Mvutano mkali kati ya Trump na Zelensky watokea katika Ikulu ya White House

HUNA FACTS WEWE HUYO MUMEO RUSSIA KAMA ANGEKUWA THE WAY YOU THINK LEO ANGEICHUKUA UKRAINE YOTE LAKINI TAFITA FACTS WARUSI WENGI MNO WAMELAMBA VIMBI MPAKA KAOMBA MSAADA WA 10000 NORTH KOREAN ARMY
 
HACHA UBISHANI WA KIJINGA INAONEKA HUELEWI THE ROOT OF THE WAR WEWE UMESHOBISHWA PROPAGANDA ZA URUSI
 
Yeah! Hiki ndio nimeona pia. Ni muda wa watu kupambana wenyewe,
 
ZELENSKY. Kumbe kajeuriπŸ˜„
Kajinga TU,kametaka kaonekane kwenye tv kama kajasiri.
Katika hali ya kawaida huwezi kubishaba na mfadhiri namna hiyo.
Hivi bila USA huyo Leo angekua ama mfungwa huko Siberia ama mkimbizi.
Tuache uongo ni USA ndio ameipunguza spidi Urusi kuichukua Ukraine.
Yeye zele ana Nini?
Kama huna usijitutumue bana.
 
Uko sahihi kabisa.
 
Kijana aliingia kwenye vita kijinga. Putin na Trump nadhani wana maelewano mazuri sana, ndio maana kipindi cha kwanza cha Trump ilisemekana alisaidiwa na Urusi.
Zelensky chini ya Trump anapitia kipindi kigumu sana
 
HACHA UBISHANI WA KIJINGA INAONEKA HUELEWI THE ROOT OF THE WAR WEWE UMESHOBISHWA PROPAGANDA ZA URUSI
Ni wazi wewe ndio hujui hata unaongea Nini.
Nina uhakika wewe umeshibishwa Propaganda za Ukraine.
 
Marekani ni wezi na wanaonesha Dunia wakiataka kuweka mikataba ya Kijambazi huyu Zelensky ni mwana sana..
 
Kwahiyo US kayakosa hayo madini aliyohitaji kutoka Ukraine
 
Ukraine haiwezi kushinda hiyo vita.

Mpaka kufikia hapa tokea vita ianze, imebebwa sana na Marekani.

Marekani akiamua kuchomoa msaada, yaliyomkuta Assad yatamkuta Zelenskyy.
,πŸ‘πŸ‘πŸ‘πŸ‘πŸ‘πŸ‘πŸ‘πŸ‘πŸ‘πŸ‘πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ€πŸ‘πŸ‘πŸ‘πŸ‘πŸ‘πŸ‘πŸ‘πŸ‘πŸ‘
 
Kinacho fuata ni assassination hapo. Marekani ndio mchawi wa amani dunia hii.
 
Bora kuliko kusign mkataba wa kimaamuma
Ingekuwa wewe ungesign?
 
Viongozi wa kiafrica hili ni some nzuri sana, tambueni hamna nchi nyingine zaidi ya nchi zet za kiafrica.
Tuzijenge nchi zetu, kuomba omba hakuna heshima kamwe.
 
Kwa iyo wamempa kigezo cha kusaini mkataba ndo waendelee kumsaidia?
Dogo kachomoa?

Nje ya mada: Dressing code ya Zele wenda nayo imechochea the so called "Disrespectful" 😁
 
Kwa iyo wamempa kigezo cha kusaini mkataba ndo waendelee kumsaidia?
Dogo kachomoa?

Nje ya mada: Dressing code ya Zele wenda nayo imechochea the so called "Disrespectful" 😁
Your browser is not able to display this video.
 
Huyu mjinga angekubali tu uhalisia kuwa alitumika kama toilet paper na sasa ana mavi na hashikiki tena. Uzuri Trump hana mbambamba. Sign mkataba USA aje apigane nchini kwako kwa faida, yaan kuchimba na kuondoka na madini. Au ulete ujuaji tumwachie Mrusi amalize kazi yake, amani ipatikane.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…