Mwanamke anaweza kumbaka mwanaume?

Mwanamke anaweza kumbaka mwanaume?

Ni jambo limetustaajabisha wengi muda mfupi uliopita usiku huu baada ya kusikia kijana mmoja bodaboda amelazimishwa kufanya mapenzi na landlord wake ambaye ni mjane kwa miaka kadhaa, kijana anasema mama huyo aliingia chumbani kwake na kufunga mlango na kisha kumtight.
HeeHee, Hii nayo ni Siasa!
 
Inatia uvivu una"met"kakijana hakana hata gaden lov jaman hata ndevu hakan( kama ka mume ka. Irene uwoya..ka dogo janja)...hahahaaa na huku ww ke unachana misamba jack chan akasome...hutu tutoto hata kukusqurtisha hatujui..hatukawii kusema umejojoa
@Wangari Maathai Evelyn Salt nani anapenda uandishi tuweke kopi ya kwanza amazoni!
 
Niliwahi kusikia, mkoa flani kwenye shule ya bweni ya wasichana walimbaka mlinzi mpaka kufa.
Hizo ni stori tu na kila shule ya bweni ya wasichana ina stori hizo za uongo...mara walimbaka muuza karanga, mara mlinzi, mara babu mpishi, mara dereva, mara mpita njia n.k
 
kulingana na sheria za Tanzania bara mwanaume habakwi, msiniulize kuwa anafanyiwa nini?
 
Sisi hatubaki, tunatamanisha tuu, alafu unafungua zip mwenyew uwe hutak au unataka
Mkuu omvea msamaha hili neno uwe...'hutak'...

Bila 'desire' 'nkumba' itasimamaje kupanda mtungi?

Kama 'hutak' na yenyewe huwa haitak pia, hata itamanishwe kwa kuvuliwa nguo zote na kubakia u... wa mnyama, haiwez kusoma.
 
Ni ngumu kuamini ila ndo ilivyonitokea, siwezi danganya. Na alinivizia hivyo zaidi ya mara moja. Nilimuambia brother nae hakuamini akasema namsingizia huyo mwanamke na kweli nilikuwa simpendi toka moyoni hadi leo simpendi ila ananing'ang'ania balaa!
Mungu hapo ndipo alipotunyima usawa wa kihisia.
Trust me, ukiona unampenda sana mtu, elewa yeye kwenye 'gauge' yake upo chini sana kwake kihisia.

Ndiyo maana tunaoielewa kanuni hiyo huwa hatuhangaiki sana kujisumbua kushawishi, bali saazingine tunatumia njia mbadala kumpata mwenza badala ya maneno matupu na kuuziana sura.
 
Hizo ni stori tu na kila shule ya bweni ya wasichana ina stori hizo za uongo...mara walimbaka muuza karanga, mara mlinzi, mara babu mpishi, mara dereva, mara mpita njia n.k
Kumbe eee
 
Back
Top Bottom