Mwaka mmoja bila Magufuli: Jimbo Kuu Katoliki Mwanza kuongoza Misa ya maombezi yake

Mwaka mmoja bila Magufuli: Jimbo Kuu Katoliki Mwanza kuongoza Misa ya maombezi yake

Udhibitisho upelekwe wapi wakati mamlaka za kudhibitisha zina hofu na hayo madaraka. Au unadhani ukisema tulete ushahidi ndio inaondoa ukweli? We kesha hapa, shinda hapa huo ndio ukweli ambao huwezi kuubadili kwa mahaba yako kwake.
Wewe ni sehemu ya hizo mamlaka?
 
Kuanzia leo ntalala na wake za wat tu na lazima ndoa 100 nizivunje ,kisha ntaua wataonipinga 50(naamini yy hawapungui 400) kisha ntajizindika kwa waganga 30(yy naamini hawapungui mia) halafu najitafutia askofu nampiga hela sana nachanga sana kanisa katoliki,kisha mtu mbadi nanunua kiwanja nalitolea kanisa .nikifa watanifanyia ibada mnaojifanya wema na nikala wake zenu na niliowaua tukutane baa za mbinguni ....wananiita The only genius
 
Alilinda nini? Acheni ujinga nyinyi watu. Wewe utakuwa ni Machinga uliyeruhusiwa kuchafua miji. Angekuwa hivyo ulivyosema tungekuwa naye hadi leo
Magu alikuta tembo wangapi??na mpaka anakufa kaacha tembo wangapi.

Sasa lielekeze fuvu lako lijiulize hao tembo wa mwanzo walienda wapi??

Fuvu kubwa lakini limejaa masizi na matandabui tu.
 
Tukiwaambia mtupe uthibitisho kuwa Magufuli alimuua Ben Saanane, alimpiga risasi Tundu Lissu na alimpoteza/kumuua Azory Gwanda mnaingia mitini. Hebu tuthibitishie hizi tuhuma.
Ndiyo maana uliombwa uchunguzi 'huru' ili mbivu na mbichi zijulikane, vyombo vya ulinzi na usalama vya Kibongo vinahisiwa kushiriki katika majanga hayo.
Hata polisi huwa wabawakamata watu ili 'wasaidie' upelelezi wa kesi ina maana huwa wanawakamata kwa kuwahisi then huwapa kibano/kichapo(wao huita mahojiano) mpaka wakiri, sasa kwa Jiwe watu waliomba tu uchunguzi huru. Nothing more nothing less.
 
Acha kutetea kutetea ujinga, hayo pia unaweza kuyafungulia uzi na tutachangia vilevile.
Matukio yale yalikuwa ni mabaya na hayafai, yanapaswa kukemewa pia lakini hilo halisafishi ukatili na uuaji uliofanywa wakati wa utawala wa Magu.
Nashukuru msg imekuingia
 
Dar hapa miundombinu ilikuwepo kwa uchache miaka 6 iliyopita? Labda hujui unaongea nini Boss
Kiwalani ni moja ya sehemu ambayo viongozi waliopita hawakujenga miundo mbinu chini ya JPM nenda leo kiwalani kma sinza barabara poa
 
Kufa siyo kitu cha hovyo, kila nafsi itaonja umauti after all.

Tukiishi, twaishi kwa Bwana.
Tukifa, twafa kwa Bwana.
Kwahiyo tukiishi ama tukifa, sisi tu mali ya Bwana.
Sote ni wa mola na kwake tutarejea !! Yeyote aliye hai ajitambue kuwa yeye ni marehemu mtarajiwa, bila kujali yeye ni nani !! That's it ! Tuishi kwa nidhamu bandugu !!
 
Tukiwaambia mtupe uthibitisho kuwa Magufuli alimuua Ben Saanane, alimpiga risasi Tundu Lissu na alimpoteza/kumuua Azory Gwanda mnaingia mitini. Hebu tuthibitishie hizi tuhuma.
Muombe Maza aunde tume ndiyo utaujua ukweli .....!!
 
Watoto wa mwangosi wanateseka hawana baba alikufa kifo cha kinyama utumbo nje kama si binadamu ,Dr ulimboka alipata maumivu makali kung'olewa meno bila gazi,wale waliomzomea malaika wenu mbeya hawajulikani walipo.Hilo hamlioni unaona ya JPM tu acha bias naye atakuwa wapi?
Karma is a bitch !!
 
Tukiwaambia mtupe uthibitisho kuwa Magufuli alimuua Ben Saanane, alimpiga risasi Tundu Lissu na alimpoteza/kumuua Azory Gwanda mnaingia mitini. Hebu tuthibitishie hizi tuhuma.
hizo ni opinion zao(mawazo yao) ukiwaomba uthibitsho mpaka yesu anarudi hawatakupatia.
 
Kuanzia leo ntalala na wake za wat tu na lazima ndoa 100 nizivunje ,kisha ntaua wataonipinga 50(naamini yy hawapungui 400) kisha ntajizindika kwa waganga 30(yy naamini hawapungui mia) halafu najitafutia askofu nampiga hela sana nachanga sana kanisa katoliki,kisha mtu mbadi nanunua kiwanja nalitolea kanisa .nikifa watanifanyia ibada mnaojifanya wema na nikala wake zenu na niliowaua tukutane baa za mbinguni ....wananiita The only genius
Ukifa tu, sisi tutakuombea.
 
Ndiyo maana uliombwa uchunguzi 'huru' ili mbivu na mbichi zijulikane, vyombo vya ulinzi na usalama vya Kibongo vinahisiwa kushiriki katika majanga hayo.
Hata polisi huwa wabawakamata watu ili 'wasaidie' upelelezi wa kesi ina maana huwa wanawakamata kwa kuwahisi then huwapa kibano/kichapo(wao huita mahojiano) mpaka wakiri, sasa kwa Jiwe watu waliomba tu uchunguzi huru. Nothing more nothing less.
Kwahiyo kumbe hauna uthibitisho wowote... Just speculations and hearsay!!! Unatia kinyaa.
 
Kiwalani ni moja ya sehemu ambayo viongozi waliopita hawakujenga miundo mbinu chini ya JPM nenda leo kiwalani kma sinza barabara poa
Unafikiri hawajui? Ni vile mabwana wao mafisadi na mabeberu wamewa-program wapambane na Magufuli. 😁
 
Back
Top Bottom