Mvua kubwa Dar usiku huu kuamkia 20 Jan 2024. Je maeneo yenu kuna maafa?

Tunachkua tahadhari kabla ya hatari ndugu mteja. Maeneo ya makaz miundombinu huwa inaweza kuwa na shida
 
Sijawahi kuogopa radi za Dar mpaka nilipofika mkoa fedenge ilipiga nikajikuta uvunguni aroo nilijua bati limetoka lote. Ile ilikua sio radi bwana vigagula wanatoa na dedication humohumo wanaongezea mlio
Radi zenu watu wa dar. Njoo katavi huku uelewe shoo. Asubuh Asubuh tetemeko na ikinyesha unahiz kufa kufa maana inabomoa radi kama hasira.kwa maeneo yote yenye madini vitu vya kawaida
 
Mkuu una uoga mpaka uoga wenyewe unaogopa kukusogeleaπŸ˜€
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…