Mwanamke kunyoa sehemu za Siri bila ruhusa ya mme wake, ni kosa la kuvunja ndoa

Mwanamke kunyoa sehemu za Siri bila ruhusa ya mme wake, ni kosa la kuvunja ndoa

Hapa wengi watabisha, kwakuwa Mila zetu za ki Africa zilipigwa teke

Mwanamke aliyefundwa, aliyeenda unyagoni ni marufuku kunyoa sehemu zake za Siri bila ridhaa ya mmewe

Kitendo cha mwanamke kujiamulia kunyoa sehemu zake za Siri ni ishara ya umalaya na dharau kubwa Kwa mme wake

Mwanamke kunyoa sehemu zake za Siri bila ruhusa ya mme wake ni ishara ya ushirikina na kuleta mikosi Kwa familia

Mwanamke akitaka kunyoa laZima amjulishe mme wake nae aridhie,
Sio mwanaume Yuko safari anakuta kipara aisee laZima urudi kwenu na makovu

Wanawake mnapohitaji kujisafisha sehemu za Siri si vibaya kumwambia mmeo ili ajue, itaonesha heshima na uaminifu japo Kuna makurumbembe yatakataa

Ndo maana ya kuwa mwili mmoja
kukosa kazi ya kufanya ni mbaya sana aisee..
 
Back
Top Bottom