Mwalimu amchapa mwanafunzi na kumuumiza shule ya Msingi Kinondoni, Walimu mmelogwa?

Yaani mi nakumbuka sijui mtoto gani alikutwa na barua ya mapenzi akiyanani tulixhezea darasa la tano wote yaani walimu walijipanga unapita kwa kila mwalimu anakuchapa isee walimu kama 15 ile siku ilikuwa balaa..
Enzi niko primary nakumbuka Kuna mwl aliwahi mtandika jamaa fimbo arobaini na mwamba aliinuka fresh na hakukua na kelele. Siku hizi uzungu mwingi sana matokeo yake watoto wanakua rojo rojo, poor parenting
 
Basii aqwaahi ona matako ya babazaooo .dah Pugu sec alikuwwepo.mwamba anajiita mabagala sura nyeusi yaan bila kupiga ovyo aridhiliki baba yule ila ndie liechangia tukaiona udsm wallahi na kujua jinsi y kuishi na watu
Duh mzee hutaki kupitwa na wakati
 
Hiyo hali haiwezi kuisha kwasababu,tatizo kuu la walimu halijatatuliwa
 
Hawa watoto wa siku hizi laini tena laini sana Kuna mwl alikua anaitwa Machibya huyo mwl fimbo zake ni balaaa yote tisa Kuna mwingine wa kuitwa Joker mwenyewe anajiita jokeri. Sasa huyu jamaa hakuchapi makalioni anakubana kichwa afu achapa pale kwenye spinal cord katikati!!! Ha ha aisee ni viboko viwili hazidishi ila ukitoka hapo maumivu yake sio mchezo
 
Wanasakamwa sana.
 
Kama kazi ngumu unaiacha unatafuta kwenye kazi rahisi lakini kupeleka stress zako za maisha kwa watoto wadogo huo ni ukosefu wa utimamu wa akili
Tatizo lenu hamuelewi na mmejaa uzungu ujinga, mwaka fulani Kuna kesi ilifika mpaka kwa DEO kesi ilimuhusu mwanafunzi aliekataa kunyoa ndevu kisa mafundisho ya imani yake hayaruhusu. Alikua anasema yeye yuko tayari afukuzwe kuliko kunyoa, anasema Allah amekataa kunyoa.

Mtoto kama huyu akiadhibiwa na kuambiwa kanyoe Kuna nanga kama wewe utapiga kelele, Hawa walimu wana stress za maisha bado watoto wawasumbue mwisho kabisa raia nao wanalipuka wahurumieni zaidi sana wapeni ushirikiano
 
Yeah, anajipenda sana ...vipi bado yupo?
Huyu mshua sina hakika sana kama bado yuko hai ila namfahamu tuliwahi kukaa kota moja zile za two in one, enzi hizo alikuwa Mbirani primary school Sikonge huko. Huyu mwamba toka nipo kid alikuwa anajipenda sana pigo za ki-brother man ndio zilikuwa swaga zake.
 
Sana nakumbuka alikua anahamasisha sana unadhifu, tena alituruhusu kuvaa tai kabisa.
 
Ni stress tu hizo hamna kingine
 
Waache kazi wakatafute kwenye pesa nyingi, yanini kuishi kwa majuto ya kazi yako mwenyewe.
Na haya mambo ni kwa shule za serikali tu, sijawahi sikia shule za privates huo ujinga
Hakuna aliyetosheka na mshahara so fimbo watachapwa tu na wa kwangu nasema achapwe tu
 
Basii aqwaahi ona matako ya babazaooo .dah Pugu sec alikuwwepo.mwamba anajiita mabagala sura nyeusi yaan bila kupiga ovyo aridhiliki baba yule ila ndie liechangia tukaiona udsm wallahi na kujua jinsi y kuishi na watu
Kwa muandiko wako huu huu uliiona udsm? Dahh
 
Waache kazi wakatafute kwenye pesa nyingi, yanini kuishi kwa majuto ya kazi yako mwenyewe.
Na haya mambo ni kwa shule za serikali tu, sijawahi sikia shule za privates huo ujinga
Private fimbo zipo sana tu mbona au mwenzetu high class ulisoma Tanganyika schools?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…