bin haroub
JF-Expert Member
- Jun 19, 2023
- 1,662
- 812
Ni sawa tu zanzibar ni kwa ajili ya wazanzibari tuKichwa chako kina matatizo
Wewe unaona ni Sawa kabisa MTU WA bara kutoruhusiwa kuwa kiongozi Zenj Wala kumiliki ardhi zenji lakini MTU WA zenji bara anakuwa na sifa Hizo hyo Kwako ni Sawa kabisa?
Tena wanazidi kukosea huyu Mwambukusi anasema eti Tanganyika imebakwa siju nani kaibaka hiyo TanganyikaHiyo haina shida kama iko kisheria kwa sababu nchi huenda kwa kariba siyo mihemko. MWABUKUSI, LISSU , NSHALLA NA MBOWE WAMETUKOSEA SANA.
AiseeHeshima kwenu Wakuu,
Majamaa tajwa hapo juu yawezekana kuwa wamelipwa rushwa kubwa sana na mamlaka za juu ili waharibu mjadala wa kitaifa juu ya uwekezaji wa DP WORLD katika bandari ya Dar es Salaam.
Hili limetokana na ukweli kwamba mara tu mjadala ulipoanza watu hawa walikimbilia kushambulia watu na kukandia asili zao badala ya kujadili hoja iliyopo mezani.
Wengine kama Nshalla walienda mbali mpaka wakafikia kumutukana Rais matusi mabaya kabisa.
Hawa wameonekana dhahiri kutumiwa na Serikali kuharibu mjadala kwa sababu za wazi zifuatazo:
1. Huwezi ukamtukana Rais halafu tena watu wakazingatia unachokiongea badala yake kila mtu ataamka na kumlinda huku akipuuza unachosema.
2. Kuwabagua wazanzibar na kuonesha kuwa hawana haki ya kusimamia mambo ya nchi wawapo viongozi. Hapa Mbowe, Mwabukusi na Lissu wameonesha dhahiri kuwa wamekula mlungula wa kutosha ili wajifanye wanawashambulia wazanzibar kisha watu wasimame kuwatetea na agenda ya msingi isahaulike.
Hawa jamaa wameharibu kila kitu na watajibu siku ya kiama kwa kukubali kutumiwa ili kuwasahaulisha watu agenda muhimu na nyeti.
Hebu kamwone daktari wa afya ya akili kwanzaa..Heshima kwenu Wakuu,
Majamaa tajwa hapo juu yawezekana kuwa wamelipwa rushwa kubwa sana na mamlaka za juu ili waharibu mjadala wa kitaifa juu ya uwekezaji wa DP WORLD katika bandari ya Dar es Salaam.
Hili limetokana na ukweli kwamba mara tu mjadala ulipoanza watu hawa walikimbilia kushambulia watu na kukandia asili zao badala ya kujadili hoja iliyopo mezani.
Wengine kama Nshalla walienda mbali mpaka wakafikia kumutukana Rais matusi mabaya kabisa.
Hawa wameonekana dhahiri kutumiwa na Serikali kuharibu mjadala kwa sababu za wazi zifuatazo:
1. Huwezi ukamtukana Rais halafu tena watu wakazingatia unachokiongea badala yake kila mtu ataamka na kumlinda huku akipuuza unachosema.
2. Kuwabagua wazanzibar na kuonesha kuwa hawana haki ya kusimamia mambo ya nchi wawapo viongozi. Hapa Mbowe, Mwabukusi na Lissu wameonesha dhahiri kuwa wamekula mlungula wa kutosha ili wajifanye wanawashambulia wazanzibar kisha watu wasimame kuwatetea na agenda ya msingi isahaulike.
Hawa jamaa wameharibu kila kitu na watajibu siku ya kiama kwa kukubali kutumiwa ili kuwasahaulisha watu agenda muhimu na nyeti.
acha ujinga, wazanzibar sasa wana haki gani kwenye mali za Tanganyika? wewe una haki gani kwenye mali za zanzibar?Heshima kwenu Wakuu,
Majamaa tajwa hapo juu yawezekana kuwa wamelipwa rushwa kubwa sana na mamlaka za juu ili waharibu mjadala wa kitaifa juu ya uwekezaji wa DP WORLD katika bandari ya Dar es Salaam.
Hili limetokana na ukweli kwamba mara tu mjadala ulipoanza watu hawa walikimbilia kushambulia watu na kukandia asili zao badala ya kujadili hoja iliyopo mezani.
Wengine kama Nshalla walienda mbali mpaka wakafikia kumutukana Rais matusi mabaya kabisa.
Hawa wameonekana dhahiri kutumiwa na Serikali kuharibu mjadala kwa sababu za wazi zifuatazo:
1. Huwezi ukamtukana Rais halafu tena watu wakazingatia unachokiongea badala yake kila mtu ataamka na kumlinda huku akipuuza unachosema.
2. Kuwabagua wazanzibar na kuonesha kuwa hawana haki ya kusimamia mambo ya nchi wawapo viongozi. Hapa Mbowe, Mwabukusi na Lissu wameonesha dhahiri kuwa wamekula mlungula wa kutosha ili wajifanye wanawashambulia wazanzibar kisha watu wasimame kuwatetea na agenda ya msingi isahaulike.
Hawa jamaa wameharibu kila kitu na watajibu siku ya kiama kwa kukubali kutumiwa ili kuwasahaulisha watu agenda muhimu na nyeti.
Mkuu una point muhimu. Lakini sababu ufanisi ni mdogo tusiuze kila kitu.Hawa uliowataja ni mawakala wa wazungu wenyewe wenye kuchukia wanapoona tunataka kufaidika na bandari kwa asilimia mia moja.
Wengi wa hawa wanasheria ni watu wanaolipwa baada ya kuongea mbele ya waandishi wa habari hivyo ni silaha muhimu ya siri ya wenye pesa katika vita dhidi ya mipango ya serikali.
Rais Samia unaweza kumuona mpole lakini yupo kimkakatia sana kuliko hawa wanasiasa wapiga kelele wanavyomchukulia.
Hawa wapiga kelele wanawafanyia jambo baya sana wadau halisi wa bandari ambao wanaunga mkono mia kwa mia uwekezaji huu.
Kuna hizi ICD yaani container depot ni sehemu ya kuhifadhi mizigo zilizobuniwa katika awamu ya nne na ya tatu, ambazo kwa kiasi kikubwa ni mali za mawaziri na mabosi wengine wa serikalini, hawa watapinga uwekezaji wa DPW.
Akija huyu mwekezaji kutakuwa hakuna sababu ya mzigo kuhifadhiwa kwenye yard ya mtu eti ukisubiri kwenda kupakiwa melini, hizi foleni zilizotengenezwa ndizo zinazowapa ulaji wafanyabiashara wachache wa mijini, ni upumbavu mtupu unaoendelea pale TPA.
Mitambo ya kisasa itapakua na kupakia mzigo wa melini kwa haraka zaidi na ufanisi utakaokuwepo utawafanya wafanyabiashara wafikirie masuala mengine kwenye huo muda wanaotumia kufikiria kutoa au kuingiza makontena bandarini.
Kundi la wanaopinga uwekezaji linawatumia hawa wanasiasa wenye kuheshimiwa mbele ya umma kwa ajili ya kujenga hofu na picha hasi juu ya kinachotaka kufanyika lakini mwisho wao umeshakaribia.
Bungeni kwenyewe hakukuwa na mjadara. Kamati Kuu na Halimashauri Kuu CCM hakukuwa na mjadala. Hivyo, usiwadanganye watu kuwa kutakuwa na mjadala huku mtaani.Heshima kwenu Wakuu,
Majamaa tajwa hapo juu yawezekana kuwa wamelipwa rushwa kubwa sana na mamlaka za juu ili waharibu mjadala wa kitaifa juu ya uwekezaji wa DP WORLD katika bandari ya Dar es Salaam.
Hili limetokana na ukweli kwamba mara tu mjadala ulipoanza watu hawa walikimbilia kushambulia watu na kukandia asili zao badala ya kujadili hoja iliyopo mezani.
Wengine kama Nshalla walienda mbali mpaka wakafikia kumutukana Rais matusi mabaya kabisa.
Hawa wameonekana dhahiri kutumiwa na Serikali kuharibu mjadala kwa sababu za wazi zifuatazo:
1. Huwezi ukamtukana Rais halafu tena watu wakazingatia unachokiongea badala yake kila mtu ataamka na kumlinda huku akipuuza unachosema.
2. Kuwabagua wazanzibar na kuonesha kuwa hawana haki ya kusimamia mambo ya nchi wawapo viongozi. Hapa Mbowe, Mwabukusi na Lissu wameonesha dhahiri kuwa wamekula mlungula wa kutosha ili wajifanye wanawashambulia wazanzibar kisha watu wasimame kuwatetea na agenda ya msingi isahaulike.
Hawa jamaa wameharibu kila kitu na watajibu siku ya kiama kwa kukubali kutumiwa ili kuwasahaulisha watu agenda muhimu na nyeti.
Hahaha useme wewe halafu uniulize Mimi? "Kubakwa" ni TUSI kubwa sana?Wanasema Tanganyika imebakwa sijui imebakwa na nani wewe unaamini Tanganyika kuwa imebakwa?
Nimeuliza, huko unakosema Wana mkataba kama huu? Kwahio wewe unamuamini Msukuma kuliko Shivji au Lissu? Uko okay upstairs KWELI?Suluhisho ni kutafuta mwanasheria akupe shule ya vifungu vilivyomo kuliko kufuata mkumbo wa kupinga kitu unachokijua labda nusu au robo tu.
Kama huna hoja nawe unyamazage. Wenye akili zao wasije tambua idadi ya ujinga na mauwongo uliyoyabebaHeshima kwenu Wakuu,
Majamaa tajwa hapo juu yawezekana kuwa wamelipwa rushwa kubwa sana na mamlaka za juu ili waharibu mjadala wa kitaifa juu ya uwekezaji wa DP WORLD katika bandari ya Dar es Salaam.
Hili limetokana na ukweli kwamba mara tu mjadala ulipoanza watu hawa walikimbilia kushambulia watu na kukandia asili zao badala ya kujadili hoja iliyopo mezani.
Wengine kama Nshalla walienda mbali mpaka wakafikia kumutukana Rais matusi mabaya kabisa.
Hawa wameonekana dhahiri kutumiwa na Serikali kuharibu mjadala kwa sababu za wazi zifuatazo:
1. Huwezi ukamtukana Rais halafu tena watu wakazingatia unachokiongea badala yake kila mtu ataamka na kumlinda huku akipuuza unachosema.
2. Kuwabagua wazanzibar na kuonesha kuwa hawana haki ya kusimamia mambo ya nchi wawapo viongozi. Hapa Mbowe, Mwabukusi na Lissu wameonesha dhahiri kuwa wamekula mlungula wa kutosha ili wajifanye wanawashambulia wazanzibar kisha watu wasimame kuwatetea na agenda ya msingi isahaulike.
Hawa jamaa wameharibu kila kitu na watajibu siku ya kiama kwa kukubali kutumiwa ili kuwasahaulisha watu agenda muhimu na nyeti.
Ni uwekezaji kama ule wa TICTS tatizo ni siasa zilizoingizwa kwenye hili suala zima.Mkuu una point muhimu. Lakini sababu ufanisi ni mdogo tusiuze kila kitu.
Mimi ni mdau mkubwa wa kuleta macontaina Tanzania.
Shivji aliingiza siasa akitaka eti asiwaudhi wazalendo. Akaja na tafsiri ya mkataba wa jumla uliokwenda bungeni akisahau kuwa uendeshaji utategemea mikataba ya kibiashara inayokwenda kusainiwa baadae.Nimeuliza, huko unakosema Wana mkataba kama huu? Kwahio wewe unamuamini Msukuma kuliko Shivji au Lissu? Uko okay upstairs KWELI?
CCM mmajitoa akili sana na kujiona nyie ndio Kila kituShivji aliingiza siasa akitaka eti asiwaudhi wazalendo. Akaja na tafsiri ya mkataba wa jumla uliokwenda bungeni akisahau kuwa uendeshaji utategemea mikataba ya kibiashara inayokwenda kusainiwa baadae.
Akaongelea mambo ya finance wakati hayo ni ya kujadiliwa katika uandishi wa mikataba ya kibiashara.
Umeishiwa...Taratiibu unahama kutoka kwenye mada na kuanza kutoa mapovu.
Wewe ndio umeishiwa, unaanza kutoa mapovu.Umeishiwa...
Unatoa shutuma wakina slaa wanatumika na nani, husemi huna evidence to back up your claims, nimekuona boya mwenye inferiority complex unayeona watu wa nje ndio wana function better, wamchukue na mkeo basi fala we!Wewe ndio umeishiwa, unaanza kutoa mapovu.
Huwezi kuweka ushahidi kwenye jukwaa la watu wote kama hili. Ukiwa na umri fulani utaelewa kwa kina nini ninaongelea ukiwa sehemu ya hawa maziwa mdomoni watoto wa smartphone huwezi kuelewa ninachokiongelea.Unatoa shutuma wakina slaa wanatumika na nani, husemi huna evidence to back up your claims, nimekuona boya mwenye inferiority complex unayeona watu wa nje ndio wana function better, wamchukue na mkeo basi fala we!
Hakuna kilichoharibika akili yako ndio inaelekea kuharibika.Heshima kwenu Wakuu,
Majamaa tajwa hapo juu yawezekana kuwa wamelipwa rushwa kubwa sana na mamlaka za juu ili waharibu mjadala wa kitaifa juu ya uwekezaji wa DP WORLD katika bandari ya Dar es Salaam.
Hili limetokana na ukweli kwamba mara tu mjadala ulipoanza watu hawa walikimbilia kushambulia watu na kukandia asili zao badala ya kujadili hoja iliyopo mezani.
Wengine kama Nshalla walienda mbali mpaka wakafikia kumutukana Rais matusi mabaya kabisa.
Hawa wameonekana dhahiri kutumiwa na Serikali kuharibu mjadala kwa sababu za wazi zifuatazo:
1. Huwezi ukamtukana Rais halafu tena watu wakazingatia unachokiongea badala yake kila mtu ataamka na kumlinda huku akipuuza unachosema.
2. Kuwabagua wazanzibar na kuonesha kuwa hawana haki ya kusimamia mambo ya nchi wawapo viongozi. Hapa Mbowe, Mwabukusi na Lissu wameonesha dhahiri kuwa wamekula mlungula wa kutosha ili wajifanye wanawashambulia wazanzibar kisha watu wasimame kuwatetea na agenda ya msingi isahaulike.
Hawa jamaa wameharibu kila kitu na watajibu siku ya kiama kwa kukubali kutumiwa ili kuwasahaulisha watu agenda muhimu na nyeti.