DuhAmani iwe kwenu,
Mimi kama mwananchi na mwanaCCM nakumbuka ilivyokuwa ngumu kuiuza CCM mwaka 2015 kiasi ambacho hata wafanyakazi wa CCM waliogopa kuvaa sare za chama hata walipokuwa ofisi za Lumumba kwa kuhofia kipigo na fedheha toka kwa wananchi.
Naam, kazi kubwa ilifanyika hadi kutafuta washauri nguli ambao walitushauri tukiwa majukwaani tujinadi kama chama cha Magufuli na sio CCM.
Kuna kila dalili mwaka 2025 na kuendelea ni dhahiri CCM itaenda kwenye uchaguzi dhidi ya wananchi na hapo siku zijazo itabidi kumtafuta Magufuli mwingine kunusuru chama.
Ajizi nyumba ya njaa!
Safi sana naona maumivu yameanz kuwaingia hapo team mwendazake. Mama Mnaye hadi 2035. VumilieniAmani iwe kwenu,
Mimi kama mwananchi na mwanaCCM nakumbuka ilivyokuwa ngumu kuiuza CCM mwaka 2015 kiasi ambacho hata wafanyakazi wa CCM waliogopa kuvaa sare za chama hata walipokuwa ofisi za Lumumba kwa kuhofia kipigo na fedheha toka kwa wananchi.
Naam, kazi kubwa ilifanyika hadi kutafuta washauri nguli ambao walitushauri tukiwa majukwaani tujinadi kama chama cha Magufuli na sio CCM.
Kuna kila dalili mwaka 2025 na kuendelea ni dhahiri CCM itaenda kwenye uchaguzi dhidi ya wananchi na hapo siku zijazo itabidi kumtafuta Magufuli mwingine kunusuru chama.
Ajizi nyumba ya njaa!
Hilo shetani lenu likitajwa kwa mabaya yake mnasema aachwe apumzike, hila nyie hamuishi kumtukuzaAmani iwe kwenu,
Mimi kama mwananchi na mwanaCCM nakumbuka ilivyokuwa ngumu kuiuza CCM mwaka 2015 kiasi ambacho hata wafanyakazi wa CCM waliogopa kuvaa sare za chama hata walipokuwa ofisi za Lumumba kwa kuhofia kipigo na fedheha toka kwa wananchi.
Naam, kazi kubwa ilifanyika hadi kutafuta washauri nguli ambao walitushauri tukiwa majukwaani tujinadi kama chama cha Magufuli na sio CCM.
Kuna kila dalili mwaka 2025 na kuendelea ni dhahiri CCM itaenda kwenye uchaguzi dhidi ya wananchi na hapo siku zijazo itabidi kumtafuta Magufuli mwingine kunusuru chama.
Ajizi nyumba ya njaa!
Yaani Hawa matahila huyo dikteta washamfanya Ni mungu Wao, wakati uchaguzi wa 2020 ulikuwa wa hovyo kabisa kwajili yake,Tusidanganyane, Magufuli angekuwa anakubalika asingeiba uchaguzi wa Serikali za Mitaa wa 2019 na Uchaguzi Mkuu wote wa 2020. Magufuli aliwekwa na NEC na Police kuwa Rais mwaka 2020.
Acheni kumtukuza Mwendazake ambaye alikuwa mwizi, MWONGO na dikteta aliyetaka kuiharibu Nchi yetu.
CCM wakishindwa mwaka 2025 watashindwa kama chama tu na siyo huyo wenu tuliyemzika Chato
Jikite kwenye hoja kamandaHilo shetani lenu likitajwa kwa mabaya yake mnasema aachwe apumzike, hila nyie hamuishi kumtukuza
Mkuu lazima tuambiame ukweli.Tusidanganyane, Magufuli angekuwa anakubalika asingeiba uchaguzi wa Serikali za Mitaa wa 2019 na Uchaguzi Mkuu wote wa 2020. Magufuli aliwekwa na NEC na Police kuwa Rais mwaka 2020.
Acheni kumtukuza Mwendazake ambaye alikuwa mwizi, MWONGO na dikteta aliyetaka kuiharibu Nchi yetu.
CCM wakishindwa mwaka 2025 watashindwa kama chama tu na siyo huyo wenu tuliyemzika Chato
Ni kweli mkuu,,Watawala wajiepushe na Kumponda Magufuli maana aliyoyafanya hayahitaji Maelezo mengi bali yalionekana Physically sasa Hawa watu huenda wakajikuta kwenye wakati Mgumu sana 2025, Nguvu ya umma sio ya kubeza hata kidogo
Unajua result ya mtu kuona ameprove failure dhidi ya aliyemtangulia na akiwa na uhakika hawezi mfikia kinachofuatia ni kujaribu ku polute akichokifanya . Hii scenario kwa sisi ma thinkers hatupati shida kabisa kuelewa ni nini kinatokea hivi. This woman has proved failure in her regime despite the fact that it's too early.
Magufuli kimsimamo namfananisha na Rais wa Misri alietokana na Wanyonge Mohamed Mursi
Alipochaguliwa Mafisadi ya Egypt yaliyojazana Jeshini yakiongozwa na Generali Abdilfatah Alsisi yakishirikiana na Mabeberu yalidhan yanaweza kumshawishi alegeze misimamo yake ya kutetea Raia
Yalivyoshindwa kumuangusha yakakusanya majeshi kumtisha alegeze Msimamo akakataa wakamtoa na wakamfunga lakini akiwa Gerezani msimamo wake ukabaki vile vile hadi akauwawa akiwa Kizimbani kwa sumu wakadai eti Matatizo ya Umeme wa Moyo.
Mkuu lazima tuambiame ukweli.
Uchaguzi wa mwaka 2020 Magufuli alikuwa anakubalika Sana kwa wanainchi.
Tatizo lilikuwa kwa wabunge na wenyeviti wa mtaa na madiwani kwa ticket ya CCM,
Wengi waliwachokwa kutokana na kutokuwa na ushawishi mkubwa kwa wanainchi.
Ulikuwa ukikuta watu 10 ukawauliza kuhusu Magufuli,
Basi 7 watasema Ndiyo,
na 3 watasema Hapana.
Lakini kwa hali ilivyo sasa,
Katika wanainchi 10 ukiwauliza kuhusu uongozi uliopo madarakani , watu 3 watakwambiya Ndiyo na 7 watakwambiya Hapana.
Chama kimekosa ushawishi kwa wanainchi.
Kama uchaguzi ukiwa wa haki basi Kura za Hapana zitakuwa nyingi kwa Ccm kuliko Kura za Ndiyo.
Ndy sababu ya kuwarejesha Safu nzima ya kanali,pamoja na bao la mkono kundini.
Yote ni maandalizi ya uchaguzi wa figisu 2025.
Ni vile Tanzania hakuna upinzani wa kweli,
Lakini wapinzani kama wangekuwa na watu sahihi kuongoza hii inchi,
Nadhani 2025 ndy watapita kwa urahisi mno kuliko nyakati zozote ktk hii inchi..
Amani iwe kwenu,
Mimi kama mwananchi na mwanaCCM nakumbuka ilivyokuwa ngumu kuiuza CCM mwaka 2015 kiasi ambacho hata wafanyakazi wa CCM waliogopa kuvaa sare za chama hata walipokuwa ofisi za Lumumba kwa kuhofia kipigo na fedheha toka kwa wananchi.
Naam, kazi kubwa ilifanyika hadi kutafuta washauri nguli ambao walitushauri tukiwa majukwaani tujinadi kama chama cha Magufuli na sio CCM.
Kuna kila dalili mwaka 2025 na kuendelea ni dhahiri CCM itaenda kwenye uchaguzi dhidi ya wananchi na hapo siku zijazo itabidi kumtafuta Magufuli mwingine kunusuru chama.
Ajizi nyumba ya njaa!
Sawa,nendeni huko kuzimu alipo mungu wenu mkaunde serikali ya mazombi!!Wananchi na kivuli cha Magufuli wana uwezo wa kuunda serikali.
Hata Kama Kura zikiibiwa lakini tutawalaza na viatu.Bila tume huru ya uchaguzi hizo ni hadithi za paukwa pakawa tu.
Asali tamu mkuu,,Sawa,nendeni huko kuzimu alipo mungu wenu mkaunde serikali ya mazombi!!
Jikite kwenye hoja,hata wewe utakufaSawa,nendeni huko kuzimu alipo mungu wenu mkaunde serikali ya mazombi!!
Duh ! Watatumaliza aisee !!Mama amebariki mafisadi wapandishe bei
Magufuli hakunusuru Chama Bali Vyombo vya Dola.Amani iwe kwenu,
Mimi kama mwananchi na mwanaCCM nakumbuka ilivyokuwa ngumu kuiuza CCM mwaka 2015 kiasi ambacho hata wafanyakazi wa CCM waliogopa kuvaa sare za chama hata walipokuwa ofisi za Lumumba kwa kuhofia kipigo na fedheha toka kwa wananchi.
Naam, kazi kubwa ilifanyika hadi kutafuta washauri nguli ambao walitushauri tukiwa majukwaani tujinadi kama chama cha Magufuli na sio CCM.
Kuna kila dalili mwaka 2025 na kuendelea ni dhahiri CCM itaenda kwenye uchaguzi dhidi ya wananchi na hapo siku zijazo itabidi kumtafuta Magufuli mwingine kunusuru chama.
Ajizi nyumba ya njaa!
Yaah hoja sasa zipo wazi sanaAnzisheni chama chenu mapemaa aise
Tukuchukue nchiii sasa
Hahaha
Ova