Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Huna ulijualo.Alikuwa MUONGO ,makampuni ya serikali TTCL/ATCL yalifannya sanaa za maonesho KUTOA GAWIO kwa serikali ,wakati yalikuwa yanajiendesha kea hasara.
Lengo ni kuwahadaa WATANZANIA wajinga ambao hawana CRITICAL mind.
Mwishoni ikabainika katika report ya CAG kuwa mashirika hayo ni Yalioparate kwa hasara.
Kifupi MAGUFULI ALIKUWA SAWASAWA NA (Mfalme JUHA)
Na huu ndio unafiki tunaosema huyu jamaa yenu atachomwa na moto mkali sanaa.
Mhashamu Baba Askofu Mkuu Renatus Nkwande wa Jimbo Kuu Katoliki la Mwanza anawaalika waamini na watu wote wenye mapenzi mema katika adhimisho la Misa Takatifu ya kumuombea pumziko la milele mbinguni Hayati John Pombe Joseph Magufuli.
Hahaha, hujui mengiNinaona unapambana na mfu na bado umemshindwa... Umeishia kwenye chuki tu.
Alishindwa, alipojaribu akawashiwa moto, kifo chake kimebebwa na roho yake mbaya, Moyo wake ulifika point ukasema noooJust Hahaha...
Magufuli atake kumtoa Samia ashindwe!
What a wishful thinking.
fortunately, I am not one of them. but still kuombea wafu au kuomba kwa wafu ni chukizo kwa Mungu. acheni.mie naangaliaga hizi post nawazaga sana kuhusu binadamu aliyezaliwa na binadamu mwenzie! nyie mnaoombea kwa kudanganya watu ili mpate hela mjenge mahekalu na starehe kibao wakati waumini wenu wanashinda njaa kwa kuamini mnawaombea utajiri mlaaniwe
ni sehemu kabisa. kuna majengo, kuna barabara n.k. au kanisani kwako wamekufundisha nini?Hivi mbinguni ni sehemu (Physical place) au ni hali (state of holiness)?
mimi ni mgumu kuelewa ila wewe ndio hauelewi kabisa.Wewe ni mgumu sana kuelewa!
Yesu aliposhuka kuzimu aliwahubiria hata hao. tunaamini huko huko walipokutana na Yesu waliomwamini waliokoka. and that was only an opportunity for those, sio hawa wanaokufa siku izi ili wasubirie mapadre wawaombee.Kuna tofauti kati ya onyo na hukumu.
Yesu aliwaonya, wewe umeshatuhukumu hatutaeda mbinguni.
Nikuulize tu, watu walioishi kabla ya Ulokole wataenda motoni au mbinguni?
ninyi mnatumia common sense kutafsiri Biblia, sisi tuliookoka tunatumia Roho Mtakatifu ambaye ndiye mwandishi wa Biblia.Common sense inatuambia kama kuna watu hawatasamehewa kwenye maisha yajayo maana yake wapo watakaosamehewa.
PytuuuuuUkiwa na chuki hauwezi kuona wema wa mtu, hata awe mwema kiasi gani. Punguza chuki mkuu.
Labda wa burigiAmina. Mungu wa mbinguni anasikia sala zetu. [emoji120]