Countrywide
JF-Expert Member
- Mar 2, 2015
- 20,694
- 32,527
Udugu kaa kwa kutulia [emoji1787][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] haya tulizanaa uduguuuu.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Udugu kaa kwa kutulia [emoji1787][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] haya tulizanaa uduguuuu.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] hayaa relaaaaax uduguuuuuUdugu kaa kwa kutulia [emoji1787]
Ukija pale kitengo makumbusho watu wengi tunautumia huu mtandao bila kificho! Sijui huko kwenuNi mwaka wa ku 9 tangu Nilipoanza kuutumia huu mtandao lakini sijawahi kukutana na mdau wa mtandao huu.
Leo nimejaribu kuwauliza colleagues Kama wanaufahamu, wote walikiri kuufahamu lakini wakasema hawautumii.
Nikajiuliza iwapo ni kweli au wanaficha privacy zao. Je, uliwahi kumuona mtu live akitumia JamiiForums?
Watu huwa tu wananishangaa niko busy na simu..wakichungulia wanaona Jamii Forum..wengi wanajua JF ni watoaji habari tu..
Inaonyesha pisi Kali sio mropokaji humu🤣🤣🤣🤣ungekuta na wale machizi wa humu nadhani ungeandika negative,,ila umeandika positively....Nilikuwa kwenye bus ya JMC ya dar singida, kufika Dodoma ilipanda pisi moja kali sana ikawa inaperuzi jf nikachungulia nikaona ID yake dooh sikuamini aisee!!
Hadi sasa tupo friends but hajui kama nimemjua yupo hapa jf ila naamini kwa comment hii akiiona atanifahamu .
Ila mjue tu JF kuna pis kali aisee si mchezo?
😂 usijali mama ndo mimi D wako!!!
Ndo siwezi tu kumtaja kamwe lakini huwezi amini ni ID maarufu sana hapa.Inaonyesha pisi Kali sio mropokaji humu🤣🤣🤣🤣ungekuta na wale machizi wa humu nadhani ungeandika negative,,ila umeandika positively....
Nimeona Mwaka wahege9😄Soma kichwa Cha uzi wangu
JF ni sawa na zimwi likujualo ambalo wewe haulijui!Ni mwaka wa ku 9 tangu Nilipoanza kuutumia huu mtandao lakini sijawahi kukutana na mdau wa mtandao huu.
Leo nimejaribu kuwauliza colleagues Kama wanaufahamu, wote walikiri kuufahamu lakini wakasema hawautumii.
Nikajiuliza iwapo ni kweli au wanaficha privacy zao. Je, uliwahi kumuona mtu live akitumia JamiiForums?
Huyu mtoto tunapendana sana. Wachawi labda ndio waharibuHili penzi ni fireee,heko kichuna wangu Cute Wife
[emoji20]Haaminiki huyo azam tv burudani kwa wote, hapendi skirt impite [emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Huyu mtoto tunapendana sana. Wachawi labda ndio waharibu
[emoji20]