Mtemi mpambalioto
JF-Expert Member
- Aug 23, 2015
- 3,436
- 7,955
mie naangaliaga hizi post nawazaga sana kuhusu binadamu aliyezaliwa na binadamu mwenzie! nyie mnaoombea kwa kudanganya watu ili mpate hela mjenge mahekalu na starehe kibao wakati waumini wenu wanashinda njaa kwa kuamini mnawaombea utajiri mlaaniwekuombea/ibaza za wafu ni chukizo kwa Mungu. baada ya kifo ni hukumu, hata uombe namna gani mtu aliyekufa kama hakutengeneza maisha yake kabla ya kufa huwezi kumtakasa. acheni kupoteza watu, acheni ibada za wafu. kanisa katoliki lina imani ya kupeleka watu motoni moja kwa moja.
Usirudie tena kuhusisha watanzania na huyu fedhuli.Hakuna kama Magufuli, aendelee kupumzika kipenzi cha watanzania
Hizi dini zimeletwa na hawa wapuuzi wazungu na waarabu ni ujinga mtupu, zimeleta matatizo mengi duniani, hawa waroma ndiyo wahuni kabisa pambaf zaoAliomba msamaha Lissu ?.
Aliomba msamaha aliowapora fedha ?.
Aliomba msamaha waTZ kwa kupora uchaguzi ?.
Aliomba msamahaa wazazi wa Ben ?.
Aliomba msamahaa waTZ kwa kuharibu uchumi ?.
Aliomba msamahaa waTZ kwa kuharibu mahusiano ya kimataifa hasa nchi jirani ?.
Hicho kiherehere cha Roman Catholic kinatoka wapi zaidi ya kudumaza waKristo kiimani na hata namna bora ya kutumia akili zao.
Kifupi hiyo misa ni chukizo mbele ya Mungu.
Yohana 20:30; 21:25Mimi naamini mafundisho yote aliyofundisha Yesu au mitume wake hayajandikwa kwenye biblia kwa sababu mbalimbali la sivyo biblia ingekuwa kubwa sana na isinge bebeka.
Na kwa sababu amri kuu kuliko zote ni upendo basi mtuache sisi wakatoloki tuoneshe upendo kwa marehemu wetu kwa kuwaombea wa Mungu mwenye huruma awasamehe wale wanaostaili msamaha wake, kwa kuwa hakuna sehemu kwenye bilblia imezuia waliokufa wasiombewe.
Baada ya hapo akazuia wanaCCM wote kwenda kumuona Lissu, akamuamrisha na Ndugai asimpe mafao yake, jamaa lilikuwa nafiki na katili sana
Hawawezi kukuelewa.Don’t be naive ! Same should be expected wakaitwe akina TB Joshua, mama Rwakatare, Koffi Anan, Mandela ….. waamke waende kwao? Usidhani uwepo wa Roho Mtakatifu ni rahisi hivyo na utendaji kazi wake ni mwepesi hivyo ! Makanisa mengi sana ya kiroho ni fake na yamejaa [emoji624] drama!
Mbona Magufuli ameajiri, au ulikuwa Tanzania ya wapi?Hastahili kuombewa kabisa, ni bora wakae kimya! Aliharibu uchumi na ndoto za watu, haiwezekani ukae miaka 5 bila kutoa ajira, kupandisha vyeo, kutoa annual increment, kupandisha mishahara huku kisingizio kikiwa kujenga SGR! Mbona Samia ndani ya mwaka anafanya vyote?
Hajawahi kutoa ajira zaidi ya kufukuza watuMbona Magufuli ameajiri, au ulikuwa Tanzania ya wapi?