R.I.P Comrade, Mwenyezi Mungu akuweke unapostahili pimzika kwa amani..MwanaCCM na MwanaJF Thadei Ole Mushi amefariki dunia. Ole Mushi alikuwa anaugua kwa muda mrefu.
Duh! SumuHii sio mbaya kama ile tuliyoambiwa kapewa sumu, haya ni matokeo.
Mbona wanaccm wao hawapendi kutoa haki! Kheri ya mkoloni mweupe kuliko mkoloni mweusi.Kuna sehem nimeona wanasema katangulia mbele za haki kama ni kweli RIP ole mushi
Alikuwa na mtizamo tofauti na chama chake kuhusu Katiba mpya na aliwahi kupinga wazi wazi na Katibu Mkuu aliyejiuzulu Chongolo na toka wakati huo aliaza kuadimika.Huyo Ole Mushi alikuwa threat kwenye nini mpaka pesa zote hizo zitumike na kiwekewa simu?
Nimeona mitandaoni kuwa wewe ndio umemuuwaUmeona habari huko umekuja kutega hapa
Bwege kweli na shetani mweupe wewe
Kaaa tu usifanye ibadaMbona siku hizi watu wanafariki wadogo sana!
Ndani ya miezi miwili hii, nimeshakutana na taarifa za vifo si pungufu ya 10 kwa watu ambao ni 45 kurudi chini...
Mbona unafahamika sasa! Sasa shetwani hapa ni nani zaidi yako mzee? Roho hiyo itakutesa sanaUmeona habari huko umekuja kutega hapa
Bwege kweli na shetani mweupe wewe
Kwani hajawahi kufa mtu hata mmojaUnawezakuta na wewe umeshiriki!!!
Wahuni tu hao mkuuNimeona mitandaoni kuwa wewe ndio umemuuwa
USSRView attachment 2893966
Sent from my Infinix X6511G using JamiiForums mobile app
Kwa muuaji kama wewe ni rahisi sanaWahuni tu hao mkuu
Hivi wanadhani kuua ni rahisi
Siamini hili, Old Mushi alikuwa Chawa mpaka uteuzi tu, hajawahi kuwa threat Kwa serikali.Alikuwa na mtizamo tofauti na chama chake kuhusu Katiba mpya na aliwahi kupinga wazi wazi na Katibu Mkuu aliyejiuzulu Chongolo na toka wakati huo aliaza kuadimika.