Equation x
JF-Expert Member
- Sep 3, 2017
- 33,679
- 49,841
- Thread starter
-
- #81
Mna miaka 20 na ngapi kwenye ndoa?Nimeshashuhudia watu kadhaa wenye hela zao wanavyosumbuliwa na mapenzi.... Love is all about affection
Mwanamke huwezi ukamdiscribe kirahisi hivyo ... wenye kujua mind set ya mwanamke hatujawahi kutetereka na tumepata wanawake wenye mapenzi ya kweli katika hali zetu hizi hizi za kipato cha kati
Sent from my SM-A235F using JamiiForums mobile app
Ndio uhonge au kuhudumia?Ili lolote likitokea uwe umejipanga
Amekutendea nini; na mna miaka mingapi kwenye ndoa yenu?Namshukuru Mungu kwa huyu mwanamke.
Miaka 13 tunaishi pamoja .Sikuwa na hela yeye akawa anapata vihela ila yupo tu.Nikapata vihela akakosa kazi yupo tu.Wote tuna vihela namtunzia na vihela vyake yupo tu.Ndugu zake na rafiki wananionaga miyeyusho ila yeye yupo tu.Hakuna mtu anaweza kuishi na mimi,kesho tu ataondoka ila yeye yupo tu.Amekutendea nini; na mna miaka mingapi kwenye ndoa yenu?
Nimekuwa misogynist kisa tu kusema ukweli. Kwani nadanganya dada yangu?Yaani wewe ni misogynist per se, hujifichagi, unatia kinyaa aisee
Utapiga chini dunia nzima sasaUkishajua unampiga chini, ukiendelea nae wewe ndio mshamba.
Na mwanamke mwnye kipato je?? Hana haja ya mapenzi si ndiyo??Mwanamke anachokifuata kwenye mahusiano ni pesa (uchumi) na si mapenzi.
kama uamini, poteza kipato uje utoe ushuhuda hapa jukwaani.
Kama huna kipato au ramani zako hazisomeki, atakuvumilia kwa muda tu, baadaye anakutelekeza.
Kwa kifupi, hakuna mwanaume anayependwa bila kuwa na kipato.
Mwanamke mwenye kipato ndie mwenye mapenzi ya kweliNa mwanamke mwnye kipato je?? Hana haja ya mapenzi si ndiyo??
Miaka 13 tunaishi pamoja .Sikuwa na hela yeye akawa anapata vihela ila yupo tu.Nikapata vihela akakosa kazi yupo tu.Wote tuna vihela namtunzia na vihela vyake yupo tu.Ndugu zake na rafiki wananionaga miyeyusho ila yeye yupo tu.Hakuna mtu anaweza kuishi na mimi,kesho tu ataondoka ila yeye yupo tu.
Hayo namuachia Mungu tu mkuu.Ilo ni jambo la heri, ingawa dunia pia ina mitihani; ebu fumba macho na ujiulize, pale umeishiwa pesa na ukawa huna mwelekeo, na ikatokea umelazwa hospitali kwa zaidi ya miezi minne, yaani wewe uwe ni wakusiaidiwa kila kitu kama mtoto mdogo; je atakuwepo?
Ila wenye mapenzi ya kweli bado wapo, pesa inakuwa busta tuu......huo ni uongooo