πAcheni ujuaji kwani ninyi hamjui kwamba hii nchi mvua zinachagua pa kunyesha, huwa zinanyesha kwenye mashamba na makazi ya watu tu, zikifika kwenye vyanzo vya maji huwa zinakata kona zinabadili muelekeo
Si unajua tena watu wa huo mkoa ni mayai mayai sanaMvua ya kawaida hii wakuu, mbona huwa mnapenda kukuza mambo...!!!
Kuna maeneo hapa Tanzania huwa zinapiga mvua za upepo hadi unasikia paa zinapiga kelele kama vile bati zinataka kuchomoka...
poleni aiseeAsee, ukuta umesha piga chini apa nilipo
Hapana siipendelei tu, inakwamisha mambo mengi na magonjwa yanaenea kwa kasi hasa kwenye mazingira yetu.Unaogopa mvua[emoji124]
Jichanganye ujutewakati huo nshapasua vioo vyote kwanza mpaka urud reverse unipate π π π
Jirani yangu nyumba yake msingi unaning'inia saa yoyote inashuka na kahamia mwaka jana hata mwakq hajamaliza mkewe leo tulikuwa tunampepea hajiweziWananzengo,
usiku saa 9 nimejikuta navamiwa na wanangu chumbani, wanaogopa radi kabambe zinazopiga sambaba na mvua hii kubwa yenye upepo wa kuhamisha milima.
Soon kunakucha.
Tujuzane endapo kuna maafa maeneo yenu. Lengo ni kupashana taarifa. Tupia picha .
Nawalinda wanangu hapa wasipigwe na ngurumo ya radi.[emoji3][emoji3][emoji3]..... yaani kha! Wanaogopa sana lile libombastic sound baada ya radi kumulika.
Tanesco aibu sana kwa haya mnayotufanyia.
============
Afadhali umesema kesho nilikuwa na Safari ya huko siendiMvua ni kubwa sana wanaokaa sehem za mabondeni sijui wakoje mwenyezmungu awanusuru nimepita toangoma nyuma ya kituo cha mafuta oilcom sasa hv mitaa ya kule kama bwawa maji yamejaa sana sijui. Wakaz wake wakoje
Poleni sana Wana dsmHapana siipendelei tu, inakwamisha mambo mengi na magonjwa yanaenea kwa kasi hasa kwenye mazingira yetu.
π π π πJichanganye ujute
Waende Mbinga hukoπ πHahahahahahahaha waende wapi??
Tusiwe watu wakuchukulia poa vituNikweli Jana haikua hali ya kawaida trust me
Mbaya sana kubeza taarifaTMA walibezwa walipotoa tahadhari,nafikiri sasa hivi tutaheshimu utabiri wao.
We sawa tu....