Mwabukusi: Maandamano yapo 9/11 kama ilivyopangwa

Tunaomba aliyemuwekea lenzi mwambuzi aiondoe, maana inamkuza sura anajiona kama tembo
umenena mkuu, Mdude anasema OCD ni kajitu kadogo sana kwake, sijui hata km anaelewa kirefu cha OCD. Kiongozi wa wilaya ni mtu mdogo sana? Mama si aachie kidogo wanaume wafanye kazi tujue km hao watu ni wazima au wanaumwa.
 
Tulieni Kwa kutulia. Uhuru wa nchi hii damu za kina Mkwawa, Kinjekitile, nk zilimwagwa na wakoloni.

View attachment 2803151

Mkoloni ni mkoloni tu hata kama ni mweusi!
kwa hiyo nyie malofa mnatafuta uhuru? Kweli mpumbavu hawezi k,ujitambua, basi jitoseni mfe hao mnaowapigania wapate huo uhuru mnaoutafuta.
 
Mwabukusi kama ni kisiki, wanakiita cha mpingo!
huyo mwenye mishono mwili mzima? ameshasahu alivyokuwa analia baada ya kukaa siku 5 tu selo. Ingekuwa km kina Lema waliokaa miezi km siyo miaka? Huyo wanamdekeza na amshukuru mama Samia
 
Leo ndo nimejiridhisha we mjinga ni Mwabukusi.
 
Shingo haipiti kichwa

Sent from my Infinix X656 using JamiiForums mobile app
 
Maandamano ni tarehe 9, iweje police waandamane tarehe 4?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…