Enzi niko primary nakumbuka Kuna mwl aliwahi mtandika jamaa fimbo arobaini na mwamba aliinuka fresh na hakukua na kelele. Siku hizi uzungu mwingi sana matokeo yake watoto wanakua rojo rojo, poor parentingYaani mi nakumbuka sijui mtoto gani alikutwa na barua ya mapenzi akiyanani tulixhezea darasa la tano wote yaani walimu walijipanga unapita kwa kila mwalimu anakuchapa isee walimu kama 15 ile siku ilikuwa balaa..
Unaweza Kuta huyo unaemwambia mjinga ni baba akoNdiyo maana mmekuwa watu wazima wajingawajinga.
Duh mzee hutaki kupitwa na wakatiBasii aqwaahi ona matako ya babazaooo .dah Pugu sec alikuwwepo.mwamba anajiita mabagala sura nyeusi yaan bila kupiga ovyo aridhiliki baba yule ila ndie liechangia tukaiona udsm wallahi na kujua jinsi y kuishi na watu
Yes mkuu, Mboka kitambo hichoMboka moja
Hawa watoto wa siku hizi laini tena laini sana Kuna mwl alikua anaitwa Machibya huyo mwl fimbo zake ni balaaa yote tisa Kuna mwingine wa kuitwa Joker mwenyewe anajiita jokeri. Sasa huyu jamaa hakuchapi makalioni anakubana kichwa afu achapa pale kwenye spinal cord katikati!!! Ha ha aisee ni viboko viwili hazidishi ila ukitoka hapo maumivu yake sio mchezoAh fimbo sita imekuwa kelele !
Hivi wanafunzi was kale tulikuwa wagum Sana au?
Niliwahi kupigwa na ticha flani hivi nikiwa secondaries Kama vile nimemwibia mkewe kisa TU nilitoroka kipindi Cha dini.
Sent from my TECNO RA7 using JamiiForums mobile app
Wanasakamwa sana.Mwenye hii post ulipo una shida ya akili, ushawai funza darasa lina watoto 140 ,stream nzima watoto karibia 400 ukajua shida wanayopotia hawa walimu.
Wangu nimempa mwalimu ruksa, vunja hata mkono nitamtibu, zamani tulikuwa tunyukwa sembuse hichi kizazi Cha mashoga na lesbians
Kama anarekebisha kosa au utovu wa nidhamu ,au kusisitiza mwanafunzi afaulu mzazi yeyote hafai kulalamika, ukiona shida, mchukue ukae naye kwako umfunze wewe, mtoto wako mbeleni akifanikiwa masomo wangapi Huwa tunarudi kumrejeshea shukrani hata ya soda mwalimu aliyesumbuka mwanao apite?
I'm not a teacher but let's give these guys a break
Yeah, anajipenda sana ...vipi bado yupo?Emu ngoja kwanza huyu Katakula ndio yule aliyekua anaishi Ipuli? Mshua mmoja wa kujipenda.
Tatizo lenu hamuelewi na mmejaa uzungu ujinga, mwaka fulani Kuna kesi ilifika mpaka kwa DEO kesi ilimuhusu mwanafunzi aliekataa kunyoa ndevu kisa mafundisho ya imani yake hayaruhusu. Alikua anasema yeye yuko tayari afukuzwe kuliko kunyoa, anasema Allah amekataa kunyoa.Kama kazi ngumu unaiacha unatafuta kwenye kazi rahisi lakini kupeleka stress zako za maisha kwa watoto wadogo huo ni ukosefu wa utimamu wa akili
Kinyonge sana ila ndo ukweli [emoji1787][emoji1787]Haya
HakikaKuna jamaa twitter anasema kila siku... walimu wasijipe kazi sio zao; fundisha, toa mtihani, wape matoke nenda nyumbani!
Huyu mshua sina hakika sana kama bado yuko hai ila namfahamu tuliwahi kukaa kota moja zile za two in one, enzi hizo alikuwa Mbirani primary school Sikonge huko. Huyu mwamba toka nipo kid alikuwa anajipenda sana pigo za ki-brother man ndio zilikuwa swaga zake.Yeah, anajipenda sana ...vipi bado yupo?
Sana nakumbuka alikua anahamasisha sana unadhifu, tena alituruhusu kuvaa tai kabisa.Huyu mshua sina hakika sana kama bado yuko hai ila namfahamu tuliwahi kukaa kota moja zile za two in one, enzi hizo alikuwa Mbirani primary school Sikonge huko. Huyu mwamba toka nipo kid alikuwa anajipenda sana pigo za ki-brother man ndio zilikuwa swaga zake.
Bob MinyatoKinyonge sana ila ndo ukweli [emoji1787][emoji1787]
Ni stress tu hizo hamna kingineHuyu wa leo naomba akapimwe akili jamani
Yaani kwa kuumizwa kule mwanfunzi hawa walimu
Sio hivi hivi wana shida ya utimamu wa akili jamani. Yaani mwenzio kachafua hali ya hewa hana wiki na wewe unaenda kurudia yale yale
Hivi walimu mmelogwa?Au ndio kampeni yenu mmeiandaa 2023 kuumiza watoto wetu
Embu mtuache narudia tusije tukapelekana madhabahuni kwa kuhani Musa ama Mwamposa awashugulikie
Haka kamchezo inaoekana ni ka siku nyingi sana Serikali ipite kila shule iwahoji wanafunzi mahusiano yao na walimu
Kama sio binadamu kweli? Naangalia mtoto ITV usiku huu natamani nijue alipo huyo mwalimu nimshugulikie
Alamsiikiii
Hakuna aliyetosheka na mshahara so fimbo watachapwa tu na wa kwangu nasema achapwe tuWaache kazi wakatafute kwenye pesa nyingi, yanini kuishi kwa majuto ya kazi yako mwenyewe.
Na haya mambo ni kwa shule za serikali tu, sijawahi sikia shule za privates huo ujinga
Kwa muandiko wako huu huu uliiona udsm? DahhBasii aqwaahi ona matako ya babazaooo .dah Pugu sec alikuwwepo.mwamba anajiita mabagala sura nyeusi yaan bila kupiga ovyo aridhiliki baba yule ila ndie liechangia tukaiona udsm wallahi na kujua jinsi y kuishi na watu
Sasa wewe udsm hukupagusa? Basi usijali ulichokipata hakina tofauti na kile Cha Udsm mkuu.Kwa muandiko wako huu huu uliiona udsm? Dahh
Private fimbo zipo sana tu mbona au mwenzetu high class ulisoma Tanganyika schools?Waache kazi wakatafute kwenye pesa nyingi, yanini kuishi kwa majuto ya kazi yako mwenyewe.
Na haya mambo ni kwa shule za serikali tu, sijawahi sikia shule za privates huo ujinga