Pamoja sana mkuu. Uwepo wako ni muhimu kwenye hizi forums zetu. Stay safe broh 👊Mamndenyi ..nimejifunza vingi kutoka kwako
Analyse na ma legend wengine wote nashindwa kuwatag
mzabzab , To yeye comment zenu hunifurahisha haswa kwenye mada za mahusiano na mapenzi
Kongole kwa rikiboy pia uzi wako umekua Isidingo
Nichukie nafasi kuwapongeza Mlifanikisha kuoa pongezi sana kwa maamuzi magumu,
Marry Christmas in advance..
Acha uhuni[emoji38][emoji38]Hahaha tutaongea mpendwa wangu
SawaHah mungu hapendi siasa omba Toyota
Tulia wewe nitaoa mwaka 2013 maana hapa kuna kamrembo kamenikamata ila kanafuna pesa zangu tuu na mbususu hakatoi sasa kukatisha story ni kukaoa tuu hamna jinsi.mzabzab
Mzee wa kupambania
DeepPond
Nyie kaka zangu nawapenda , nawatakieni kila la kheri maisha marefu kwenu[emoji179]
Mzabzab uoe sasa.
Sent using Jamii Forums mobile app
Nikutakie maandalizi mema ya sikukuu na mwaka uupokee kwa amani na baraka tele Mungu akawe kiongozi kwenye baraka zako za mwaka 2023Yaani hakuna mpaka sasa hakuna aliyeniwish
Haya maisha tu
Nyuzi kama hizi huwa nazikwepa sana kuzisoma,unaweza kujiona ni mkiwa
Mkuu hapa tupo pamoja... nawapenda single mother sana piaKwa masingle mother wote wa jf nawapenda sana kristo wa nazaret awatie nguvu x-mass hii na mwaka mpya.
Peace mkuu.🙏🙏Jf ni kama familia najifunza vingi sanaa...
Smart911 mzee kuwaita watujuze,
Extrovert Bavaria @brondo BinSalum7 wa kupuliza
Carleen Joannah singanojr Joanah DeepPond Infantry Soldier@Unique Flower Mshana Jr HERIEL mawardat Depal
makaveli10 Kasie ERoni Asprin Da vincci Kiranga Watu8
And cocastic nakupenda sanaa
Jenga mahusiano mazuri na watuNyuzi kama hizi huwa nazikwepa sana kuzisoma,unaweza kujiona ni mkiwa
[emoji1787][emoji1787][emoji1787] tuombeane kheri mwakani mambo yakawe freshTulia wewe nitaoa mwaka 2013 maana hapa kuna kamrembo kamenikamata ila kanafuna pesa zangu tuu na mbususu hakatoi sasa kukatisha story ni kukaoa tuu hamna jinsi.
Na wewe uolewe sio andunje analamba asali tuu bila kukuweka ndani
2013 [emoji848]Tulia wewe nitaoa mwaka 2013 maana hapa kuna kamrembo kamenikamata ila kanafuna pesa zangu tuu na mbususu hakatoi sasa kukatisha story ni kukaoa tuu hamna jinsi.
Na wewe uolewe sio andunje analamba asali tuu bila kukuweka ndani
Jamani umeutuma wapi? Sijauona mbona!!! Hebu tuma tena labda haujafika.Nakushangaa pamoja na kukutumia ujumbe umeuchuna tu hee sio poa
Angalia notifications bhanaJamani umeutuma wapi? Sijauona mbona!!! Hebu tuma tena labda haujafika.