Mwanachama humu amenikumbusha nilivyomfanyia jamaa mmoja aliyekuwa anajiona kafika kazini

 

Attachments

  • 255766508558_status_a91b872653204c70b85246c4b8d977d8.jpg
    23.2 KB · Views: 3
Duh unatisha mkuu
 
Wewe ni shwatani.
Hayo ndo yanakula familia tunaishia kusema tumerogwa kumbe ni mijitu inayotesa watu bila kosa.
 
Nafikili huenda anacho kiadithia hakukifanya yeye Ila huenda anatoa refection

Ya Maisha harisi yanayo endekea mitaani kwenye Maisha yetu ya kila siku

Isipokuwa tu namba alivyo liwasilisha kajivisha uhusika Sana kiasikwamba kaleta taharuki

Lakini tungejiuliza lengo la yeye kuposti hili ni Nini? Je kututisha? Kutufundisha? Au kutuambukiza Imani frani?

Binafsi nimeona kaandika kiutani Sana na lengo nikitu kumbusha kwamba

Unapo pendwa na boss kumbuka Kuna kuwindwa nawafanya kazi wenzio

Pia kutukumbusha kwamba hatuamini uchawi Ila uchawi upo

KINGINE nikwamba mchawi hachagui Cha kukulogea hats liwe dogo kwake linaweza kuwa kubwa nakubwa kwake likawa dogo tujiadhari nao

Hivyo ningeshauri tusi mhukumu kwa icho kiandika badara yake tukumbuke watu wa dizaini hiyo wapo na tujiadhari nao
 
Mmesha muaharibia dogo maisha yake kwa Ujumla, Sasa furaha yako ipo wapi?, mmesha mkwaza mazima, na pengine akageuka chizi, FURAHA YENU IPO WAPI.
 
Itoshe kusema Mungu anajua lililo sirini, kama halitarudi kwenu basi litarudi kwa vizazi vijavyo, tumtumainie Mungu zaidi.
 
Duh hatari.

Mashaka Gobwe
 
Mafala kama nyie ndio mnalitia taifa umasikini kenge maji nyie,,,siku hizi dawa ya moto ni moto,, naingia nimeroga nikoona mnatka kuniharibia kazi nawaloga na nyie tumekuna wote kutafuta umuharibie mwenzako ili wewe uwe nani
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…