LGE2024 Mwamposa: Watu wangu nenda mjiandikishe mkapigie kura CCM

Uchaguzi wa Serikali za Mitaa 2024

Huyu jamaa kalewa. Ni ulevi wa umashuhuri. Anavyokusanya watu vile anahisi yeye yuko juu ya kitu chochote Tanzania 🇹🇿.
 
Kavideo tuone alivyokuwa akiongea
 
Huyo ni KIBWETERE wa kizazi kipya. Onyo kwa wafuasi wake, yatawakuta ya Kibwetere siku sio nyingi maana hata maandiko yametahadharisha kuwa SIO KILA ATAJAYE JINA LANGU NI WANGU.
Shauri yenu

Yawakute mara ya pili bro!!?
Yalishawakuta kule Moshi.
 

Hapo ile misukule ya kwetu utaiambia nini?
 
Tanzania ni nchi ambayo mtu unaweza kuja mikono mitupu ukaondoka na mamilioni ya hela. Haiingii akilini kuona yule tapeli amewaibia pesa wananchi kwa miaka chungu nzima wakati serikali inayopaswa kuwalinda dhidi ya matapeli ipo kimya. Inauma sana.


Hivi kweli kanisa kama la Mwamposa linalouza maelfu ya katoni za maji kwa bei kubwa linasamehewa Kodi lakini mtu anayeuza maji katoni moja mkononi anadaiwa ushuru.??
Hapa ni kweli kabisa CCM wanatuona nyani kabisa .
CCM wanafikiri wale watu elfu tano au sita pale Kawe wanaweza kuipigia kura ikashinda mamilioni ya waumini wasiokubaliana na dhulma na mauaji !!
 
Hivi embu tauambie ile michango cdm ilikuwa inakusanya kwenye mikutano imetumikaje ?

Mimi nazungumzia huyo Nabii wenu. Hayo ya michango au Chadema waulize wenyewe. Nabii wenu ni muhuni, Mwizi na tapeli. Period.
 
hatari iliyopo, kama leo anaweza kuwaelekeza anaowaita "watu wangu" kupigia ccm, kesho anaweza kuwaelekeza kupigia mtu wake toka kwenye dini yake, na siku ingine toka kwenye kabila lake. ameongea ujinga mkubwa sana.
Shida yetu ni kuamini kuwa baadhi ya watu wako smart kihivyo...
 
sasa kama hawapati msaada wanafata nini ikiwa hakuna anaelazimishwa kwenda kwa Mwamposa? hapa ndio pa kutafakari badala ya kusema kuna ulaghai , mimi nina amini bila shaka wanapata wanachokitaka ndio maana kila siku wanakwenda
Mkuu kwanini unapenda kushabikia uovu?
 
Zawadi Ngoda na hapa unasemaje ?
 
Zawadi Ngoda na hapa unasemaje ?
Hii mimi naikubali sana. Nitafungua UZI maalum kuhusu Dini na Siasa. Hii itakuwa topic nyingine.

Ni hivi, ninachowataka CHADEMA wasibague wapiga kura. Wanyooshe mikono yao miwili kwa taasisi zote, wasiegemee taasisi moja tu. Kwa sababu hata wakichaguliwa kama wabunge, madiwani, viongozi wa serikali za mitaa au Urais bado watakutana na wananchi katika taasisi zote hizo. Sasa watawahudumiaje? Hii ndio nia yangu ya kufungua UZI huu.
 
Mkuu Mwamposa kuwahimiza watu wake wawapigie kura CCM ina uhusiano gani na CHADEMA?
 
MWAMPOSA ANAWAKOSESHA USINGIZ, ANAWANYIMA RAHA, ANAWAKERA WAPUMBAV NDIO MAANA KILASIKU MNAMJADILI MWANAUME KIDUME WENU...
 
Waumini Wana akili timamu, Si vyema kuwapangia chama Gani wakipigie kura.

Ilitosha kuwahamasisha kushiriki ktk zoezi la uchaguzi.

Kwako Askofu Mwanamapingduzi!!
 
yani nilivo simpendi huyu baba[emoji35], tapeli mkubwa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…