Ulimkubali wewe peke yako, usiwasemee wengine. Waache waje wenyewe waanfike hapaAcha kuongopea uma wewe JPM alikubalika na hilo halina ubishi ndio mpaka kesho mtaendelea kumtafutia ubaya kwa wananchi ili wamchukie. Wewe huwe jiuliza kwa nini JPM ameshafariki lakini bado baadhi ya wanasiasa wanaendelea kumchafua, wanajua bado anaishi mioyoni mwa watu na hivyo bado tishio kwao hasa kipindi cha uchaguzi maana nahakika kuna wanasiasa watatembelea nyota yake na hivyo kuwa tishio kubwa sana
Akili yako imekaaa kijikoni tu na unawaza mambo ya jikoni. wewe jailos mrisho kama huna boxer wewe shauri yakoPimbi ni ww unaenunua mafuta ya kupikia elfu 7 kwa lita.. nyang'au mkubwaa..na bado chamoto utakiona mana unaonekana huna hata hela ya kununua boxer
Kwa wenye akili zenye matege kama wewe,ni halali kusema hivyo,Hakuna mtu mwenye akili anaweza kumtukuza Rais muuaji.
Ndio,Kwa hiyo Magufuli naye aliuawa?
Lakini pia kundi la watu wa kawaida walikuwa wanafurah sana mtu akitumbuliwa na pengine bila sababu ya msingi,wakati huohuo kundi hilo lilikuwa haliwezi kupata nafasi hiyo.Yaani maskini anafurahi tajir akifirisika....Magufuli alikuwa na misimamo yake tata na haikueleweka na kundi la elites.
Ila kundi la watu wa kawaida walipenda misimamo yake na falsafa zake.
Sasa hapa kuna makundi mawili la hao elites ambalo utalikuta twitter na JF likitema nyongo.
Na lingine la watu wa kawaida awa wanajadili kwenye daladala, vijiweni nk
Awa elites wapo kama laki 8 kati ya watanzania million 60.
Hizi namba kwa mwenye akili hawezi kupuuza awa wanyonge.
Wananchi wepi. Achani hayoAmani iwe kwenu,
Mimi kama mwananchi na mwanaCCM nakumbuka ilivyokuwa ngumu kuiuza CCM mwaka 2015 kiasi ambacho hata wafanyakazi wa CCM waliogopa kuvaa sare za chama hata walipokuwa ofisi za Lumumba kwa kuhofia kipigo na fedheha toka kwa wananchi.
Naam,kazi kubwa ilifanyika hadi kutafuta washauri nguli ambao walitushauri tukiwa majukwaani tujinadi kama chama cha Magufuli na sio CCM.
Kuna kila dalili mwaka 2025 na kuendelea ni dhahiri CCM itaenda kwenye uchaguzi dhidi ya wananchi na hapo siku zijazo itabidi kumtafuta Magufuli mwingine kunusuru chama.
Ajizi nyumba ya njaa!
Mitandao yenyewe wanao mponda nihumu JF pekeake ambapo mtu anaweza kurudia rudia comments kwa ID zake feki.Mitandaoni Magufuli ni Rais wa hovyo kuwahi kutokea nchi hii.
Kitaani Magufuli ni shujaa watu wanampenda mpaka sifa nyingine wanamuongezea.
Ile suprise waliyoona watu wa mitandaoni wakati wa msiba wa Magufuli tuombe Mungu isije kujirudia kwenye chaguzi against yoyote anaesema tofauti juu ya Magufuli.
Inawezekana Magufuli aliletwa kuanzisha siasa mpya kwenye nchi. Tunayoyaona mtaani yanaeleza lugha fulani ambayo unaweza kuwa mkaidi kuikubali ila wakati siku zote ndio msema kweli.
Watawala wajiepushe na Kumponda Magufuli mana aliyoyafanya hayahitaji Maelezo mengi bali yalionekana Physically sasa Hawa watu huenda wakajikuta kwenye wakati Mgumu sana 2025, Nguvu ya umma sio ya kubeza hata kidogo
Bwashee hukumbuki kura za maruhani kule zenji? Sikumbuki ilikuwa mwaka gani!Kwa hiyo wananchi watapigia kivuli cha Magufuli kura?
Mtandaoni kweli Magu hafai ila simply mtaani huwambii kitu juu ya Magu . Reference ni nyingi kwa watu wa kawaida juu ya huyu Mwamba. Time will tellMitandaoni Magufuli ni Rais wa hovyo kuwahi kutokea nchi hii.
Kitaani Magufuli ni shujaa watu wanampenda mpaka sifa nyingine wanamuongezea.
Ile suprise waliyoona watu wa mitandaoni wakati wa msiba wa Magufuli tuombe Mungu isije kujirudia kwenye chaguzi against yoyote anaesema tofauti juu ya Magufuli.
Inawezekana Magufuli aliletwa kuanzisha siasa mpya kwenye nchi. Tunayoyaona mtaani yanaeleza lugha fulani ambayo unaweza kuwa mkaidi kuikubali ila wakati siku zote ndio msema kweli.
Karibu JF kamandaWananchi wepi. Achani hayo
Dogo tindo acha kulalamaAngekuwa amefanya makubwa hivyo asingenajisi uchaguzi wa 2020. Yeye mwenyewe akiwa hai ilibidi anajisi uchaguzi. Kama alikuwa anakubalika hivyo huko mtaani angeheshimu box la kura.
Mbona aliiba uchaguzi kama alikua anakubalika mtaani?!Mitandaoni Magufuli ni Rais wa hovyo kuwahi kutokea nchi hii.
Kitaani Magufuli ni shujaa watu wanampenda mpaka sifa nyingine wanamuongezea.
Ile suprise waliyoona watu wa mitandaoni wakati wa msiba wa Magufuli tuombe Mungu isije kujirudia kwenye chaguzi against yoyote anaesema tofauti juu ya Magufuli.
Inawezekana Magufuli aliletwa kuanzisha siasa mpya kwenye nchi. Tunayoyaona mtaani yanaeleza lugha fulani ambayo unaweza kuwa mkaidi kuikubali ila wakati siku zote ndio msema kweli.
Asingeharibu uchaguzi wa 2020 kama alikua anakubalika mtaaniKuna mtu ameelezea hapo vyema kabisa ni kakundi tu ka watu wachache wanaohesabika mitandaoni ndio wanamchukia Magu ila mtaani wanamuelewa sana na hawakumuelewa tu kwa kauli alizokuwa anatoa bali kwa kazi zinazoonekana kwa macho ya nyama.
Ni kakundi kadogo tu ndo kanaona alikuwa Dictator, nafikiri jambo la msingi hapa ni kujiuliza haka kakundi kadogo kwanini kalimuona ni dictator?
Amani iwe kwenu,
Mimi kama mwananchi na mwanaCCM nakumbuka ilivyokuwa ngumu kuiuza CCM mwaka 2015 kiasi ambacho hata wafanyakazi wa CCM waliogopa kuvaa sare za chama hata walipokuwa ofisi za Lumumba kwa kuhofia kipigo na fedheha toka kwa wananchi.
Naam, kazi kubwa ilifanyika hadi kutafuta washauri nguli ambao walitushauri tukiwa majukwaani tujinadi kama chama cha Magufuli na sio CCM.
Kuna kila dalili mwaka 2025 na kuendelea ni dhahiri CCM itaenda kwenye uchaguzi dhidi ya wananchi na hapo siku zijazo itabidi kumtafuta Magufuli mwingine kunusuru chama.
Ajizi nyumba ya njaa!
Watawala wajiepushe na Kumponda Magufuli maana aliyoyafanya hayahitaji Maelezo mengi bali yalionekana Physically sasa Hawa watu huenda wakajikuta kwenye wakati Mgumu sana 2025, Nguvu ya umma sio ya kubeza hata kidogo
Magufuli is no more, kuongelea mambo ya 2025 sasa hivi sio sahihi, kumbuka siasa hubadilika muda wowote na mpaka kufika mwaka huo mengi yatakuwa yameshatokea kubadili upepo.Amani iwe kwenu,
Mimi kama mwananchi na mwanaCCM nakumbuka ilivyokuwa ngumu kuiuza CCM mwaka 2015 kiasi ambacho hata wafanyakazi wa CCM waliogopa kuvaa sare za chama hata walipokuwa ofisi za Lumumba kwa kuhofia kipigo na fedheha toka kwa wananchi.
Naam, kazi kubwa ilifanyika hadi kutafuta washauri nguli ambao walitushauri tukiwa majukwaani tujinadi kama chama cha Magufuli na sio CCM.
Kuna kila dalili mwaka 2025 na kuendelea ni dhahiri CCM itaenda kwenye uchaguzi dhidi ya wananchi na hapo siku zijazo itabidi kumtafuta Magufuli mwingine kunusuru chama.
Ajizi nyumba ya njaa!
Magufuli alikuwa na misimamo yake tata na haikueleweka na kundi la elites.
Ila kundi la watu wa kawaida walipenda misimamo yake na falsafa zake.
Sasa hapa kuna makundi mawili la hao elites ambalo utalikuta twitter na JF likitema nyongo.
Na lingine la watu wa kawaida awa wanajadili kwenye daladala, vijiweni nk
Awa elites wapo kama laki 8 kati ya watanzania million 60.
Hizi namba kwa mwenye akili hawezi kupuuza awa wanyonge.