Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
kukosa kazi ya kufanya ni mbaya sana aisee..Hapa wengi watabisha, kwakuwa Mila zetu za ki Africa zilipigwa teke
Mwanamke aliyefundwa, aliyeenda unyagoni ni marufuku kunyoa sehemu zake za Siri bila ridhaa ya mmewe
Kitendo cha mwanamke kujiamulia kunyoa sehemu zake za Siri ni ishara ya umalaya na dharau kubwa Kwa mme wake
Mwanamke kunyoa sehemu zake za Siri bila ruhusa ya mme wake ni ishara ya ushirikina na kuleta mikosi Kwa familia
Mwanamke akitaka kunyoa laZima amjulishe mme wake nae aridhie,
Sio mwanaume Yuko safari anakuta kipara aisee laZima urudi kwenu na makovu
Wanawake mnapohitaji kujisafisha sehemu za Siri si vibaya kumwambia mmeo ili ajue, itaonesha heshima na uaminifu japo Kuna makurumbembe yatakataa
Ndo maana ya kuwa mwili mmoja
Dogo kuwa mpole😁Mkuu utaweza kuimba nayo hii chuma?
Watoto wenyewe hawana hela🤣🤣🤣Sawa bro!
Hii ngoma watoto hawakeshi 😂!
Wanasubiria mchongo fulani hivi utiki! 😂!Watoto wenyewe hawana hela🤣🤣🤣
Ndio najua leo walahiUsichulie poa mavuz.ii hii ni dhahabu
Kila jumamosi lazima achepuke niamini mimiMjifunze kua romantic mke angu na mnyoa kila ijuumah.....kwetu hiyo sio issue nikama shamba langu nalikagua kila wakati.
Itakua kweli😀😅🤣Hujafundwa