Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Daaah!! Sawasawa ndivyo au nyodo tu? 🤣Sawasawa
Daaah!! Sawasawa ndivyo au nyodo tu? 🤣Sawasawa
Hii ni kwa wazaramo au wanyamwezi?Mwanamke akitaka kunyoa laZima amjulishe mme wake nae aridhie
Hauogopi kupofuka? Unakodolea macho huko kabisaaaa unamnyoa?Mjifunze kua romantic mke angu na mnyoa kila ijuumah.....kwetu hiyo sio issue nikama shamba langu nalikagua kila wakati.
Mbona unayadharau? Yangekuwa siyo muhimu yangeota mahali nyeti namna hiyo? Wanaopendana inatakiwa hivyo. Halafu brother akimaliza tu kulima, utamwona anataka kupandamo muhogo 😎Watu mbona mnafanya mambo yawe magumu?,. Hadi mavuzi kweli looh?
Kungwi wako hajakufunda juu ya hili!? Kamwulize, labda alipitiwa.Ndio najua leo walahi
Ndiyo umesikia sasa. Uliobaki ni utekelezaji.HIi ni kali sana mwa ya sijàwahi kusikia
Frankly, kama rijali, utatamani tu kupandikiza.Nimecheka sana
😅😅😅 nusu nku tagMaisha yatutese, pesa zitutese.....mavzzzz yatutese kweli hapa ni kuteseka tu.
Brother, ndo hawa hawa, ukiwaambia wanakuambia "umepitwa na wakati". Sasa hapo sijui aliyepitwa na wakati ni nani!? Mimi nayajuwa ya nyakati zilizopita na za Sasa. Hawa dot.com ni shida sana.Wazee wetu walikuwa mengi
Naona vijana humu wanapuuza