Mvua kubwa Dar usiku huu kuamkia 20 Jan 2024. Je maeneo yenu kuna maafa?

"inakuwa mbichi unafanya kuikamua", wee mama mbona unanitia vishawishini.
 
Wakazi wa dar mnafirahisha, mvua kidogo mnafungua thread, huku kugoma radi zinapigwa mpaka miti inakauka lakini fresh na watu hawawezi wala nini? Lakini poleni maana kwa dar mvua kunyesha sio kawaida.
Ndio tofauti ya dar na kigoma, mvua ya nusu saa dar ni tofauti na mvua ya saa tatu kigoma!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…