Mvua kubwa Dar usiku huu kuamkia 20 Jan 2024. Je maeneo yenu kuna maafa?

Mvua kubwa Dar usiku huu kuamkia 20 Jan 2024. Je maeneo yenu kuna maafa?

Acheni ujuaji kwani ninyi hamjui kwamba hii nchi mvua zinachagua pa kunyesha, huwa zinanyesha kwenye mashamba na makazi ya watu tu, zikifika kwenye vyanzo vya maji huwa zinakata kona zinabadili muelekeo
😏
20240120_124008.jpg
 
Mvua ya kawaida hii wakuu, mbona huwa mnapenda kukuza mambo...!!!

Kuna maeneo hapa Tanzania huwa zinapiga mvua za upepo hadi unasikia paa zinapiga kelele kama vile bati zinataka kuchomoka...
Si unajua tena watu wa huo mkoa ni mayai mayai sana
 
Mvua kubwa Jana Makonda alitamba kutoa matingatinga 20
Mungu kajibu kwapigo la kungoa madaraka Kwa Gwajima
Tuone hayo matingatinga sasa
 
Wananzengo,
usiku saa 9 nimejikuta navamiwa na wanangu chumbani, wanaogopa radi kabambe zinazopiga sambaba na mvua hii kubwa yenye upepo wa kuhamisha milima.

Soon kunakucha.

Tujuzane endapo kuna maafa maeneo yenu. Lengo ni kupashana taarifa. Tupia picha .

Nawalinda wanangu hapa wasipigwe na ngurumo ya radi.[emoji3][emoji3][emoji3]..... yaani kha! Wanaogopa sana lile libombastic sound baada ya radi kumulika.

Tanesco aibu sana kwa haya mnayotufanyia.

============

Jirani yangu nyumba yake msingi unaning'inia saa yoyote inashuka na kahamia mwaka jana hata mwakq hajamaliza mkewe leo tulikuwa tunampepea hajiwezi
 
Mvua ni kubwa sana wanaokaa sehem za mabondeni sijui wakoje mwenyezmungu awanusuru nimepita toangoma nyuma ya kituo cha mafuta oilcom sasa hv mitaa ya kule kama bwawa maji yamejaa sana sijui. Wakaz wake wakoje
Afadhali umesema kesho nilikuwa na Safari ya huko siendi
 
Taarifa nyingi hapa ni za uongo, ina maana kila mtu anaandika taarifa ya eneo alipo na simu haiwezi kupiga picha ahahahaaa..!.
 
Back
Top Bottom