Hana uwezo wa kuhonga gari wala nyumba huyo anayeshindwa kulipa buku tu.Na siku akiudhika ni aina ya mtu ambae atavidai ingawa anasema alimpa. Hata nyumba na gari bila shaka zipo katika jina lake!
Amandla...
Basi na wewe umdai. Au ipunguze katika pesa unazomdai. Akikuambia alijua umempa basi na wewe unamwambia unajua alikupa. Lakini usikatae kumlipa.Kwa sababu mara nyingi nae anasema baby naomba unikopeshe hela ya ada ya mdogo wangu kaka yetu kachelewa kunitumia akinitumia nitakurudishia, na harudishi hata siku moja. Na mie nikasema hebu nikopeshe alfu nimpe huyu kijana katufutia windscreen, akanidai!
Hana uwezo wa kuhonga gari wala nyumba huyo anayeshindwa kulipa buku tu.
haelewi kuwa kulipa deni hata la mia mbili ni "principal" siyo uwezo.
Hana class huyo.
Ukakuta kumbe kiazi kopo tupuActually nilitaka pia nim-test, kama ana akili kichwani
😌😌🤓 kisa cha kutaka mtoto wa watu asiolewe nini? Nimecheka sana.
😌😌🤓 kisa cha kutaka mtoto wa watu asiolewe nini? Nimecheka sana.
Zingatia wosia mkuuHiyo ID Yako hatari....🤣🤣🤣
This is why its hurts much to be insulted that your acting like Woman….!😂😂😂😂😂Ata umjengea nyumba ya 100m ila kama ulimuahidi kumnunulia kiato cha 15k, hatakuelewa, mpaka umpe hiyo 15k anunue kiato, wana wake wengi wako ilogical.
we unanidai buku nikakununulia chakula cha laki bado unifai bukuKama mtu anakudai kumnunulia chakula ndio umemlipa au ndio yalikuwa makubaliano hayo
Ni huzuni kwakweliWanawake ndivyo walivyo
ulinganifu mi nimekufanyia shopping ya milion ndo unidai elf 10Kama mtu anakudai kumnunulia chakula ndio umemlipa au ndio yalikuwa makubaliano hayo
aisee nimeshangaa kwa kweli!!Ata umjengea nyumba ya 100m ila kama ulimuahidi kumnunulia kiato cha 15k, hatakuelewa, mpaka umpe hiyo 15k anunue kiato, wana wake wengi wako ilogical.
umeona🔨Ni suala la common sense sio reasoning mtu kalipia mtoto wako ada 1m, ni kukosa akili, kumdai sh 1000 ulio mkopesha.
Women are emotional and ilogicalLogic vs emotion
Usiishi na Ke kama unavyoishi na Me.I say, uko sahihi 150% Kuna dada niliomba aniazime hela yake nikiwa nimekwama, laki moja. Ikanisaidia sana. Sasa kuna siku nae akaja kunililia shida, kabla sijamrudishia ile laki. Nikampa laki tatu, ambayo haikuwa mkopo, nikijua narudisha hisani. Kuna siku akanifuata ananiuliza lini nitamrudishia laki yake niliyomkopa?😳
Nilimwomba samahani nikamrudishia. Siku alipokuja kuomba tena msaada ndio nikampasukia, kwamba hana akili sawasawa, nikamkumbusha juu ya laki yake na laki zangu tatu. Nikasema iwe mwisho kuniomba msaada, na sintaomba tena msaada kwake.
kuliko kuhongwaBora nile ugali dagaa kuliko