Mbowe alikuwa Usalama wa Taifa? au Nyagali mwenyewe, au Tundu Lissu au?

....Kama ya NCCR mageuzi ya marando ilishatuhumiwa hivyo, wengine je?
 
Hii nchi inahitaji kuachana na mambo ya sisa na kutafuta njia nyingine ya kutoka hapa tulipo
 
Mama anawalinda wenzake wa zamani.

Kina bashite wameanza kulindwa kifaulo faulo kabla ya hiyo sheria.

Sasa ndiyo tutegemee vimungu watu.

Sheria mbaya kabisa hii.
Lakini wewe ulimuunga mkono shetani magufuli, huyu secretary anapitia humo humo mwa magufuli. Ungelimpinga magufuli kwa ushetani wake labda haya yasingelitokea
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…